Bernard Membe: Nikiapishwa kuwa Rais wa Tanzania viongozi wote wa dini (mashekhe) watarudishwa Zanzibar

Bernard Membe: Nikiapishwa kuwa Rais wa Tanzania viongozi wote wa dini (mashekhe) watarudishwa Zanzibar

Hakuna dalili ya kumuunga mkono Lissu hapo labda huyo Lissu ndio amuunge mkono Membe, hapo wamekutana wote waroho wa madaraka hivyo hakuna wa kumuachia mwenzake hapo.
Waroho kuliko ccm iliyoko madarakani kwa miaka yote ...
 
Kauli yake inamaanisha Lisu amuachie urais ili aje kuapishwa nadhani yuko sahihi anakubalika
 
Huyu atamuunga mkokno Lissu au atasimama yeye kama yeye?

Membe asipomuunga mkono Lissu ni wazi kuwa Rais Magufuli atapata ushindi wa kishindo October 2020 yaani zaidi ya 95% ya kura zote zitakazopigwa!! Ushindani wa kweli upo Zenj, hapo kuna kivumbi na ‘ki dust’[emoji38]
 
Hivi huyu Membe sio yeye ndiyo kwamba alipinga suala hili la masheikh wa uamsho kuachiwa pale Lowassa aliposema atawatoa hao masheikh?
 
Hakuna dalili ya kumuunga mkono Lissu hapo labda huyo Lissu ndio amuunge mkono Membe, hapo wamekutana wote waroho wa madaraka hivyo hakuna wa kumuachia mwenzake hapo.
Iwe iwavyo muhimu kura za ccm ziharibike au zipungue.
Itambulike wazi kura za upinzani ziko palepale bali kitu kinachohitajika ni kura za wale ccm wafuata watu zinapatikanaje?
 
Kauli hii ina maana gani kwamba ni ahadi ya Mh Membe kuwa atakaposhinda kiti cha Urais na kuapishwa basi siku inayo fuata viongozi wa dini watarudishwa Zanzibar.

Hapa anamaanisha mashekhe wa uamsho ama ni viongozi wepi hao?

Na je kurudishwa Zanzibar tu ama kuachiwa huru kabisa mbona ameweka fumbo?


View attachment 1532176
Kauli hiyo ameitoa leo Zanzibar kwenye mapokezi ya viongozi wa ACT wazalendo
View attachment 1532178
Dini itatumika Kama mtaji wa kisiasa kwa Bernad Membe?
Yaani Siku zote akiwa kwenye kamati ya ulinzi wa taifa, pia foreign minister akipigia chapuo foreign policy ya Tz, na akijinasibu kuwa alikuwa karibu saana na Mwl.
Leo hii anasema atawaachia uamsho, mara muungano una dhuluma , ni zipi
Ili zirekebishwe na sio kutuuzia mbuzi kwenye gunia.
Rejea kauli ya Obama kuhusu Guantanamo bay, kuifungua lakini ipo mpaka leo
 
Kauli hii ina maana gani kwamba ni ahadi ya Mh Membe kuwa atakaposhinda kiti cha Urais na kuapishwa basi siku inayo fuata viongozi wa dini watarudishwa Zanzibar.

Hapa anamaanisha mashekhe wa uamsho ama ni viongozi wepi hao?

Na je kurudishwa Zanzibar tu ama kuachiwa huru kabisa mbona ameweka fumbo?


View attachment 1532176
Kauli hiyo ameitoa leo Zanzibar kwenye mapokezi ya viongozi wa ACT wazalendo
View attachment 1532178
Dini itatumika Kama mtaji wa kisiasa kwa Bernad Membe?
AMESHAFELI MPAKA HAPO..BORA ASINGEONGELA HILO, YAJAYO YANAFURAHISHA
 
Kauli hii ina maana gani kwamba ni ahadi ya Mh Membe kuwa atakaposhinda kiti cha Urais na kuapishwa basi siku inayo fuata viongozi wa dini watarudishwa Zanzibar.

Hapa anamaanisha mashekhe wa uamsho ama ni viongozi wepi hao?

Na je kurudishwa Zanzibar tu ama kuachiwa huru kabisa mbona ameweka fumbo?


View attachment 1532176
Kauli hiyo ameitoa leo Zanzibar kwenye mapokezi ya viongozi wa ACT wazalendo
View attachment 1532178
Dini itatumika Kama mtaji wa kisiasa kwa Bernad Membe?

Jifunze kutoka serikali ya mseto ya CUF upande wa Zanzibar wakati wa Maalim, kulikuwa na dalili hizo ila baada ya Dr Shein kushika madaraka ndo unasikia ya Castico, ikawa kama enzi za awamu za kwanza mpaka ya nne na sasa ya sita! Kama Mhe Membe kauza jimbo lake la Mtama kupita bila kupingwa, kupata Urais ni ndoto za mchana na dalili zote zipo kwani ni kama vile kajitoa kwenye kinyanganyiro maji yamefika shingoni. Rais ni Dr Magufuli tu mpaka 2030!!!
 
Back
Top Bottom