thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Bado Yule checkbob na yule mzee maropeMungu fundi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado Yule checkbob na yule mzee maropeMungu fundi.
Na wewe jiandae kutwaliwa maana ulishangilia!
Kwanza kachero gani anajifia kizembe namna hiyo?
Mungu ameamua ugomvi!
Mungu fundi.
Bahati nzuri ufundi wa MUNGU hautaishia kwa Membe tu, utaendelea...Mungu fundi
Na je unapokufa bila kusamehe, unaenda wapi, I mean peponi au motoni ?Alisema Membe amsamehe Musiba kwa kuwa viongozi waandamizi wa dini wamemfuata (Membe) kumuombea radhi kwa niaba ya Musiba. Na kwamba asipofanya hivyo atajikuta pabaya
Kwakweli. !!huu uzi ukifukuzana nao haushikiki unaenda kama speed ya mwanga!
Duh! Kitabu gani hicho ndugu mtanzania [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]RIEP BM. Njia yetu sote hiyo.
Ila, wema huwa hawafi. Mzee Makamba, sura ya 26 mstari wa 18 mpaka 23
Duh.. tusiishi hivi jamani..Kama wamemtanguliza watamfuata
Hakuna aijuaye saaHii sio poa kabisa sometimes.. kifo cha ghafla na kafia kairuki kwanini hajaenda muhimbili au ile hsopital yetu pale kijitonyama?
Maswali ni mengi lakini tuwaombee viongozi wetu..
Chali mbayaJASUSI MBOBEZI.
Inawezekana kuwa hujui historia.Kazi imeanza sasa.
Hiki kifo kimegubikwa na utata. Kuna uwezekano ni hujuma! Mazingira yanatia shakaView attachment 2618885
Au corona imerudi ?Changamoto ya kifua ? ?!! This world is not our Home !! Rip poleni wafiwa !