Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Huo muda mtumieni kuchangishana vibubu alipe deni. Musiba ni mtoto mdogo mbele ya Membe kama unataka watumie figisu. Mtu kafyatuka from nowhere kajulikana miaka mitano tu ndio mtake azungushane na kachero mkongwe.

Kwahiyo mpango wenu wa kuomba msamaha kupitia maaskofu umegonga mwamba na sasa mnatumia kisingizio cha Sukuma gang
 
Japo sitetei wizi,ila vip pale mwizi wa kuku anapohukumiwa miaka 10 jela.Hesabu ipi INATUMIKA?
Mkuu wezi wa kuiba kuku siyo wastaarabu wanatumia mbinu za kukera za wizi uchwara. Ndo maana mafisadi nao wanajilinda kutoka kwa hawa vibaka kwa kuweka security fence CCTV kwasababu mafisadi wizi wao ni legitimate haukeri.
 
Hao Sukuma Gang wana nguvu kuliko Mahakama? Unajua miimili ya Serikali inavyofanya Kazi? Membe amekuwa Mtumishi wa Serikali na Jasusi kwa miaka zaidi ya 20.

Kuna nani wa kumtumia vitisho mtu ambae ana uhasili wa Kijeshi Kiitelijinsia na Combat Experience?

Hao Sukuma Gang unaowasema wana nini ambacho Serikali ya Tanzania iliyopo madarakani inashindwa kufanya inachotaka??Unaijua Nguvu ya Serikali iliyopo Madarakani katika nchi yeyote?? Kakojoe ukalale narudia tena. YONO anafanya Kazi na TRA baada ya MAJEMBE AUCTION kama Dalali wa Wakepa Kodi !

Haiingii akilini unaposema eti Leseni yake imefungiwa for 6 months akichunguzwa kama analipa kodi😂😂. Sharti la Kwanza Uwezi fanya Kazi yeyote na TRA ata kama ya kufagia Vyoo vyao bila kuwathibitishia kama wewe ni mlipa kodi mzuri.
 
Back
Top Bottom