TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Tumefika hapa kwasababu wapo wajuaji waliogoma kusahau yaliyopita, wayaache yaende, hawa wakajiona wamekaa juu wamefika, wao kila siku ikawa ni kumuimba marehemu mtangulizi, wala wasikumbuke nae alikuwa na wapendwa wake, wakajisahau wakidhani kifo kina undugu au urafiki, leo kifo kimewakumbusha hakina mwenyewe, sote tunapita.

Sio wakati wa kulaumiana tena, maisha ni fumbo, tujifunze kuyaacha yaliyopita yapite, lakini sio kujisahau na kujipachika majina ya ajabu kama wazuri hawafi, Mungu fundi, au kazikwe nae, leo majina hayo hayo yanarudishwa upande wa pili, ni vyema wahusika wakayapokea kwa mikono miwili kama ambavyo walianza kuwapa wenzao, time to feel a taste of your own medicine.
 
You can’t defame a deceased person, hiyo kesi ishaisha.

Hakuna mdai tena wa defamation.

Tumeumbiwa udongo na tutarudi kwa udongo.

R.I.P Membe

Usifurahie jambo ambalo utaki wewe likupate kiko wapi leo.
Bush lawyer, Membe alishamaliza kesi mwenyewe kilichobaki ni mirathi ya wanufaika, endeleeni kudanganyana tu.
 
Sasa nimekubali Urais lazima ugomvee ukiwa na miaka 45 hadi 55.

Kuna mmoja atakuwa na miaka 65 mwaka 2025 anaomba Kuendelea kuwa Rais.

Ikifikia 2030 atakuwa na miaka 70!!!

Mimi ninaomba niwe makamu wake Yeye Akiwa Rais Ili katiba yetu itumike niingie magogoni kiulainiiiiii
 
Huna lolote wewe, muigizaji tu.
Mkuu DIVISHENI FOO hii ni dhihaka Sana kwangu. Hunifahamu tunaongea kwa key board Ila ninamuomba Mungu mno COVID ipige hod kwako na kizazi chako. Kama hujaoa au kuolewa basi ipige ndugu zako na wazazi wako ili uweze kuona taabiko lake ujifunze kuwa na heshima. Nikikumbuka August 6 - September 30, 2021 niliponea tundu la sindano halafu unakutana na bezo kama la kwako basi ninajisikia uchungu ila ni Furaha kwa Mumgu na shukrani kubwa maana neema yake niliona na niko hai. Asante Sana.
 
Mkuu DIVISHENI FOO hii ni dhihaka Sana kwangu. Hunifahamu tunaongea kwa key board Ila ninamuomba Mungu mno COVID ipige hod kwako na kizazi chako. Kama hujaoa au kuolewa basi ipige ndugu zako na wazazi wako ili uweze kuona taabiko lake ujifunze kuwa na heshima. Nikikumbuka August 6 - September 30, 2021 niliponea tundu la sindano halafu unakutana na bezo kama la kwako basi ninajisikia uchungu ila ni Furaha kwa Mumgu na shukrani kubwa maana neema yake niliona na niko hai. Asante Sana.
Huna lolote wewe, hata ungekufa ni sawa tu.
 
[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom