tzkwanza
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 1,568
- 3,610
Nonsense! Hamuwezi kumtetea huyo kichaa wenu. Yaani kila mtu anamuonea wivu? Hata mimi nilipokuwaga mpumbavu nilikuwa namtetea sana ila ujinga wake sasa upo wazi mno!Vitu vingine vinatia hasira!! Miiko gani tumejitenga nayo? Kuna chuki Kali sana dhidi ya Tanzania isiyokuwa na sababu!! Kinachowakasirisha zaidi ni kutuona tunadunda na tunaendelea na shughuli zetu!! Walitazamia tufe kwa maelfu na haijawa hivyo!! Inawauma sana!!!
Rais wetu Dr Magufuli mamilioni ya watanzania tunakushukuru sana kwa uongozi wako katika kipindi hiki ambacho vinginevyo tungepita kwenye ugumu sana!! Tukikushukuru watanzania ikutoshe maana hao mabeberu na vibaraka wao hatutegemei kama wanaeeza kukiri uongozi wako imara japo nafsini mwa o wanajua hivyo! Mungu yuko upande wetu ndio maana matazamio yao hayajafanikiwa!!
Sent using Jamii Forums mobile app