Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo sitetei wizi, ila vip pale mwizi wa kuku anapohukumiwa miaka 10 jela. Hesabu ipi INATUMIKA?Japo sitetei aliyokuwa anayafanya msiba ila b9 wametumia hesabu zipi yaani maneno tu mtu adai b9 😄
Sheria zinatakiwa zifanyiwe marekebisho adhabu ni ili mtu ajifunze sio kukomoaJapo sitetei wizi,ila vip pale mwizi wa kuku anapohukumiwa miaka 10 jela.Hesabu ipi INATUMIKA?
Unataka kututisha? Huwezi kushughulika na yeyote mzee. Wewe endelea kupiga kelele humu JF.Kila kiongozi wa serikali atakayebainika kumsaidia Musiba "tutashighulika" naye
Unataka kututisha? Huwezi kushughulika na yeyote mzee. Wewe endelea kupiga kelele humu JF.
Unachoweza kufanya ni kushughulika na mke wako na watoto wako tu.
Sukuma gang, Je unamaanisha kabila la wasukuma?Sukuma gang mtapenyea wapi? Kila mwanya tumeuziba
Mkuu GT hata iyo twente bado ndogo tu inatakiwa alipe Zaid ya jiti huko na marinda kutatuliwa.Kwamba anatakiwa alipwe b20 😃
Mkuu wezi wa kuiba kuku siyo wastaarabu wanatumia mbinu za kukera za wizi uchwara. Ndo maana mafisadi nao wanajilinda kutoka kwa hawa vibaka kwa kuweka security fence CCTV kwasababu mafisadi wizi wao ni legitimate haukeri.Japo sitetei wizi,ila vip pale mwizi wa kuku anapohukumiwa miaka 10 jela.Hesabu ipi INATUMIKA?
Jana niliwaona Membe na Musiba wanagonga cheers.
Gongo ndiyo nini mdogo wangu?Acha gongo za mchana kabla ya kula!!