Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Tunafanyaje Uchaguzi bila Tume Huru ya Uchaguzi na Waangalizi wa Uchaguzi wa Kimataifa?

Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Tunafanyaje Uchaguzi bila Tume Huru ya Uchaguzi na Waangalizi wa Uchaguzi wa Kimataifa?


Membe anahoji:

"Je Tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi bila kuwa na tume huru?

Tume huru ya Uchaguzi ndugu zangu, maana yake ni kwamba uwe na Tume katika ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa ambayo ina watu wa aina zote. Wa dini zote, vyama vyote, aina zote za Elimu, Wanasiasa Maarufu bila kujali chama Tawala, Wanakuwa kwenye hilo kundi.

Ili wanapo amua kuhusu Mwanachama anayeomba Udiwani au Ubunge, apitishwe bila Upendeleo.

Sasa mtu mmoja akaniuliza, "Kwani huko nyuma Mheshimiwa mlipitishwaje?". Nikasema tulipitishwa kwa utaratibu huo huo lakini katika mazingira ya sasa hivi, ambayo Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa au Mkurugenzi, anajisikia hofu kwamba akipita Mtu wa Chama kingine Cheo chake kinaweza kuondoka, anaweza akafanya vitendo vya Upendeleo kulinda Masrahiya cheo chake.

Kwahiyo katika Mazingira ya sasa lazima tuwe na Tume Huru.

Nikawa najiuliza, hili swala la Tume huru tunafanyaje? Twende nalo hivyo hivyo au tuwe na Tume huru? Jibu likawantiwe na tume huru.

Nikawa pia najiuliza kwamba safsri hii tumeambiwa Waangalizi wa Uchaguzi wa dunia( International observers) hawatakuwepo kwa sababu UNDP hajatoa fedha za Uchaguzi, hawatakuwepo sababu wengi wanahofia Corona.

Je, tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ya kutokuwa na Waangalizi wa Uchaguzi kutoka kote Duniani watakao Sema Uchaguzi huu ulikuwa wa haki, ulikuwa huru na unao heshimika, tupo tayari kufanya hivyo bila kuwa na Waangalizi wale?

Nikawa najiuliza haya Maswali. Wakati fulani nikasema, inawezekana Uchaguzi huu hautafanyika karibuni utafanyika baadae.

Lakini Wanasiasa wengine wakasema hapana, tukazanie moja tu la kuwa na Tume Huru na kuwa na Waangalizi wa Uchaguzi. Mambo Mawili lakini tuendelee kuwa na Uchaguzi.

Sasa ndo maana tukachukua wiki nzima toka wiki iliyopita, kuongea na Wanasiasa ndani ya Chama na nje ya chama watupe Mwanga wa nini kifanyike".

Pia soma:

Elections 2020 - Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

MEMBE MEMBE MEMBEEEEEEEE,WAMEKUONEA SANA
 
Njaa ikihamia kichwani ni shida tupu.

Nani kakuambia utaishi miaka 1000?

Makaburu walikuwa na akili mbovu kama zako,kiko wapi?
Kwanza ni aibu kwa wapinzani kushiriki uchaguzi while Hakuna Tume Huru ya uchaguzi kama walivokua wanaidai huko nyuma ....pili inasikitisha sana eti tunataka waangalizi wa kimataifa ...

Mnadhan watawashinda wana Lumumba kwa propaganda!? Shida Tanzania sijaona wapinzani wa kweli wote wapiga dili tu Ccm itatawala miaka 1000.
 
Magu ashacheza zake, anasubiri tu kutumbua watu watakaotoa fomu kwa wapinzani. Subiri uone mchezo utakaochezwa mwaka huu. Zee lile ni kichaa na vilaza wengi wanaunga mkono huu ungese
 

Membe anahoji:

"Je Tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi bila kuwa na tume huru?

Tume huru ya Uchaguzi ndugu zangu, maana yake ni kwamba uwe na Tume katika ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa ambayo ina watu wa aina zote. Wa dini zote, vyama vyote, aina zote za Elimu, Wanasiasa Maarufu bila kujali chama Tawala, Wanakuwa kwenye hilo kundi.

Ili wanapo amua kuhusu Mwanachama anayeomba Udiwani au Ubunge, apitishwe bila Upendeleo.

Sasa mtu mmoja akaniuliza, "Kwani huko nyuma Mheshimiwa mlipitishwaje?". Nikasema tulipitishwa kwa utaratibu huo huo lakini katika mazingira ya sasa hivi, ambayo Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa au Mkurugenzi, anajisikia hofu kwamba akipita Mtu wa Chama kingine Cheo chake kinaweza kuondoka, anaweza akafanya vitendo vya Upendeleo kulinda Masrahiya cheo chake.

Kwahiyo katika Mazingira ya sasa lazima tuwe na Tume Huru.

Nikawa najiuliza, hili swala la Tume huru tunafanyaje? Twende nalo hivyo hivyo au tuwe na Tume huru? Jibu likawantiwe na tume huru.

Nikawa pia najiuliza kwamba safsri hii tumeambiwa Waangalizi wa Uchaguzi wa dunia( International observers) hawatakuwepo kwa sababu UNDP hajatoa fedha za Uchaguzi, hawatakuwepo sababu wengi wanahofia Corona.

Je, tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ya kutokuwa na Waangalizi wa Uchaguzi kutoka kote Duniani watakao Sema Uchaguzi huu ulikuwa wa haki, ulikuwa huru na unao heshimika, tupo tayari kufanya hivyo bila kuwa na Waangalizi wale?

Nikawa najiuliza haya Maswali. Wakati fulani nikasema, inawezekana Uchaguzi huu hautafanyika karibuni utafanyika baadae.

Lakini Wanasiasa wengine wakasema hapana, tukazanie moja tu la kuwa na Tume Huru na kuwa na Waangalizi wa Uchaguzi. Mambo Mawili lakini tuendelee kuwa na Uchaguzi.

Sasa ndo maana tukachukua wiki nzima toka wiki iliyopita, kuongea na Wanasiasa ndani ya Chama na nje ya chama watupe Mwanga wa nini kifanyike".

Pia soma:

Elections 2020 - Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

Watanzania hatuna utamaduni wa kudai haki zetu.
 

Membe anahoji:

"Je Tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi bila kuwa na tume huru?

Tume huru ya Uchaguzi ndugu zangu, maana yake ni kwamba uwe na Tume katika ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa ambayo ina watu wa aina zote. Wa dini zote, vyama vyote, aina zote za Elimu, Wanasiasa Maarufu bila kujali chama Tawala, Wanakuwa kwenye hilo kundi.

Ili wanapo amua kuhusu Mwanachama anayeomba Udiwani au Ubunge, apitishwe bila Upendeleo.

Sasa mtu mmoja akaniuliza, "Kwani huko nyuma Mheshimiwa mlipitishwaje?". Nikasema tulipitishwa kwa utaratibu huo huo lakini katika mazingira ya sasa hivi, ambayo Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa au Mkurugenzi, anajisikia hofu kwamba akipita Mtu wa Chama kingine Cheo chake kinaweza kuondoka, anaweza akafanya vitendo vya Upendeleo kulinda Masrahiya cheo chake.

Kwahiyo katika Mazingira ya sasa lazima tuwe na Tume Huru.

Nikawa najiuliza, hili swala la Tume huru tunafanyaje? Twende nalo hivyo hivyo au tuwe na Tume huru? Jibu likawantiwe na tume huru.

Nikawa pia najiuliza kwamba safsri hii tumeambiwa Waangalizi wa Uchaguzi wa dunia( International observers) hawatakuwepo kwa sababu UNDP hajatoa fedha za Uchaguzi, hawatakuwepo sababu wengi wanahofia Corona.

Je, tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ya kutokuwa na Waangalizi wa Uchaguzi kutoka kote Duniani watakao Sema Uchaguzi huu ulikuwa wa haki, ulikuwa huru na unao heshimika, tupo tayari kufanya hivyo bila kuwa na Waangalizi wale?

Nikawa najiuliza haya Maswali. Wakati fulani nikasema, inawezekana Uchaguzi huu hautafanyika karibuni utafanyika baadae.

Lakini Wanasiasa wengine wakasema hapana, tukazanie moja tu la kuwa na Tume Huru na kuwa na Waangalizi wa Uchaguzi. Mambo Mawili lakini tuendelee kuwa na Uchaguzi.

Sasa ndo maana tukachukua wiki nzima toka wiki iliyopita, kuongea na Wanasiasa ndani ya Chama na nje ya chama watupe Mwanga wa nini kifanyike".

Pia soma:

Elections 2020 - Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea
Huyu hana lolote yeye na mkwere walikuwa kwenye nafasi yakubadilisha sheria za kipuuzi kwa maslahi ya Taifa hawakufanya hivyo waliamini haitatokea yakawagusa wao leo yuko nje ya Ulingo anatoa povu atulie wenzie wafanye yao! binafsi nitasikitika ikiwa vyama vya upinzani vitampa nafasi yakugombea
 
Jecha alifuta, matokeo na Maalim alisusia uchaguzi na hakuna lililobadilika.. Shein amepiga miaka yake mitano saafi kabisa.. Ukisusa wenzio wala na hakitafanyika kitu.
Mazoea mabaya. Tutaangamia.
 
Mimi naamini Lowasa ilitumika nguvu kubwa sana kumshawishi arudi CCM ili kuondowa imani kwa uponzani juu ya watu tishio kwa CCM kama Membe. Membe ukitowa Lowasa kuhamia CDM na kurudi CCM basi angekuwa na nafasi kubwa ya kuunyaka Urais kwa kupitia uoinzani.
 
Wewe ndiyo akili yako haina akili, haiwezekani udaganywe na wapinzani kudai tume huru sasa wakati uchaguzi uko karibu. Kwa nini hawakudai tangia mwanzo? Hata huu uchuguzi ukimalizika hawatadai tume huru ila ukikaribia uchaguzi mwingine wataanza makelele ya kudai tume huru.
Wewe umeanza lini kudai tume huru
 
Wakati akiwa sisiemu na yeye kama mbunge, ilikuwa huru?
Ndio maana sisi wengine tunamwambia atulie sababu kipindi yuko mamlakani na mkwere walikuwa na nafasi yakubadili hizo sheria nivile waliamini watakomoa wapinzani now yamemkuta katupwa nje ya uwanja analialia
 
ni ndoto za mchana kudai tume huru kipindi hiki wakati vyama vyote vimeshasaini makubaliano ya kuingia ktk kinyanganyiro,
kwa mtazamo wangu sioni umuhimu wa tume huru zaidi ya tume tuliyo nayo sasa endapo tu watendaji watakuwa waadilifu,
nasema sioni haja ya tume huru kwa sababu tume huru sio mwarobaini....mfano angalia jirani zetu kenya walikuwa na tume huru lkn matokeo yalipo toka vyama vya upinzani havikuridhika na matokeo na bado waliilalamikia tume kuharibu!! hivyo sioni msingi wowote wa wa tume huru....
naamini tume tuliyo nayo ni waadilifu sana kuliko hata tume huru tunayo ifikiria.
 
Mwanasiasa akifikia muda wa kutafuta kiki na kuungwa yupo tayari hata kutoa tuzi-change karata au kutoa tako-shil uvuvi!
 
madai ya tume huru yameanza 2020 kakaribia uchaguzi? kama member wa JF anakuwa hivi namna hii,hoko nje kukoje
Kimefanyika nini kudai maana miaka mitano imepita watu busy na matukio, mara CAG, mara Makonda, mara expansion joints. Kumekucha watu wanakumbuka shuka.
 
Wewe ndiyo akili yako haina akili, haiwezekani udaganywe na wapinzani kudai tume huru sasa wakati uchaguzi uko karibu. Kwa nini hawakudai tangia mwanzo? Hata huu uchuguzi ukimalizika hawatadai tume huru ila ukikaribia uchaguzi mwingine wataanza makelele ya kudai tume huru.
Unajua umuhimu wa tume huru
 
Leo ndo anajua tume huru Hali waliweka pamba walipokuwa kwenye sytem,kama Hawa wa Sasa walivoweka pamba.
 
Kwanza ni aibu kwa wapinzani kushiriki uchaguzi while Hakuna Tume Huru ya uchaguzi kama walivokua wanaidai huko nyuma ....pili inasikitisha sana eti tunataka waangalizi wa kimataifa ...

Mnadhan watawashinda wana Lumumba kwa propaganda!? Shida Tanzania sijaona wapinzani wa kweli wote wapiga dili tu Ccm itatawala miaka 1000.
Wapinzani maslai,hawana lolote na hawana dhamira ya dhati ya kuleta mageuzi....

Wakitaka kurejesha imani kwa sisi tunaopenda mageuzi hii ndiyo kiwe kipaumbe chao

Bila ya tume huru hakuna uchaguzi,kama vipi tuanze moja
 
Back
Top Bottom