Uchaguzi 2020 Bernard Membe anaongea lugha rahisi na anaeleweka kuliko Lissu

Uchaguzi 2020 Bernard Membe anaongea lugha rahisi na anaeleweka kuliko Lissu

Mkuu umesahau..... Aliongea Tundu akasema serikali isiingilie mambo ya mapenzi ya jinsia moja
Nadhani wanataka uhuru na haki ya wanaume kuoana na wanawake kuoana
Hiyo laana haitatendwa na Tanzania hii. Wayapeleke hukohuko walikoyatoa
Ni vibaya sana kupotosha kwa makusudi kwa maslahi yako,leta clip akiongea
 
Pigia kura mgombea unayeona anaeleweka? Kama Lisu haeleweki kwako sisi wengine tunamuelewa
 
Mkuu umesahau..... Aliongea Tundu akasema serikali isiingilie mambo ya mapenzi ya jinsia moja
Nadhani wanataka uhuru na haki ya wanaume kuoana na wanawake kuoana
Hiyo laana haitatendwa na Tanzania hii. Wayapeleke hukohuko walikoyatoa

..mbona Magufuli aliwapokea Babu Seya na Papii Ikulu?

..sote tunajua Babu Seya na Papii walipatikana na hatia ya kulawiti watoto.

..Je, ccm na Magufuli wanaunga mkono mambo hayo machafu ktk jamii?
 
Jana aliwaambia wanamanyoni hao wanaowaambia ndege zisinunuliwe sababu nyie hampandi ndege wanawadanganya. Akawaambia madawa yanayotumika yanatoka nje ya nchi, sasa wanataka tutumie bodaboda kuyafata???
Wananchi wakashangilia sana baada kapata elimu ya umuhimu wa ndege
Watu wa manyoni walimchora tu mzee baba wenu. Zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya hata Panadol na dripu za maji kupatikana ni shida.

Hospitali ya taifa muhimbili na ocean road dawa zenyewe hakuna halafu anawadanganya wasiojielewa na mindege yake.
 
..mbona Magufuli aliwapokea Babu Seya na Papii Ikulu?

..sote tunajua Babu Seya na Papii walipatikana na hatia ya kulawiti watoto.

..Je, ccm na Magufuli wanaunga mkono mambo hayo machafu ktk jamii?
Watanzania wanajua kisa cha babu sea vizuri sana na Rais Magufuli kama mmoja wa watanzania nae anajua lile tukio lilivyotengenezwa.

Hata aliyegombea urais kupitia chadema kwenye kampeni zake aliahidi kumfungulia babu sea sababu alijua hukutenda kosa na hakukua na ukweli kwenye hukumu yake.

Kwa kuwa John Pombe Magufuli ni rais mpenda haki hakuweza acha haki ya familia ya sea ipotee

Pamoja na hayo, hata kama siamini na wewe unaona mapenzi ya jinsia moja ni sawa
Huwezi halalisha haramu kuwa halali kwa kutumia haramu
 
Membe yupo vizuri sana. Nimeshangaa lissu kuongelea mambo ya zao la pamba kiwanja cha furahisha. Wote waliokua wamejazana pale siamini kama kuna mkulima wa pamba. Nadhani alikua anaongea mwenyewe.

Wengi pale ni jobl
Huyu jamaa amekurupuka tu ili apambane na Magufuli
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.

Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.

Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
Lissu anayaongelea Sana Tena Sana tu sema hamtaki kumwelewa kwakuwa alipona ile mission yenu ..mbona sisi tunamwelewa?? Lumumba tu ndo hawataki kumwelewa
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.

Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.

Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
Usimwamshe aliyelala.
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.

Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.

Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.

Hoja ikiungwa mkono na lb7 kama mleta hoja si lb7 mwenzao basi tambua pana tatizo mahali.

Kumbuka lb7 = misukule.
 
Inamaana ACT na chadema wameshindwa kabisa kuungana ?

ACT na CDM lao moja. Pana mitego wamewekewa ili ikibidi kuwaengua kama wakiungana.

Hawa jamaa wako vizuri sana kwenye kukwepa mitego waliyowekewa na wanaojiita wenye nchi.

Tusubirie mkuu. Muda ukifika yote yatakuwa wazi.

Si unaona upepo wa wagombea unavyokwenda hadi sasa? Yuko wapi mwenye matisho ya kuwakamata baadhi ya wagombea?

Tuwape muda mema yapo njiani.
 
We ni mgumu kuelewa. Lazima kwanza umfungue mtu macho aone wapi anaonewa, haki zake ni zipi, nani kazipora na kazipora kwa vipi. Kuporwa kwa haki zake kumemleteaje umasikini, tatu alizonazo etc. Then unampa the way forward kuzitatua . Hayo ndiyo anayoyazungumzia Lisu!

Membe nasikia ameongelea matatizo ya watu wake wa kusini! Sijui, sijamsikia mwenyewe lkn nimesoma hapa JF kuwa jana kaongelea matatizo ya kusini Anyay charity begins at home, with time atakwenda mbali zaidi ya kusini!

Kutawala wajinga wengi kupitiliza ni shida sana. Sioni utawaambia nini wakuelewe!
Maadui wetu hawa, nañukuu tu,"Ujinga, umasikini ..... "
 
Una akili finyu sana, na uwezo mdogo kiakili so huwezi Kumuelewa Lissu, pole sana. Na unatumia kipimo gani kupima impacts ya speeches za wagombea?
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.

Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.

Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
Tundu Lissu kawshika MATAGA kunako....
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.

Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.

Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
Kwavyovyote vile ubongo wako utakuwa na kamasi nyingi sana
 
Back
Top Bottom