Bernard Membe mbona yupo kimya sana?

Bernard Membe mbona yupo kimya sana?

Unataka umfananishe na sabaya ,huyu anafanya kazi zake kimya kimya ujuavyo hata gazeti lachama linaandika vitu mama hakusema

Kazi zawatu hizo
 
'Wenye nchi' wameshamtisha.Na huenda wamemkumbusha yale yaliyomkuta I. Kombe.Kuna nguvu kubwa ipo nyuma mfumo rasmi tunaoujua.Ina nguvu kuliko Serikali.
 
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka jana alisema (nanukuu), nasubiri dakika za majeruhi nifunge goli niingie ikulu.
 
Alisema atafunga goli dakika ya mwisho watu tukacheka mpaka basi. Tukamuona chizi tu. Hata sijui alifungwa yeye goali hata hatuelewi.
 
Anatafakari atarudi ccm kwa staili ipi.
Jasusi wa zamani wa TISS, Mwanadiplomasia na waziri mstaafu Benard Membe yupo kimya Sana awamu hii.

Membe ni jasiri aliyemtikisa Magufuli na kukosoa utendaji wake tangu mwaka 2016 mwanzoni. Namnukuu"Rais Magufuli asitudanganye eti kapunguza matumizi ya serikali kwa kuunganisha wizara mbalimbali, alichokifanya ni sawa na kupunguza mifuko huku idadi ya mayai ikiwa ileile, yaani kahamishia mayai ktk mifuko michache na sio kuyapunguza mayai. Kama anadai kapunguza wizara ngoja tuone bajeti yake ya Kwanza mwaka huu 2016". Benard Membe.

Alipotoa kauli hiyo alitukanwa Sana na UVCCM ya kipindi hicho. Baada ya hapo alinyamaza kimya na kuibuka baadae na kudai atampinga Rais Magufuli kwa njia ya uchaguzi ndani ya chama 2020. Hawakumvumilia na badala yake alifukuzwa na kuhamia ACT. Aligombea Urais na kuambulia kura chache mno, kura si zaidi ya 60,000.

Je, jasusi huyu yupo wapi mbona hasikiki? Anautazama vipi utawala huu?
i ccm kwa staili ipi
 
Mzee wameitumikia nchi sana tumwache apumzike vijana nao wapambane sio kuulizia water wawatu labda wadangaji ndio waulizieee!!!!
 
Back
Top Bottom