Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

JPM alikuwa na kiburi mpaka anafikia hatua ya kuwasema maaskofu mbele ya mimbari wanayotumia kuhubiri kila jumapili na kufanyia ibada takatifu kama sekramenti za mageuzi, alizidiwa na kiburi cha kibinadamu. Na alijijua akawa anawaomba watu wamuombee.

Musiba amerithi tabia zile zile za wajita wa kanda ya ziwa, kujiona wana haki mpaka wanapitiliza. Jeuri huku akisahau kuwa binadamu ana muda mfupi tu juu ya ardhi.
 
Mshauri Musiba aombe msamaha yeye mwenyewe na uache kumlazimisha Membe kukubali msamaha kwa kumtishia eti asipowakubalia maaskofu litamkuta la kumkuta! Basi kama unaona hao maaskofu wana upako huo wacha tuone nani litamkuta la kumkuta.
Hao maaskofu kama wangekuwa wana busara na kwamba wanajua nguvu ya maneno yao basi wangetumia hiyo nguvu ya maneno yao na busara zao kumuonya Musiba au hata kuonesha tu kwamba hawafurahishwi na matusi na kashfa dhidi ya Membe na watu wengine na wanalaani matamshi haramu na mabaya ya Musiba dhidi ya watu wengine,lakini wao walichagua kuwa wanafiki kwa kuogopa kusimamia haki.
Naamini Membe halitamkuta lolote baya bali litamkuta huyo anayetamani baya limkute Membe.
 
Hapa ndo anatuonyesha kwamba wakati ule anajipendekeza kwa mwendazake ili apate teuzi basi ingetokea akapewa hiyo kazi alikuwa anafanya musiba basi naye angejitoa ufahamu vile vile kisha aje kusingizia majini , watanzania tunapenda sana ubinafsi.
 
Kwahiyo unapingana na mahakama iliyomtia hatiani?
Kama hana kosa, nini kinamfanya kuhaha kutuma watu wamuombee msamaha?
Mahakama zinasoma mchezo wa kisiasa uliopo ndio maana jaji mkuu kwenye utawala huu aliwahi kuwaambia mahakimu na majaji kwamba unapotoa hukumu jaribu kutazama mahitaj na matakwai ya utawala uliopo (serikali). Mahakama haziko huru wakiamua vinginevyo wanafukuzwa maana mteuzi ndiye mtawala ambaye anakumbatia visasi kwa sasa kwa kujificha nyuma ya mlango wa demokrasia

You have a lack of wisdom and prudence, that's why you despise the opinions of others with your temporary pride that will make you pay for that rudeness.
 
Leo hii na ww unamshauri Membe amsamehe Musiba kweli? Hivi wakati anadhalilisha watu ulikuwa unajickiaje? Mapaka kufikia kuwaita watu mashoga na fedheha chungu nzima. Membe kazia hapo hapo liwe funzo kwa wengine
 
Kwenye specific case ya MUSIBA, matakwa ya watawala ni yep? Kwani hakutukana kweli? Kwani hakutishia watu vifo?

TUWE WAKWELI HATA KAMA UKWELI WENYEWE UTATUUMA
 
Kumgharamia mfungwa kiasi gani kwa siku?Wasamaria wema tutachanga kwa ajili kumhudumia mpendwa wetu Musiba.
 
Na aombe msamaha hadharani asimvizie nyumbani kwake
 
Sasa membe kumlipia gharama za magereza anashindwa?yaani ni kama 10,000 kwa siku!!
 
Membe alihama chamia pinzani akagombea uraisi kwa tiketi ya ACT wazalendo aliposhindwa akambiwa na jpm aombe msamaha akakataa lakini samia alivyokuwa raisi akaomba msamaha akasamehewa lakini yeye anakataa kuwasamehe wengine.
 
Mbona hao maaskofu hawakumshauri wakati anatoa matusi. Membe hakuna kusamehe kazia hapo hapo au maaskofu wako upande wake hawafai kuwa wasuluhishi maana anayesuluhisha hastahili kuwa na upande
Kwanza hakuna maaskofu hapo hayo ni matapeli tupu
 
Membe alihama chamia pinzani akagombea uraisi kwa tiketi ya ACT wazalendo aliposhindwa akambiwa na jpm aombe msamaha akakataa lakini samia alivyokuwa raisi akaomba msamaha akasamehewa lakini yeye anakataa kuwasamehe wengine.
Hii kampeni yenu ya kijinga Membe hataki, wakati anatukanwa mlikuwa wapi?
 
Pascal Mayalla hanunuliki ninamfahamu tangu kitambo.
Mimi nina idadi ya bahasha alizopokea toka aanze kazi yake, Ni kichaa pekee anayeweza kumtetea Musiba. Musiba aliowasema vibaya vilevile alikuwa akiomba mamlaka ziwachukulie hatua kali sana aliwaombea mabaya yawakute nasi tunamuombea mabaya yamkute kama yeye alivyowaombea wengine.
 
Hapana mkuu kinachompa kiburi Musiba ni hivyo vijisenti vyake sasa dawa ni kuuza hivyo vitegauchumi vyake walau robo tatu akabakiza na robo tu, hapo ndo atatia adabu.
Sijasema asilipie uharibifu aliosababisha Kwa watu wengine akiwemo Membe..

Ni lazima alipe. Kinachoweza kujadilika ni kiwango cha malipo. Na ni wajibu wake yeye mkosaji kukutana na aliyemkosea wazungumze. Ni wazi watapatana tu Kwa sababu Membe naye ni binadamu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…