Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Hao Sukuma Gang wana nguvu kuliko Mahakama? Unajua miimili ya Serikali inavyofanya Kazi? Membe amekuwa Mtumishi wa Serikali na Jasusi kwa miaka zaidi ya 20.

Kuna nani wa kumtumia vitisho mtu ambae ana uhasili wa Kijeshi Kiitelijinsia na Combat Experience?

Hao Sukuma Gang unaowasema wana nini ambacho Serikali ya Tanzania iliyopo madarakani inashindwa kufanya inachotaka??Unaijua Nguvu ya Serikali iliyopo Madarakani katika nchi yeyote?? Kakojoe ukalale narudia tena. YONO anafanya Kazi na TRA baada ya MAJEMBE AUCTION kama Dalali wa Wakepa Kodi !

Haiingii akilini unaposema eti Leseni yake imefungiwa for 6 months akichunguzwa kama analipa kodi[emoji23][emoji23]. Sharti la Kwanza Uwezi fanya Kazi yeyote na TRA ata kama ya kufagia Vyoo vyao bila kuwathibitishia kama wewe ni mlipa kodi mzuri.
Mara ya kwanza Magazeti ya Musiba yalikuwa yanachapwa kwenye mitambo ya TISS then baadaye ikanunuliwa mitambo binafsi.
Ndiyo maana Musiba anakuwa na Jeuri,Membe kaingia cha kike.
Musiba ana Back up kubwa nyuma yake!
 
Mimi naomba sana Serikali au CCM wampe huyu mtu kazi kubwa ya kufanya. Akili kubwa huwa haiwezi kukaa idle; tatizo ni hilo
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atukie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Unaipa kampuni kazi hii baada ya hapo unaifuta
 
Japo sitetei aliyokuwa anayafanya msiba ila b9 wametumia hesabu zipi yaani maneno tu mtu adai b9 [emoji1]

Hizo chache sana, mtu aliyekuwa anatarajiwa kuwa rais wa nchi.

Tena waziri kwa miaka mingi, achilia mbali wizara ya mambo ya kigeni.

Uanjua upana wa jamii iliyokuwa inamuamini katika nyanja tofauti.

Hiyo ni hela ndogo sana
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
Wewe ni kibwengo
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
umeandika ujinga hujui procedure za udalali bali umeandika ujinga mtupu kwa taarifa yako huyo yono hata akiwa hana lessen membe anaweza kwenda mahakamani hata jumatatu akabadilishiwa dalali na mali za musiba zikauzwa kama ilivyopangwa wadanganhe wajinga wenzio hapo lumumba ambao hawana elimu.
 
Hao Sukumagang kama wana nguvu kiasi hicho walishindwa nini kumlinda mungu wao hadi kufikia hatua ya kulambishwa sakafu pale kwake Chato?
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
Nadiriki kusema Membe ni mhuni tu na hata hiyo kesi ni ya ukanjanja tu,wangapi wamechafuliwa na wakalipwa hiyo bilioni 9, Membe ni nani nchi hii, kifupi hatalipwa hata ndururu moja.
 
Wengi wanaota vitu vya ajabu, na wengine mpaka huwa wanatembea, kumbe wapo usingizini. Lakini huyu wa leao amevunja rekodi, skiwa usingizini mpaka snakuwa na uwezo wa kuandika.

Tumwombe akiamka afute huu uzi wake wa usingizini. Walio karibu naye wamshauri afike hospitali. Ndoto za hivi zinaweza baadaye zikageuka kuwa ukichaa.

Mlio wazima mpuuzeni huyu muotandota. Leseni za biashara huwa hazifutwi wala kunyang'anywa kama chungwa. Hata ukifanya kosa au kuhisiwa umefanya kosa, unaandikiwa barua kujibu tuhuma. Baada ya kujibu, hata kama maelezo yako hayakukubaliwa, utapewa muda wa kurekebisha hayo makosa au kulipa kodi kama unadaiwa. Kipindi kifupi kabisa unachoweza kupewa ni mwezi mmoja. Lakini unaweza kupewa hata mwaka mzima kama.mamlaka zitajiridhisha kuwa kuna sababu ya kufanya hivyo.

Kwa hiyo hii ndoto ya huyu mwenzetu ipuuzeni kama mnavyopuuza umbea mbalimbali.
Hawa sukuma Gang ni viumbe wa ajabu sana,walishindwa kumsaidia mjinga mwenzao Musiba kukata rufaa sasa imefika wakati wa kukazia hukumu ndiyo wanakuja na tungo za kipuuzi mitandaoni wakifikiri zitamnusuru huyo mtukanaji. Mungu wabariki vijana wa kazi Yono watimize wajibu wao kuuza vikorokoro vya mpuuzi cyprian.
 
Mwenye picha ya nyumba ya cyprian musiba itakayopigwa mnada aiweke hapa kama ikinifaa niipandie dau.
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Utadanganya wajinga. Kwenye execution of decree mahakama ndio inayotafuta madalali wake wa kupiga mnada vitu sio mdai. Punguza utapeli.
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
Chawa wa Musiba tangu Membe awatolee nje msamaha mnahaha Sana.
 
Back
Top Bottom