Wake up guy,look the distance between ,tranport cost will rise ,eventually price commodities will rise too,themselves will be torturingJidanganye kuna Beira Msumbiji na Welvisbay Namibia
Sasa subiri nani ataomba poo,siwezi bishana na muhaAcha upumbav.u wewe, asilimia 70 ya wapi? Umewahi kuyaona malori ya Zambia yanayotoka South Africa?..Hivi unajua Dar Lusaka ni mbali kuliko Dar Johburg kwa ubora wa barabara n.k? Uwe una-google mambo mengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna chochote Beira na Welvis bay ni karibu kwao kuliko DarWake up guy,look the distance between ,tranport cost will rise ,eventually price commodities will rise too,themselves will be torturing
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wasipokuwa na hoja hukimbilia matusi!! Rais wetu ametusimamia vizuri na imara sana katika kipindi hiki ambacho vinginevyo kingekuwa kigumu sana! Walitegemea atateleza lakini hakuteleza! Wala hakuyumba!! Kwa hiyo maadui wa nchi yetu na mawakala wao wamekasirika sana baada ya kukosa kabisa mpenyo wa kuitikisa nchi yetu!! Hivi haujishangai kwa nini una hasira Kali kiasi hicho?Bernard Membe ameongea kwa unyenyekevu tu. Siyo kwamba Diplomasia imeshuka bali Diplomasia imekufa. Tuna pimbi tu pale Ikulu ndiyo tumemkabidhi nchi
Utasubiri sana!!
Panueni tu magoli,Tanzania is the best place ,ngoja huko mizigo yao ikutane na waasi ili wapate akiliMsumbiji wamefanya upanuzi mkubwa wa bandari yao. kuna kampuni ya uholanzi imefanya hiyo kazi. Last week Maersk kashusha chombo kikubwa sana hapo port kwao. Na wanajitahidi kuimarisha ulinzi na usalama eneo lao kutengeneza njia salama kwa Zambia kutumia bandari yao. Ni kitu wameshashinda hadi sasa.
Hapa kwetu kuna siasa na uchaguzi, kuna mtu anahujumiwa live live. Kuna namna mtu anatafutiwa ili jamii isimkubali. Halafu najiuliza wale watanzania waliohamishia mitaji na biashara zao Zambia kuwakwepa kina Zakayo wa hapa, kwa sasa hali yao ikoje? Biashara zao wataziendeleza vipi kwa kufungwa mpaka?
Nyumbani ni nyumbani tuu,
Hapo ndipo watakapojua kuwa waliruka majivu wakakanyaga moto!!Panueni tu magoli,Tanzania is the best place ,ngoja huko mizigo yao ikutane na waasi ili wapate akili
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes mkuu!Hapa naamini ulikuwa unazungumzia tofauti ya Umbali kati ya DSM - LSK na ule wa LSK - JBURG
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Membe anajua kuzungumza na mabeberu ,akiongezewa Oxygen na kaka mkubwa huoni kama anaweza akajimambafy?Alitishia eti "niguse ninuke" Alivyoguswa badala ya kunuka akanukia!! Hana chochote Huyo!
Nchi ya Viawanda inakosa hat akilo moja ya sukari hahahahaa tunadili na Wapinzani. Sasa tunatengwa na na majirani zetu. Hakuna mjadala serious kuhusu mambo yanayotokea nchini kila mtu anatetea uhai wake, njaa yake, familia yake. Nani atasimama ahesabiwe kwa kalamu ya moto na damu tuikoe Tanzania? Karibuni kwa kejeli na matusi
Hivi Zambia wanashindwa kutumia BeiraNimesikilza
Kwa makini mahojiano hayo,yalipangwa na DW na ni bias kabisa
Nasema hivyo kwa sababu eti ni Watanzania tu pekee ndio tutaathirika wakati hata Zambia wataathirika tena pakubwa kuliko sisi watanzania kwa sababu asilimia 70 %ya mizigo ya Zambia inatoka Tanzania
Akihojiwa na DW, waziri wa zamani wa mambo ya nje mheshimiwa Bernard Camilius Membe amesema katika awamu hii ya utawala wa Magufuli, diplomasia imeshuka mno.
Membe anaonya kwamba, tanzania awamu hii inajiendeshea mambo kivyakevyake nje ya utaratibu wa jumuia ya kimataifa.
Akoingelea suala la korona, Membe amedai kuwa Tanzania haiheshimu na imejitenga na miiko ya shirika la afya WHO.
Chanzo: DW
Nimesikilza
Kwa makini mahojiano hayo,yalipangwa na DW na ni bias kabisa
Nasema hivyo kwa sababu eti ni Watanzania tu pekee ndio tutaathirika wakati hata Zambia wataathirika tena pakubwa kuliko sisi watanzania kwa sababu asilimia 70 %ya mizigo ya Zambia inatoka Tanzania
Haya watu wa kusifia na kuabudu mumevamia uzi. Hivi unajua kufika leo tu jumla ya vifo ni 1,200 kwa Tanzania bara na maambukizi ni zaidi ya 10,000.Watu wasipokuwa na hoja hukimbilia matusi!! Rais wetu ametusimamia vizuri na imara sana katika kipindi hiki ambacho vinginevyo kingekuwa kigumu sana! Walitegemea atateleza lakini hakuteleza! Wala hakuyumba!! Kwa hiyo maadui wa nchi yetu na mawakala wao wamekasirika sana baada ya kukosa kabisa mpenyo wa kuitikisa nchi yetu!! Hivi haujishangai kwa nini una hasira Kali kiasi hicho?
USA haitegemei WHO ila inaisaidia, vitu viwili tofauti sana.Mtu mweusi kweli hajiamini ! Usa kila siku analitukana shirika la afya kuwa linatumika na China
Magufuli kuwa challenges Ndio iwe kosa?
Huyu Baba sijui Kwanini hampendi Rais wetu
MkuuMtu mweusi kweli hajiamini ! Usa kila siku analitukana shirika la afya kuwa linatumika na China
Magufuli kuwa challenges Ndio iwe kosa?
Huyu Baba sijui Kwanini hampendi Rais wetu