Namuunga mkono, kwa nn atoke? Hii ndio demokrasia, kila mtu agombee akashindwe kwenye box la kura
Mgombea wa kiti cha urais kupitia ACT wazalendo ameanza kuonja shubili ya kujinadi kisiasa.
Hii imetokea mara tu baada ya kusambaa habari kuwa amekataa kabisa kuungana na cdm ili kumsimamisha mgombea mmoja wa kiti cha urais.
Hapa chini ni moja wapo ya mkutano yake ambapo yupo pekee yake akiwa amezungukwa na bebndera za chama tu.
Tumkumbushe tu kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. View attachment 1564174
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati nzuri Membe ana sura nzuri Mashaallah lau kana sura yake imeanza kusawajika na kupoteza nuru siku za hivi karibuni ila Bahati mbaya sana Membe huyohuyo hana mvuto kabisa wa kisisasa.HATOKI MTU HAPA! Wale wote wanaodhani kuwa Nitajiondoa katika kinyang'anyiro cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo, wanaota ndoto za Mchana. Kimbunga kitakachoanza tarehe 15 September 2020 October ni Kimbunga kumbakumba! Watanzania kaeni chonjo!
Mgombea wa kiti cha urais kupitia ACT wazalendo ameanza kuonja shubili ya kujinadi kisiasa.
Hii imetokea mara tu baada ya kusambaa habari kuwa amekataa kabisa kuungana na cdm ili kumsimamisha mgombea mmoja wa kiti cha urais...
Zitto yupo Kigoma anajipigania kwanzaZito ameshindwa kabisa kutafuta mimbari nzuri yenye hadhi?
Kwanini mkuu, umemgundua kitu gani hapo?Hao walinzi wake wanatia mashaka
ndiyo wataleta kimbunga kumba-kumba ?Wale wazee wastafuu waliodukuliwa wote wapo na Kachero pia Jk anawaunga mkono
Afsa kipenyo ndiyo kitu gani hichoAfisa Kipenyo mwandamizi
Awapi 🚶Kuna game linatengenezwa ambalo ndiyo kaburi rasmi ya CCM before 28th October.
Stay turned... kauli ya Lissu Zanzibar na ukimya wa ACT si mwa bahati mbaya
Siasa ni Sayansi na Sayansi is all about logics bwa mdogo!!Awapi 🚶
Hicho kimbunga kilishachelewa kwa kifupi Membe ameshajifia kisiasa hata kura 100 sijui Kama atapataMgombea urais kupitia chama cha ACT Wazalendo ambaye hapo kabla alikuwa mwanachama wa ccm Bernard Membe ametema nyongo baada ya maneno kuwa mengi yakimtaka aachie nafasi ya kinyang'anyiro cha urais na kumuunga mkono mgombea urais kwa tiketi ya Chadema Tundu Antipas Lissu ambaye amemuunga mkono mgombea wa ACT upande wa Zanzibar Maalim Seif Shalif Hamad..