Nime screenshot post hii naihifadhi kwa matumizi ya baadae.Juzi niliongea na mtumushi wa Mungu akaniambia kuhusu nguvu ya damu...Lissu alivyopigwa risasi Dodoma alipoteza damu yake 40% hadi madaktari bingwa wa Kenya walisema huu ni muujiza kuwa hai...Sasa watu wanaotoa kafara za wanyama na watoto wa kuwazaa hawawezi kumshinda Lissu kwenye ulimwengu wa kiroho maana Lissu katoa damu yake kama Yesu...CCM mwisho wenu umefika damu ya Lissu inaenda kuwakomboa Watanzania kwenye kivuli cha wachawi na washirikina..tafakuri
HahahaaaaHata kelele za ‘twende na Membe’ zimezima sasa.
Sauti yake imefifia sana kama Lowasa tuu. Kwa kweli mmmh, ladha ya kumsikiliza hakuna.Akiwa anaongea unamwona kabisa anatafuta maneno ya kuongea ambayo yatapokelewa kwa shangwe na hadhira yake, lakini wapi!
[emoji38][emoji38][emoji38]Ndio ujue Watanzania ni watu wa mikumbo kama vile hawamuoni siku hizi
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]nimecheeekaMembe ni Lowasa aliyechangamka
Kuna ugumu ganiNgumu now kuwa judge wagombea wa upinzani since hata media zinawaogopa..
Charisma ..Lissu Yuko juu hata ya Magufuli.
Magufuli ana advantage ya 'machinery'.. behind
Yaani huyu amshukuru tu JK, alimfanya akafahamika. Zitto sijui alifikiria nini huyu ndi agombee Urais. Mimi naona amwachie Lissu tu.Huyu jamaa, hana kabisa mvuto akiwa jukwaani.
Siasa kwake naona si jambo alilonalo kiasili.
Anajitahidi sana kuongea na kudondosha vibwagizo akiwa jukwaani, lakini wapi! Hamna kitu kabisa.
Maneno hayamtoki mdomoni kiulaini. Linganisha Lissu akiwa jukwaani na huyo Membe, ni usiku na mchana.
Sauti haina mvuto. Hana msamiati wa kutosha wa kuchotea vibwagizo kuendana na hadhira iliyo mbele yake.
Anachokiweza ni vijembe vya kimafumbo huko Twitter.
Huyu kashinda kesi na kuna uwezekano wa kugombea Urais tena Ivory coast.Akienguliwa na nani? Mbona mnachomeka ndoto zenu za alinacha?
Muengue Lissu nchi igeuke DRC na huyo anaye yachochea hayo yamkute ya yule wa Ivory Coast.
View attachment 1534223
Yaani huyu amshukuru tu JK ,alimfanya akafahamika. Zitto sijui alifikiria nini huyu ndo agombee Urais.Mimi naona amwachie Lissu tu.
Havutii hata kumsikiliza.
Ukiona hvyo ujue ndio akili yake ilipofikaMembe Kama unakumbuka kampeni za kutia Nia CCM mwaka 2015 alikuwa pia akiongea utopolo mtupu, sio kwamba Hana hoja tu, bali Hana ajenda kabisa za maana
Mfano alipokuwa Unguja na Pemba, Jambo analoahidi Ni kuwatoa masheikh wa Uamsho mahabusu
Kati ya changamoto zote za Zanzibar yeye kaona tu Hilo. Hazungumzii hata reforms za mifumo ya kubadilishana wafungwa Kati ya bara na Zanzibar (extradition) ambalo ndio msingi mkuu wa hili la Uamsho
huwezi kusema utaachia watu huru Kama agenda yako kuu,
Lowassa ndio hana mpinzani kwa Charisma. Yeye anapanda jukwaani anasema maneno matatu tu Elimu, Elimu, Elimu, ila shughuli yake si mchezo. Charisma yake hadi ilisababisha CCM washindwe kuiba kura Zanzibar, nguvu yote waliweka bara kupambana na mzee wa elimu
Hahahh,[emoji1544]Membe ni Lowasa aliyechangamka
Mbona unahangaika?Lissu ni Magufuli anayejua kiingereza
Nahangaikia nchi yangu ipate kiongozi safiMbona unahangaika?
Lissu anawatesa sana wa kijani, now mpo kama mmenyeshewa mvua, kila mnapogusa hapashikiki. Mrudisheni Nape, naye kwa sababu kazibuka ataweza kushindana na Lissu. Polepole yeye analialia tu kwenye media.
Low energy Membe ndio kiongozi safi?Nahangaikia nchi yangu ipate kiongozi safi