Uchaguzi 2020 Bernard Membe anaongea lugha rahisi na anaeleweka kuliko Lissu

Uchaguzi 2020 Bernard Membe anaongea lugha rahisi na anaeleweka kuliko Lissu

N
Kwa hiyo ndio irudiwe rudiwe mara elfu ndio akili ndogo ielewe... mbona Tanzania nzima inajua tu... na mbona tunakubali pia kwamba alichofanyiwa ni ukatili wa hali ya juu hata kabla yeye kurudi nchini... wanaombeza kutoka kwa moyoni mwao kwa alichofanyiwa, kama hakuna wakati wowote ile roho zao zimewa sumbua, hizo roho haziko hai tena...

Kampeni iendeshwe kama kampeni, mambo ya maendeleo yajadiliwe, na sera zimwagwe... sehemu serikali haijatekeleza ipasavyo, vyama vya upinzani zishikilie pale pale na kutueleza watatatua vipi kero husika za wananchi... na walete mbinu ambazo ni tofauti na za ccm ili hizo akili ndogo ziweze kutathmini njia mbadala za maendelo, kifupi nadharia tofauti... basi! Ndio kampeni yenyewe... kura za huruma usitegemee sana kwa watanzania... kwani wangapi waliingia barabarani wakati alishambuliwa kukemea ukatili huo??? Au tuseme kwamba wanao jazana kwenye mikutano ya Lissu wanakuja kumwona alivyo baada ya tukio lililomtokea?? Wanajua lililotokea, na amesha ongea ya kutosha kuhusu sakata lake hata kabla ya kampeni kuanza rasmi..sasa ni wakati wa kunadi sera na si vinginevyo!! Watanzania mpaka sasa hivi inajulikana wazi tu, asilimia kubwa si wajasiri sana, lakini pia akili yetu ndogo si ndogo kihivyo...
Nani au mtanzania gani asiyejua Luna ujenzi wa Sgr, ununuzi wa ndege bwawa la umeme n.k mbona kila siku vinarudiwarudiwa na jiwe a.k.a kichaa tena kwa MDA wa miaka Mitano hamuoni! Ila lissu kusema alivyopigwa risasi ndani ya siku kadhaa imekuwa kurudiarudia? Ndio maana nakuambia kama haumwelewi lissu ni uamuzi wako tu wa kijanga ambao hautabadili chochote😁😁😁😁😂😂😂😂
 
N

Nani au mtanzania gani asiyejua Luna ujenzi wa Sgr, ununuzi wa ndege bwawa la umeme n.k mbona kila siku vinarudiwarudiwa na jiwe a.k.a kichaa tena kwa MDA wa miaka Mitano hamuoni! Ila lissu kusema alivyopigwa risasi ndani ya siku kadhaa imekuwa kurudiarudia? Ndio maana nakuambia kama haumwelewi lissu ni uamuzi wako tu wa kijanga ambao hautabadili chochote[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo wote wawili wako level mmoja, ndio unachotaka kusema, au?
 
Jamani tuacheni utani.. hakuna anaejua kuelewesha watu kama Tundu Lissu. Hapo mnataka kututania. Ndio maana mwenzenu wananchi wanajazana kwake na kumsikiliza vizuri sana. Kila mtu akitoka kwa Lissu somo limeeleweka.

#NiYeye #KuraKwaLissuKulaKwaMataga
 
Kwa hiyo ndio irudiwe rudiwe mara elfu ndio akili ndogo ielewe... mbona Tanzania nzima inajua tu... na mbona tunakubali pia kwamba alichofanyiwa ni ukatili wa hali ya juu hata kabla yeye kurudi nchini... wanaombeza kutoka kwa moyoni mwao kwa alichofanyiwa, kama hakuna wakati wowote ile roho zao zimewa sumbua, hizo roho haziko hai tena...

Kampeni iendeshwe kama kampeni, mambo ya maendeleo yajadiliwe, na sera zimwagwe... sehemu serikali haijatekeleza ipasavyo, vyama vya upinzani zishikilie pale pale na kutueleza watatatua vipi kero husika za wananchi... na walete mbinu ambazo ni tofauti na za ccm ili hizo akili ndogo ziweze kutathmini njia mbadala za maendelo, kifupi nadharia tofauti... basi! Ndio kampeni yenyewe... kura za huruma usitegemee sana kwa watanzania... kwani wangapi waliingia barabarani wakati alishambuliwa kukemea ukatili huo??? Au tuseme kwamba wanao jazana kwenye mikutano ya Lissu wanakuja kumwona alivyo baada ya tukio lililomtokea?? Wanajua lililotokea, na amesha ongea ya kutosha kuhusu sakata lake hata kabla ya kampeni kuanza rasmi..sasa ni wakati wa kunadi sera na si vinginevyo!! Watanzania mpaka sasa hivi inajulikana wazi tu, asilimia kubwa si wajasiri sana, lakini pia akili yetu ndogo si ndogo kihivyo...

Sasa umemsikiliza huko kote anakopita ukasikia anaongelea risasi? Wewe bwana labda ni akili ndogo, hivyo huwezi kumuelewa Genius Lissu.
 
Membe yupo vizuri sana. Nimeshangaa lissu kuongelea mambo ya zao la pamba kiwanja cha furahisha. Wote waliokua wamejazana pale siamini kama kuna mkulima wa pamba. Nadhani alikua anaongea mwenyewe.

Wengi pale ni jobl
Lindi mjini napo kuna mashamba ya korosho?Kama hayapo kwa Nini unaona sawa kwa Membe kuzungumzia swala la kilimo mjini Lindi na haramu kwa Lisu kuzungumzia kilimo akiwa jiji la Mwanza ambalo limezungukwa na wakulima wa pamba?,na viwanda vya kuchakata pamba vipo jijini Mwanza.
 
Back
Top Bottom