Kisalilo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 1,880
- 2,110
Membe ni muislam?Ila ACT kimejijenga katika Misingi ya Udini sana, Uislam, ila Poa tu, Shetani CCM lazima apigwe na silaha yeyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe ni muislam?Ila ACT kimejijenga katika Misingi ya Udini sana, Uislam, ila Poa tu, Shetani CCM lazima apigwe na silaha yeyote
Hakuna mbinu magufuli kafanya mengi sana kwanini atumie nguvu kubwa ivyo¿?Jasusi na chama chake wamekuja na mkakati wa kugawa kura za upinzani. duuh sisiem wana mbinu
Leo chama chetu kinampokea rasmi Ndugu Benard Membe ndani ya chama.
Kiongozi wa chama, Ndugu Zitto Kabwe; Mwenyekiti wa Chama Taifa, Ndugu Maalim Seif Sharifu Hamadi; na Katibu Mkuu wa Chama, Ndugu Ado Shaibu na viongozi wengine wa chama wa Bara na Zanzibar wote watawaongoza wanachama kumpokea Ndugu Membe.
Karibu Benard Membe ACT–Wazalendo.
View attachment 1508280
View attachment 1508274View attachment 1508275View attachment 1508276View attachment 1508281View attachment 1508278View attachment 1508279
Hawana kifua.ACT Wazalendo,
Hivi CCM yangu nao hawana Verified Account yao hapa Jamvini JamiiForums? Kama hawana 'wananiangusha' mno na ninaomba wawe nayo pia.
Ndiye mgombea wa Chadema huyo Membe jiandae kisaikolojia . Chadema na ACT wanaenda ungana na mgombea wao Membe2015 Kwa cdm ya Lowassa ilikuwa fundisho tosha. Kwenye hili la Membe kwenda ACT, muda utakuwa mwalimu mzuri.
Safari hii tutaona kama jamaa yenu atapiga PUSH UP majukwaani .....!!Membe kaishukuru kamati kuu ya CHADEMA kwa kumpokea baadaye akasema ohh sio nashukuru kamati kuu ya ACT wazalendo!! Anaonyesha keshaongea na kamati kuu ya Chadema na wameshakubaliana sidhani kama kateleza ulimi hapana !!
WAZALENDO na CHADEMA wanaenda kuungana mgombea wao ndio huyu Membe mark my words ndio maana wajumbe wa kamati kuu waliotia nia kugombea chadema wa ndani akina Mbowe wamekimbia ugombea uraisi kiaina!!! kumpisha
Nguvu nilizopoteza kwa kununua kalamu yangu mpya ya "obama" dukani maana tuliambiwa kalamu za tume ya uchaguzi wino wake unayeyuka, siku ya kupiga kula nilitembea kwa miguu km 6 kufika kituoni nilipojiandikisha, siku hiyo daladala hazikuwepo! matokeo yake watu wakaunga mkono juhudi SIWAAMINI TENA WAPINZANI WANAOTOKA CCM, muda wote wanakuwa wapi hadi kipindi cha kuchukua fomu ndio wanachukua kadi?
Sounds like a title of the book.Ujasusi Sebuleni Kwetu
Sasa wewe MATAGA inatakiwa ufurahie maana upinzani unakufa na CCM itatawalawa milile kama alivyosema Yesu wa Lugola.
Pandikizi la ccm Hilo imekula kwake,katumwa kuja kuzigawa kura za upinzani,ACT wasirudie kosa la cdm 2015 wataondoa Imani kwa wananchiNdiye mgombea wa Chadema huyo Membe jiandae kisaikolojia . Chadema na ACT wanaenda ungana na mgombea wao Membe
Izo kura zina simamiwa na tume huru!Pandikizi la ccm Hilo imekula kwake,katumwa kuja kuzigawa kura za upinzani,ACT wasirudie kosa la cdm 2015 wataondoa Imani kwa wananchi
Uko sahihi kuwa hakutegeme kuwa hapo alipo. He will adapt to new situations1Bernard Membe amehama tu Mwili wake kwenda ACT-Wazalendo. Katika hali ya kushangaza amekosea vitu vya msingi kabisa katika hotuba yake. Hii inaashiria kuwa hakujiandaa kisaikolojia kuhamia huko alikokwenda.
Kwanza kabisa ameitaja ngome ya Wanawake ACT-Wazalendo kuwa ni "UWT" ambao ni Umoja wa Wanawake CCM. Aidha akiwashukuru viongozi wa Chama hicho kumkaribisha, amesema kuwa ni Viongozi wa CHADEMA. Viongozi hao wametabasamu kinafiki tu.
Hii hali itamtesa kwa muda mrefu sana katika maisha yake, kwa sababu anafanya hivyo akidhani anamkomesha mtu fulani, but deeper inside anaamini kuwa hakutakiwa kuwa hapo alipo ambapo siyo mahali sahihi kwake.
Mnafanyiwa hivyo sababu ninyi ni manyumbu hamjielewi!Jasusi na chama chake wamekuja na mkakati wa kugawa kura za upinzani. duuh sisiem wana mbinu
unaishi nchi ganiHakuna mbinu magufuli kafanya mengi sana kwanini atumie nguvu kubwa ivyo¿?
Dodoma uliona Barakoa.....Sioni Barakoa hapo.
Ndiye mgombea wa Chadema huyo Membe jiandae kisaikolojia . Chadema na ACT wanaenda ungana na mgombea wao Membe