Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

Mkuu Paskali
NInaona kama Membe anashinikizwa na siyo kushauriwa kupitia hoja yako.

Unaposema asipowatii maaskofu yatamkuta...... je kusamehe ni Lazima au Hiyari ya mtu?

Marehemu baba yangu alinkusia kuwa, ukipewa ushauri una hiyari ya kuupokea na kuutumia ama kuukataa. Lakini kama ushauri huo unashinikizwa sana uufuate ni wazi kuna mushkeli kwenye ushauri huo....
Ni kweli yamemkuta
Kwaio maaskofu wanajua ABCs za kifo cha Membe
 
Back
Top Bottom