TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Kazi imeanza sasa.
Inawezekana kuwa hujui historia.

Suala la kufa lilianza tangu zama za Adam Na Eva.

Mtu akifa watu wakafurahi huwa hawafurahii mtu huyo kufa bali wanafurahia mtu mbaya kuondoka kwenye jamii yao.

Membe hakuna mtu aliyemtendea ubaya!!

Au wewe unaweza kuutaja ubaya wa Membe kwa watu!!??
 
Hiki kifo kimegubikwa na utata. Kuna uwezekano ni hujuma! Mazingira yanatia shakaView attachment 2618885

Wafilipi 1:21-27

Kwangu, kuishi ni Kristo, na kufa ni faida zaidi.

Lakini, kama kwa kuishi nitaweza kufanya kazi yenye faida zaidi, basi, sijui nichague lipi! Nakabiliwa na haya mawili yaliyo sawa.

Natamani kuyaacha maisha haya nikakae pamoja na Kristo, jambo ambalo ni bora zaidi; lakini ni jambo la maana zaidi kwenu kama nikiendelea kuishi.
Nina hakika ya jambo hili, na hivyo najua kwamba nitaendelea kuishi pamoja nanyi nyote, ili nipate kuongeza maendeleo yenu na furaha katika imani.

Basi, nitakapokuwa nanyi tena mtakuwa na sababu ya kuona fahari juu yangu katika kuungana na Kristo Yesu.
Basi, jambo muhimu ni kwamba mwenendo wenu uambatane na matakwa ya Injili ya Kristo, ili kama nikiweza kuja kwenu au nisipoweza, nipate walau kusikia kwamba mnasimama imara mkiwa na lengo moja, na kwamba mnapigana vita kwa pamoja na mnayo nia moja kwa ajili ya imani ya Injili.
 
Back
Top Bottom