Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Sababu wewe ni Kilaza hauwezi kumuelewa LissuBaada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.
Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.
Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
Membe ni wa CCM ambaye alikuwa na nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho lakini akafukuzwa asilete balaa kwa sababu anaeleweka vizuri na nyie wanachama wenzake na wananchi wa kwao na hilo ndo lilifanya Chama kuruhusu Fomu moja tu ya watia nia ili wengi wengine wasijitokeze wakaleta balaa zaidi kwa Mpendwa. Mwanachama wa CCM anatambulika kwa maneno, lugha, mwenendo hata kwa mwendo akiwa maili mbili!Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.
Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.
Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
Kama nimekuelewa, nadhani uko sahihi. Ujinga wetu ni mwingi. Leo naongea na bodaboda anasema kwake yeye akipata abiria akapata ugali wa watoto inatosha! Haju ni kwa vipi siasa zinaathiri hata biashara yake ya bodaboda! Kwamba siyo lazima aendeshe bodaboda, kunaweza kuwa na mbadala ....... kuwa watoto wake wakisoma shule nzuri, kuna siku huko mbele wanaweza kumwondolea adha ya bodaboda...... Makabila mengine do bank on that... Chaga, Wahaya , Nyakyusa etc wana bank on their kids! anasema kama mimi sikuzoma, katu lazima mwanangu asome labda akatae mwenyewe!Kutawala wajinga wengi kupitiliza ni shida sana. Sioni utawaambia nini wakuelewe!
Maadui wetu hawa, nañukuu tu,"Ujinga, umasikini ..... "
unajua Mimi huwa namshangaa Sana mtu anapomlazimisha mwenzake aamini kile anachokiamini kwahiyo Wewe ndo unaakili Sana?Hayo mambo anayoongelea Lissu ni mambo ya msingi kama we unaona haeleweki basi una shida wewe
Ndiyo nina akili kuliko wewe kilazaunajua Mimi huwa namshangaa Sana mtu anapomlazimisha mwenzake aamini kile anachokiamini kwahiyo Wewe ndo unaakili Sana?
Sawa kbs ila kumbuka Wewe ndo TAHIRA MKUBWA. Sawa kilaza mwenzanguNdiyo nina akili kuliko wewe kilaza
Kazi zake zinamtangaza....Basi haingaika na huyo mwenye msingi
Sawa bibieSawa kbs ila kumbuka Wewe ndo TAHIRA MKUBWA. Sawa kilaza mwenzangu
Old storyKazi zake zinamtangaza....
Hakuna wa kumfikia
Na mtu wa hivyo ukimweleza unachoamini wewe anapandwa jazba, anapata mihemko na kukutukanaunajua Mimi huwa namshangaa Sana mtu anapomlazimisha mwenzake aamini kile anachokiamini kwahiyo Wewe ndo unaakili Sana?
Wataungana baadaye usiwe na hofu.Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.
Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.
Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
Hujapigwa risasi weweBaada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.
Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.
Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
Kwa hiyo wewe haki za binadamu, watu kuuawa na kupigwa risasi ni mambo ambayo huyaelewi?
Kifupi ni kwamba Ukiwa na akili ndogo Huwezi kumwelewa Lissu
Basi mpe kura Membe.Membe yupo vizuri sana. Nimeshangaa lissu kuongelea mambo ya zao la pamba kiwanja cha furahisha. Wote waliokua wamejazana pale siamini kama kuna mkulima wa pamba. Nadhani alikua anaongea mwenyewe.
Wengi pale ni jobl
Sasa mtu amekaa CCM miaka zaidi ya thelathini, penigine hata hujazaliwa, nasema hivyo kwa kuona jina unalotumia kwenye ID yako, nawaza tu kwamba uko yanki yanki... unategemea nini, lazima ateleze hapo na pale mpaka azoee kwamba hayuko pale tena...Anaeleweka kwa kusema.
"CCM hoyeeee" !!!!!!?????