Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Kauli hii ina maana gani kwamba ni ahadi ya Mh Membe kuwa atakaposhinda kiti cha Urais na kuapishwa basi siku inayo fuata viongozi wa dini watarudishwa Zanzibar.
Hapa anamaanisha mashekhe wa uamsho ama ni viongozi wepi hao?
Na je kurudishwa Zanzibar tu ama kuachiwa huru kabisa mbona ameweka fumbo?
Kauli hiyo ameitoa leo Zanzibar kwenye mapokezi ya viongozi wa ACT wazalendo
Hapa anamaanisha mashekhe wa uamsho ama ni viongozi wepi hao?
Na je kurudishwa Zanzibar tu ama kuachiwa huru kabisa mbona ameweka fumbo?
Kauli hiyo ameitoa leo Zanzibar kwenye mapokezi ya viongozi wa ACT wazalendo
Dini itatumika Kama mtaji wa kisiasa kwa Bernad Membe?