Upinzani siju watajifunza lini
UWT huenda alimaanisha Usalama wa Taifa au tuseme ndiyo BAWACHAMara awasalimie UWT mara aishukuru kamati kuu ya CDM. Hivi ata alijua yupo kwenye mkutano wa chama gani kweli.
Agustino Lyatongo Mrema
Mzee wa kiraracha
A.k.a siku 7
Mkuu hapana. Kama kazi alifanya sana tena kubwa kubwa za kutisha. Uchu wa mafaraka tu. Hawatosheki hata na pesa walizo nazo maana huyu ana mahotel kusini na DSM na vitega uchumi kibao lakini badoooTuna safari ndefu sana katika Idara ya kuandaa vipepeo..nafikiri kuna walakini kwenye screen ya vetting na ndiyo matunda yake haya!
Lissu na Membe wote hawatokuja wawe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Huku bara sijaona wa kumtikisa Mh. Rais ila kwa upande wa visiwani kutakuwa na mchuano mkali mno kwa bwana Mwinyi..
Maji hata yawe ya moto vip lazma yatapoaHata lowassa nae alisema ccm sio baba yake na mama yake ila leo yupo wapi
usajili pekee wa maana waloufanya ACT ni maalim seif maana huyu ana wafuasi wake direct bt huyu maembe hana lolote zaidi ya kubwabwaja na kujimwambafy
Membe, Zito na Mwalimu Seifu Sharifu are CCM Agents. CHADEMA be carefull. Recall, Murema's activities from day one when he embraced opposition.Anatuzuga tu hana lolote
Haya kama unaona alimaanisha ivyo unavyodai ila alikuwa kwenye mkutano wa ACT sasa BAWACHA wanaingiaje. Ni blunder yeye mwenyewe alijua na akaomba msamaha.UWT huenda alimaanisha Usalama wa Taifa au tuseme ndiyo BAWACHA
CCM tunajielewa wewe .Wapiga kura wetu hawako mitandaoni wako mitaani na vijijini.Ndio maana hata midahalo mnayotaka ya wagombea uraisi huwa hatuitaki sababu wapiga kura wetu sisi wengi hawana TV.
Sina neno katika hilo...kila mtu ni mwizi isipokuwa tunatofautiana level, nachohoji ni kwanini anataka kuaminisha umma kwamba kuwa kwake pai(tena mbobezi kama anavyopenda kutambulika) ni sifa iliyotukuka inayomfanya apewe zawadi ya nchi?Mkuu hapana. Kama kazi alifanya sana tena kubwa kubwa za kutisha. Uchu wa mafaraka tu. Hawatosheki hata na pesa walizo nazo maana huyu ana mahotel kusini na DSM na vitega uchumi kibao lakini badooo
Zitto na Membe wanafanya maigizo tu hapo, wanajua kazi wanayofanya.Yaani achana hata na Lowassa huko mbali
Mimi kila nikimuangalia A. Kinana kwa jinsi alikua well connected na ushawish wake ndani ya chama na amerudisha mpira golini
Nabaki nawahurumia tu "wafuasi" wa ACT kwasababu Zitto na Membe sio watakaopoteza hawa wawili wanajua wanachokifanya na wanajua kabisa hawana ubavu wa kushindana na Chuma.
Wanavuta muda tu watarudi " To kiss pope's ring"
Nyie mnajisumbua tu.Bila kuungana mtaishia kugawana kura.
Matiti yanawashaThey'll all fail like fools again.
Never learn a lesson.
CCM tunajielewa wewe .Wapiga kura wetu hawako mitandaoni wako mitaani na vijijini.Ndio maana hata midahalo mnayotaka ya wagombea uraisi huwa hatuitaki sababu wapiga kura wetu sisi wengi hawana TV.HATUWEZI UZA SURA kwa wenye TV ambao hawafiki hata asilmia tano ya wapiga kura !!!
Na watanzania wa kawaida hata awe na TV hujiaangalilia movie sio mambo ya siasa.CCM hatuwezi poteza muda kuuza sura kwa wenye TV majumbani kwanza wengi hata kupiga kura huwa hawaendi wanakaa nyumbani wanafuatilia tu kwenye TV
Mitandaoni wapiga kura hamna wako wachache sana
Sina neno katika hilo...kila mtu ni mwizi isipokuwa tunatofautiana level, nachohoji ni kwanini anataka kuaminisha umma kwamba kuwa kwake pai(tena mbobezi kama anavyopenda kutambulika) ni sifa iliyotukuka inayomfanya apewe zawadi ya nchi?
Kwanini si mvumilivu?
Kwanini yeye pekee tu ndiye anahisi ni mtu wa kuonewa muda wote?
Wakati wa utumishi wake hakula kiapo cha ofisi na utumishi kuttotoa yasiyotakiwa?
Ikiwa ameonesha udhaifu asubuhi hii mapema akipewa nchi si atairudisha kwa wakoloni?
Kwanini asiweke akiba ya maneno?