Kitakachotokea,Membe atauvuruga upinzani kuliko hata lowassa
Anachofanya Membe ni kuwatamanisha wapinzani wamkimbilie,lakini hana mvuto hata rob ya aliokua nao Lowassa
Membe aache taarabu,akachukue fomu hata chausta,ili uchaguzi unoge kama anavyojitapa
Anachofanya Membe ni kuwatamanisha wapinzani wamkimbilie,lakini hana mvuto hata rob ya aliokua nao Lowassa
Membe aache taarabu,akachukue fomu hata chausta,ili uchaguzi unoge kama anavyojitapa