[SUB]AIidai kuna Tsunami ya wafuasi wanakuja kujiunga na chama chako kupata. Sasa ni kimbunga kisichojulikana. Nimkumbushe tu kwamba bado hatujaona hata mjumbe wa nyumba 10 akimfuata huko aliko. Nina hakika uongozi wa ACT wanajua wameingizwa kichakani.[/SUB]