Uchaguzi 2020 Bernard Membe anaongea lugha rahisi na anaeleweka kuliko Lissu

Uchaguzi 2020 Bernard Membe anaongea lugha rahisi na anaeleweka kuliko Lissu

Maccm nayafananisha na Wafarisayo ambao walikua hawamwelewi kabisa Yesu pamoja na kwamba alikua anahubiri Haki, Amani na uzima wa milele......
 
Membe bado yupo ccm, tazama hii, bado anaifikiria ccm
 

Attachments

  • VID-20200902-WA0012.mp4
    1.3 MB
Membe yupo vizuri sana. Nimeshangaa lissu kuongelea mambo ya zao la pamba kiwanja cha furahisha. Wote waliokua wamejazana pale siamini kama kuna mkulima wa pamba. Nadhani alikua anaongea mwenyewe.
Wengi pale ni jobl
Hao hao Jobless ndio watawatoa madarakani, maana nyie ndo mmesababisha ukosefu wa 'Ajira' ni swala la muda tu.
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka...
Mh.Lissu hashindani na Membe kuandika au kusoma "insha"
 
ACT hata ilani yao iko vizuri na inaeleweka na hata utekelezaji wake unawezekana tofauti na hao wana saccos
 
Mafisadi na wezi ndiyo wameporwa haki zao za wizi lakini wananchi wa kawaida wanafurahia sana serikali ya awamu ya tano.
Sawasawa kabisa, majizi mengine bila kuyashikia bastola hayarudishi mali za umma, hivi unafikiri bila kumtandika kihelehele wao acacia angeachia migodi yetu? bila kumburuza yule mkurya angeachia mali zetu za nyanza? dunia hii hakuna maendeleo ya lelemama
 
Lissu kakazana na risasi tu.risasi weeee risasi,,risasi weee risasi.wakulima na wafugaji wanangoja labda atawazungumzia mwisho wa mkutano wake lakini mpaka mkutano unakwisha wanatoka kapa.
 
Kumbe kusema anataka Rais wa kusini ndio kueleweka

Halafu anakazia na kusema lazima Lindi mjini itoe waziri.

Halafu anasema ccm hoye!!

Akapimwe huyu
Halafu walikuwa wanasema hafai wanaCCM mtiti wa Lissu umewavuruga sana
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka...
Lissu anaongelea Uhuru, Haki na Maendeleo. Mpaka sasa sijaona kama yuko nje ya ilani .... Mashambulizi mengi kwa Magufuli yanahusu Uhuru na Haki. Kama anaeleweka vizuri kwa wananchi hilo sina uhakika nao!!
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka...
Collaboration iyo mnapigwa mtaongea yote tu
 
Membe yupo vizuri sana. Nimeshangaa lissu kuongelea mambo ya zao la pamba kiwanja cha furahisha. Wote waliokua wamejazana pale siamini kama kuna mkulima wa pamba. Nadhani alikua anaongea mwenyewe.
Wengi pale ni jobl
Wewe jamaa kwa mzee akiongelea daraja na Flyover mtu wa kahama anaelewa?
 
Membe yupo vizuri sana. Nimeshangaa lissu kuongelea mambo ya zao la pamba kiwanja cha furahisha. Wote waliokua wamejazana pale siamini kama kuna mkulima wa pamba. Nadhani alikua anaongea mwenyewe.
Wengi pale ni jobl
Chadema wanavyoongea na wapiga kura inaonyesha wazi hawawajui watanzania... wanachokifanya ni sawa na mfanyabiashara wa beer kwenda kufungua bar mecca au madina 😁😁😁
Huwezi uza bidhaa bila kujua tabia ya soko lako
 
Wakati Dr Slaa anagombea 2010 mkasema mropokaji lakini 2015 alipogombea Lowassa kupitia CHADEMA mkasema tumekosea Dr alikuwa anajua kujenga hoja.

Sasa hivi kila anapopita Lissu watu wakatupia picha mnasema ni za lowasa- hebu kuna watu waanze kutafuta kazi mwenye nchi amekuja
 
Wewe jamaa kwa mzee akiongelea daraja na Flyover mtu wa kahama anaelewa?
Jana aliwaambia wanamanyoni hao wanaowaambia ndege zisinunuliwe sababu nyie hampandi ndege wanawadanganya. Akawaambia madawa yanayotumika yanatoka nje ya nchi, sasa wanataka tutumie bodaboda kuyafata???
Wananchi wakashangilia sana baada kapata elimu ya umuhimu wa ndege
 
Chadema wanavyoongea na wapiga kura inaonyesha wazi hawawajui watanzania... wanachokifanya ni sawa na mfanyabiashara wa beer kwenda kufungua bar mecca au madina [emoji16][emoji16][emoji16]
Huwezi uza bidhaa bila kujua tabia ya soko lako
Wanaongelea haki na uhuru!

Hivi mtanzania ana kosa haki gani na uhuru gani?

Yani shida za viongozi wa chadema wanataka ziwe za watanzania wote.
 
Wanaongelea haki na uhuru!

Hivi mtanzania ana kosa haki gani na uhuru gani?

Yani shida za viongozi wa chadema wanataka ziwe za watanzania wote.
Mkuu umesahau..... Aliongea Tundu akasema serikali isiingilie mambo ya mapenzi ya jinsia moja



Nadhani wanataka uhuru na haki ya wanaume kuoana na wanawake kuoana
Hiyo laana haitatendwa na Tanzania hii. Wayapeleke hukohuko walikoyatoa
 
Back
Top Bottom