Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
unafiki wa kiwango cha rami.
 
Kwani huyo aliwatuma wakamuombee msamaha? au wame amua wao?

Kwakweli hata mimi nisingemsamehe tena ningetafuta fursa ya kuongeza mashtaka dhidi yake.!
Swali la kujiuliza hawakuyasikia wala kuona aliyokuwa akiyafanya?

Je walichukua hatua gani kimuita na kumuonya?

Kama mwenyewe hakuthubutu kumfuata mhusika na kumuomba msamaha wanadhani msamaha atakaopewa utamsaidia nini mbele ya MUUMBA wake?

Ukweli uliowazi HASTAHILI MSAMAHA
 
Yani ni kama mnamwona Membe aitaji hizo hela, na hazina thaman kwake?

This is money, ni hela, chapaa, bengele, power, kwa nini aache hela jaman?

Kwa nini hao maaskofu hawaiambii serikali itusamehe ifuatiliye ubadhirifu na kuacha kutuibia?

Watu wamepambana na Membe as if hakuna issue controversial za ku deal nazo.

Watu mnajidai mnajua msamaha, Yeye keshamsemehe na hana kinyongo, ila pesa anataka, what about that?
Safiiiii
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Hii ni siasa ya kumwombea msamaha mtu mshenzi aliyeumiza wengi. Acha awe fundisho, Membe usifanye kosa chukua haki yako!
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Sometimes huwa unachemka sana

Unataka kuhakikisha ushenzi aliofanya Musiba?

Huyu bwana Alipe ili iwe fundisho

Tusilee tabia za kishenzi
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Paskal,

Leo ndio unasema Musiba ni kichaa, basi apelekwe milembe tujue ni kichaa. Kichaa anawezaje kuongea na maaskofu wamwombee msamaha? Mwache apate alichotaka. Na Fatma nasikia ameenda kukazia hukumu yake.
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Hao maaskofu wasikufanye Membe mjinga, wao wamesamehe wangapi waliowakosea? Usipokuwa makini wenzako watalipwa kipande na Musiba
 
Kuomba asamehewe mtu mwovu, mwenye kiburi, aliyejineemesha kwa kuumiza watu wengine, ambaye kwake pesa zina thamani kuliko uhai wa binadamu wenzake aliohamasisha wauawe, ni kushiriki ushetani wa huyu wakala wa shetani.

Viongozi wa dini nadhani wanamwombea msamaha Musiba kama wao kutokana na mapenzi yao kwaajili yale ambayo Musiba alikuwa akiyatenda, na kwa yule aliyekuwa akimtumia.

Kwenye imani zetu tunaaswa kusamehe lakini kusamehe huko kuna kanuni zake. Siyo kila kitu husanehewa. Ndiyo maaba Muumba wetu, licha ya kuwa mwingi wa msamaha na huruma, lakini hakuwasamehe wafalme wenye viburi bali aliwaangamiza, hakuwasamehe waliokuwa na viburi wakati wa Nuhu, n.k. Kwa hiyo maaskofu wasiwe kichaka cha kuzuia waovu kulipwa sawa na matendo yao.

Kama maaskofu hawa wana dhamira ya kila mhalifu asamehewe bila ya kuwepo mipaka, wamwombe Rais Samia afute magereza yote, majambazi warudi mitaani, wauaji na wevi warudi mtaani, na Rais Samia asipotekeleza ombi la hao maaskofu la kutaka waovu wote wasamehewe na magereza yafutwe, akina Pascal wamhukumu Rais kwa kutotii maelekezo ya Maaskofu kwa vile tumeamua kuwa na nchi ambayo wasemaji wa mwisho katika haki na hukumu wawe maaskofu na siyo mahakama au kitu kingine.
 
Mkuu Paskali
NInaona kama Membe anashinikizwa na siyo kushauriwa kupitia hoja yako.

Unaposema asipowatii maaskofu yatamkuta...... je kusamehe ni Lazima au Hiyari ya mtu?

Marehemu baba yangu alinkusia kuwa, ukipewa ushauri una hiyari ya kuupokea na kuutumia ama kuukataa. Lakini kama ushauri huo unashinikizwa sana uufuate ni wazi kuna mushkeli kwenye ushauri huo....
Ndugu hawa kinachowasukuma siyo suala la msamaha bali wanajiona wanaguswa na haya yanayompata Musiba, maana na wao kwa namna na kiwango fulani, walikubali kutumika kwa kiasi fulani kama alivyotumika Musiba, japo Musiba alienda mbali zaidi. Kwa hiyo wanachokipigania ni kumkwamua mwenzao kutoka kwenye mkwamo mkali, mwenzao waliyemwona shujaa wao katika kutumika.

Membe hawezi kupatwa na chochote eti kwa kuwa hakuwatii maaskofu ambao nao walitumika wakati watu wakiangamizwa. Hawa maaskofu, ukimwacha Mwamakula aliyesimama kidete kutetea haki, hawa wawili, Malasusa na Pengo, japo ni viongozi wetu lakini hakika wakati wa utawala wa awamu ya 5 walikengeuka na kuamua kusimama na watawala hata pale watu walipokuwa wakiumizwa.
 
Mimi nigekuwa Musiba ningemlipa tu Membe halafu tuone kama ndio ataupata Urais.
Mbona unaleta hoja ambazo hazina uhusiano? Kwani Membe kuupata au kuukosa Urais, kunamtegemea Musiba au wanaomwombea wanamwombea msamaha? Kwanza una uhakika gani kuwa Membe atagombea Urais? Basi na Rais wetu awatoe gerezani wafungwa wote ili aupate Urais kwa sababu asipowatoa hatakuwa Rais!!
 
Kweli kabisa. Pia wanasiasa wanatakiwa wavumiliane na kusamehana, na kutokukumbuka yaliyopita ili viongozi wajao wasiwe watu wa visasi na kukomoana. Maana ikiendelea hivi TANZANIA kila kiongozi akiingia atakuwa mtu wa visasi, hivyo hatutoimarika Bali ni kurudi nyuma kimaendeleo na kimtazamo.

MH. BERNAD MEMBE ni kiongozi mstaafu mkubwa sana na kio kwenye jamii, hivyo anatakiwa kuachana nalo hili ili iwe Mfano Kwa wengine wanaopenda visasi. Maana sasa uongozi TANZANIA hatujui mtawala ajae atakuwa na visasi na nani? Na je atakuja na mtazamo Gani?

Ni fumbo kwakweli. MH. BERNAD MEMBE ACHANA NA HILI, SAMEHE NA UTAKUWA UMEWEKA MFANO MKUBWA KWA JAMII NA VIONGOZI WALIOPO NA WAJAO KWA UJUMLA.
Nchi inahitaji viongozi wasio na urafiki na uovu. Inahitaji viongozi wanaouchukia uovu kwa matendo na kauli.

Mwalimu Nyerere aliwahi kunena, "tuliweka sheria kali sana dhidi ya wala rushwa, ndiyo maana tukasema kiongozi mla rushwa atachapwa fimbo siku ya kuingia gerezani na siku ya kutoka ili akamwoneshe na mke wake. Tukasikia waziri mmoja amekula rushwa, akaja kuniomba msamaha, nikamkatalia"

Tunataka viongozi wa namna hiyo.
 
Unasema musiba kawaheshimisha kwa kumiliki hizo mali ambazo alijipatia baada ya kudhalilisha watu, siku zote mwisho wa tamaa/ uchawa unajulikana, mnapaswa mjifunze kupitia hili na sio kutia huruma.
Yaani Pascal anaona Musiba amewaheshimisha kwa kuwa na mali alizozipata kama malipo ya kuhamasisha watu wauawe na kuwatukana baadhi ya binadamu wasio na hatia.

Tukiwa na fikra za namna hii ni laana na janga kubwa kwa Taifa. Tutayafurahia hata majambazi yanayotajirika baada ya kupora na kuua watu kwa vile tu kwa kupitia huo uovu, yamekuwa na mali.
 
Ndugu hawa kinachowasukuma siyo suala la msamaha bali wanajiona wanaguswa na haya yanayompata Musiba, maana na wao kwa namna na kiwango fulani, walikubali kutumika kwa kiasi fulani kama alivyotumika Musiba, japo Musiba alienda mbali zaidi. Kwa hiyo wanachokipigania ni kumkwamua mwenzao kutoka kwenye mkwamo mkali, mwenzao waliyemwona shujaa wao katika kutumika.

Membe hawezi kupatwa na chochote eti kwa kuwa hakuwatii maaskofu ambao nao walitumika wakati watu wakiangamizwa. Hawa maaskofu, ukimwacha Mwamakula aliyesimama kidete kutetea haki, hawa wawili, Malasusa na Pengo, japo ni viongozi wetu lakini hakika wakati wa utawala wa awamu ya 5 walikengeuka na kuamua kusimama na watawala hata pale watu walipokuwa wakiumizwa.
Hakika naelewa
 
Pasco, sio siri kuwa askofu Pengo na Malasusa walikuwa watu wa karibu sana na Magufuli.
Kuna habari (hazina ushahidi) kuwa Musiba alikuwa anatumwa/anamfurahisha Magufuli na utawala wake.
Kiunganishi hiki cha msamaha kati ya marafiki wa JPM na Musiba huoni kinaleta muunganiko mchafu usio pendeza?
Wakati mzee Membe na wenzake wanaambiwa watashughulikiwa hadi makalio yawe makubwa hao unaosema wasikilizwe hawakujua family man Membe anadhalilika kwa uchungu kiasi gani na kumkanya rafiki yao?
Kuna wakati mtu mmoj alipokuwa amebambikiwa kesi ya uhujumu uchumi, rafiki yake wa karibu, tena mtu maarufu alimwona Waziri mmoja akamwomba amwombe Rais kumtoa yule rafiki yake aliyekuwa ametupwa gerezani na kubambikiwa kesi ya uhujumu uchumi. Yule Waziri akamjibu kuwa yeye hawezi kumwambia Rais kitu chochote kuhusiana na hilo, na hata akimwambia anajua hatasikikizwa. Akamwambia kuwa "kuna watu wawili tu ambao Rais anaweza kuwasikiliza, Kadinali Pengo na mzee Mkapa. Hawa hata wakimpigia simu usiku wa saa 8, atapokea simu zao. Kama mnaweza mkawaone hawa".

Hiyo inaweza kueleza kwa nini leo Pengo anataka Musiba asiadhibiwe kwa uovu alioufanya kwenye utawala wa awamu ya 5.
 
Back
Top Bottom