figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #41
YONO kanyang'anywa LeseniSource ipi!? waandishi wa Buza mkishiba makande mnaanza kuropoka tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YONO kanyang'anywa LeseniSource ipi!? waandishi wa Buza mkishiba makande mnaanza kuropoka tuu
Ndio. Eti Wanatoa vitisho kwa mdomo hukumu isitekelezwe. Na Mahakimu wanaogopa kweliYaani kuna vigogo Skm Gang wameiweka serikali ya mama Samia na mahakama mfukoni?
Uvunjifu wa heshima na shambulio la aibu 🤣Japo sitetei aliyokuwa anayafanya msiba ila b9 wametumia hesabu zipi yaani maneno tu mtu adai b9 😄
Sio mali zake tuu, hata yeye atauzwa tuu. Hizi habari za Yono kuzuiwa ni porojo tuu, dalali wa mahakama anapopewa amri ya kuuza mali za mtu ni amri lazima atekeleze naye ndio anapata 10% yake.Wakati wa JPM kila uliyemuona anafanya aliyofanya musiba ujue alikuwa kazini.
Haya yatapita na hakuna mali itauzwa.
Ukiuliza na jinsi hesabu zinavyooigwa mpaka fisadi analipa faini ya M5 hukaiba mabilioni utaelewa zaidi kuwa hii nchi ni ovyoJapo sitetei wizi,ila vip pale mwizi wa kuku anapohukumiwa miaka 10 jela.Hesabu ipi INATUMIKA?
YONO kanyang'anywa Leseni
Membe anafanya sikukuu baada ya Magufuli kufariki. Hii kesi kwa nini hakuifungua wakati wa Magufuli.Kakojoe Ulale Uendelee na ndoto zako za Alinacha! Hao Sukuma Gang wana nguvu kuliko Mahakama? Unajua miimili ya Serikali inavyofanya Kazi? Membe amekuwa Mtumishi wa Serikali na Jasusi kwa miaka zaidi ya 20. Kuna nani wa kumtumia vitisho mtu ambae ana uhasili wa Kijeshi Kiitelijinsia na Combat Experience? Hao Sukuma Gang unaowasema wana nini ambacho Serikali ya Tanzania iliyopo madarakani inashindwa kufanya inachotaka??Unaijua Nguvu ya Serikali iliyopo Madarakani katika nchi yeyote?? Kakojoe ukalale narudia tena. YONO anafanya Kazi na TRA baada ya MAJEMBE AUCTION kama Dalali wa Wakepa Kodi ! Aiingii akilini unaposema eti Leseni yake imefungiwa for 6 months akichunguzwa kama analipa kodi😂😂. Sharti la Kwanza Uwezi fanya Kazi yeyote na TRA ata kama ya kufagia Vyoo vyao bila kuwathibitishia kama wewe ni mlipa kodi mzuri.
Mnapoteza muda badala ya kushinda hapa Jf kupiga makelele mngekuwa mnajichanga huko kumlipia Musiba deni lake.Membe anafanya sikukuu baada ya Magufuli kufariki. Hii kesi kwa nini hakuifungua wakati wa Magufuli.
Musiba alikuwa anafichua corription kama ilivyokuwa fasheni wakati wa Awamu ya Tanu.
Angalia tena kumbukumbu zilizoko utaona Membe alifungua lini kesi.Membe anafanya sikukuu baada ya Magufuli kufariki. Hii kesi kwa nini hakuifungua wakati wa Magufuli.
Musiba alikuwa anafichua corription kama ilivyokuwa fasheni wakati wa Awamu ya Tanu.
Sema wewe kumbukumbu ilikuwa lini.Angalia tena kumbukumbu zilizoko utaona Membe alifungua lini kesi.
Je hukumbuki Musiba alisema haiogopi Mahakama sababu alikuwa na mtu mwenye kuwaamrisha majaji?
Alisema lini? Magufuli alikuwa hai au mfu?
Unafikiri kiburi cha kutamka hayo kilitoka wapi? Kwa nini alitamka hayo maneno?