Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Hio account si ya membe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi?? Funguka MATAGA USSR MZEE WA EAGLEHakuna mtu mwoga kama Membe
Sio kwamba sisi tunaomtumia msg nyingi kutwa kuchwa ndio tumechanganyikiwaHuyu nae ni kichaa mwingine. Sasa waru wenyewe hawana habari nae wala hata hawajamsemesha yeye anapayuka nini tena? Walishamfuta uanachama sasa huo msamaha ni upi? Hahahaaaaa. Keshachanganyikiwa huyo.
KwannHakuna mtu mwoga kama Membe
Acha kumdharirisha mwana ccm mwenzio..kwn ninyi c ndo mmehalarisha hayo Mambo??Chadema. Makapi hayo kutoka CCM. Wahini mpate mgombea wa uraisi. Yule wakala wa mabeberu alie ughaibuni watanzania hawatamsikiliza. Hasa sera zake za kutetea ndoa za jinsia moja
Tumeshamfukuza.Acha kumdharirisha mwana ccm mwenzio..kwn ninyi c ndo mmehalarisha hayo Mambo??
Lini?? Kale kakikundi ka wahuani kana uwezo huo?Tumeshamfukuza.
Nani amuandikie meseji za kumtaka aombe msamaha? Kwani Membe ni mwanachama wa CCM si alishatimuliwa sasa aombe msamaha kwa nani?Mwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
Haya siyo maneno ya Mh. MEMBE Jasusi Kongwe na Mwanadiplomasia maana nakumbuka tangu awali alisema Hamiliki Akaunti Kwenye Mtaandao wa Twitter labda Account ya Ki- Parody kama Ya Kigogo2014Mwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
Mkuu ndiyo maana tunakaa darasani miaka na miaka ili kuondoa hizo tofauti za matamshi kuhamia kwenye maandishi. Si unakumbuka kuanzia darasa la kwanza ndiyo safari ya kujifunza kusoma na kuandika inaanza? Tangi kipindi hicho ndiyo mtu unajifunza kuandika vitu maneno kama GARI, AJIRA, etc.. na ukikosea mwalimu anakusahihisha. Sasa kama kuna mtu anasoma mpaka kwa mfano chuo kikuu na hajui kuandika ajira na badala yake anaandika ajila si hakuwa makini huyo? Hebu fikiria watu wote duniani wangekuwa wanaandika maneno ya lugha ya kiingereza kulingana na matamshi ya lugha ya asili, tungeelewana kweli? Sentensi kama ''Hello, are you a lorry driver'' ingeweza kusomeka ''Herro, are you a rolly dlifer''? . Kuondoa hili ndiyo maana tunaenda shule. Na hapa sizungumzii makosa ya bahati mbaya katika ambayo kila mtu anaweza kufanya. Kinachofanyika Tanzania sasa hivi ni uzembe na tujitahidi kujirekebisha.Unalolisema ni sahihi. Lakini kumbuka watanzania wengi tunaongea na kuandika kiswali kwa kuendana na lugha za asili. Hili ndilo tatizo kubwa ambalo kuliondoa haitawezekana.
Kwa mfano watoto wa siku hizi hapana wanaandika/wanatamka apana. Asubuhi wanaandika/wanatamka hasubui
sawaHaya siyo maneno ya Mh. MEMBE Jasusi Kongwe na Mwanadiplomasia maana nakumbuka tangu awali alisema Hamiliki Akaunti Kwenye Mtaandao wa Twitter labda Account ya Ki- Parody kama Ya Kigogo2014
Wewe unafakamia watu tu hata wazazi wakoUlipoandika tu et nikajua upo form three B
bro mimi yatima mmoja mzuri tuWewe unafakamia watu tu hata wazazi wako
Ndio maana,hauna malezi ya wazazi,naomba umweshimu kila mtu maana anaweza kuwa mzazi wakobro mimi yatima mmoja mzuri tu
ungeanza kuheshimu na mawazo ya wengine KwanzaNdio maana,hauna malezi ya wazazi,naomba umweshimu kila mtu maana anaweza kuwa mzazi wako
Mkuu ulikuwepo??kwenye kikao cha saa saba mchana siku ya mchakato wa kuteua majina ya uraisi july 2015 kuna makubaliano yalifanyika kuwa jpm atawale miaka mitano halafu amwachie membe!!!sasa naona jpm kagoma anataka atawale hadi pale moyo wake wa betri utakaposimama ndio uwe mwisho wa utawala wake!!!tusubiri tuone!!!
When you're a looser, you have nothing to loose! Ushujaa gani wakati ulishafeli?Mwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338