Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

Maaskofu wasio na sifa kwa mujibu wa 1tim 3:1-7 kwa hili watajizolea sifa kedekede. Wataogopwa, watajitamgazia utukufu.

Mimi nitabaki kuamini Mh Membe amekufa kifo kilicho halali kwake, yaani Mungu amehitimisha maisha yake.

Si kwa sababu amewagomea maaskofu hao matapeli matapeli(hakuna aliyeomba Membe aadhibiwe pamoja na mapungufu yao) wala si kwa sababu ya uchawi wa wajita, wakerewe na wakara kwa pamoja, bali Mungu kapendezwa maisha yake yaishe leo.

Unaongea sana mkuu. Kifo ni Siri . Kwanza huwezi kujua mwishoni mwake alifanya nini. Pia huwezi jua maisha yake alifanya mangapi. Kuna karma za kidunia na Mungu hahusiki nazo maana we have a free will.
 
Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.
Pascal Mayalla

Naomba uujulishe UMMA wa JF, Je kilichomtokea Membe (KIFO), ndio kilichomtokea huyo kiongozi mwingine?

Asante.
 
Maaskofu wasio na sifa kwa mujibu wa 1tim 3:1-7 kwa hili watajizolea sifa kedekede. Wataogopwa, watajitamgazia utukufu.

Mimi nitabaki kuamini Mh Membe amekufa kifo kilicho halali kwake, yaani Mungu amehitimisha maisha yake.

Si kwa sababu amewagomea maaskofu hao matapeli matapeli(hakuna aliyeomba Membe aadhibiwe pamoja na mapungufu yao) wala si kwa sababu ya uchawi wa wajita, wakerewe na wakara kwa pamoja, bali Mungu kapendezwa maisha yake yaishe leo.

Hii inaogopesha. Akihitimisha maisha yako hata hujui, wa karibu yako nao hawajui! Mnashtukizwa nyote. Inatisha sana. Mungu ni Mkubwa sana na anashangaza. Yote kwa yote, tupate funzo kutokana na kifo chake.
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Mkosaji akiomba msamaha, uliokosewa uko huru kukubali msamaha huo na kusamehe, au kutosamehe, lakini ikitokea akaombewa msamaha na watu wenye daraja kubwa kama Maaskofu, sio cha kupuuzwa!.

Baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, alikasirika sana na yule mshenzi aliyesema, serikali yote ameiweka mfukoni!. Nyerere akamtia ndani!. Akatiwa misukosuko akagoma kata kata, ila alipoombwa na Baba Askofu Makarious wa Cyprus, Nyerere akalainika na kusamehewa!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo hivyo hata kichaa akitubu, anastahili msamaha.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Binafsi siamini kuwa kifo cha Bw. Membe kina uhusiano na kukataa ushauri wa viongozi wa dini. Sidhani kabisa kwanza sio kweli kuwa viongozi wetu wa dini ni waadilifu. Wengi ni wanafiki watataka wewe ufanye jambo ambalo hata wao hawalifanyi. Kuna viongozi wangapi wa dini tena wa dhehebu moja wenye bifu kubwa wenyewr kwa wenyewe? Membe amekufa kwa sababu siku alizopangiwa na Mungu hapa duniani zilifikia ukomo
 
Naona ni kama vile Membe yupo katikati, asiposamehe uwezekano wa kulipwa kile kiasi chote cha pesa na Musiba ni mdogo, au awe tayari kulipwa kidogo, unless Membe awe alishafanya uchunguzi juu ya mali anazomiliki Musiba.

Kama Musiba akishindwa kulipa bado itabidi Membe amgaramie Musiba akiwa gerezani, hii yote naiona mitego kwa Membe.
Tumesha mlipa baburi nadhauri musiba atowe malipo ya jeneza tu [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
 
Kuanzia Leo naanza meditation..,naanza kuamini Kuna ulimwenguni wa roho!

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Meditation ni uchawi.

Jicho la Tatu ni jicho la Shetani, utaona mapepo, wachawi na kuzimu.

Nakushauri mpokee na mwamini Yesu Kristo Messiah, atakupa ROHO wake MTAKATIFU.

Utapokea MACHO ya Rohoni. Utaona kuliko wao.

Amen
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Mkosaji akiomba msamaha, uliokosewa uko huru kukubali msamaha huo na kusamehe, au kutosamehe, lakini ikitokea akaombewa msamaha na watu wenye daraja kubwa kama Maaskofu, sio cha kupuuzwa!.

Baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, alikasirika sana na yule mshenzi aliyesema, serikali yote ameiweka mfukoni!. Nyerere akamtia ndani!. Akatiwa misukosuko akagoma kata kata, ila alipoombwa na Baba Askofu Makarious wa Cyprus, Nyerere akalainika na kusamehewa!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo hivyo hata kichaa akitubu, anastahili msamaha.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Yametimia sasa.
Una maono makali sana Kiongozi.
Nimejifunza kitu hapa.
Ubarikiwe sana🙏
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Mkosaji akiomba msamaha, uliokosewa uko huru kukubali msamaha huo na kusamehe, au kutosamehe, lakini ikitokea akaombewa msamaha na watu wenye daraja kubwa kama Maaskofu, sio cha kupuuzwa!.

Baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, alikasirika sana na yule mshenzi aliyesema, serikali yote ameiweka mfukoni!. Nyerere akamtia ndani!. Akatiwa misukosuko akagoma kata kata, ila alipoombwa na Baba Askofu Makarious wa Cyprus, Nyerere akalainika na kusamehewa!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo hivyo hata kichaa akitubu, anastahili msamaha.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali

Nakuelewaga sana bro
 
Unaongea sana mkuu. Kifo ni Siri . Kwanza huwezi kujua mwishoni mwake alifanya nini. Pia huwezi jua maisha yake alifanya mangapi. Kuna karma za kidunia na Mungu hahusiki nazo maana we have a free will.
Hizo karma ni sehemu ya maisha yako ambayo tayari yameandikwa. Anasema anakuja kabla hata mimba yako haijatungwa. Hivyo Mungu anaratibu maisha yetu kuanzia mimba kutungwa hadi kufa kwetu.

5
Yer 1:5 SUV
Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.
 
Hii inaogopesha. Akihitimisha maisha yako hata hujui, wa karibu yako nao hawajui! Mnashtukizwa nyote. Inatisha sana. Mungu ni Mkubwa sana na anashangaza. Yote kwa yote, tupate funzo kutokana na kifo chake.
Kifo ndo kitu cha uhakika zaidi kuliko vyote. Hatujui wala kuwa na uhakika na mengi lakini kifo tuna uhakika nacho kuwa hakina budi kutokea. It is just a matter of time we'll all be gone; one by one we will go. Kwa kuuwawa kwa namna yoyote ile including magonjwa, sumu, shaba na kadhalika.

It's got nothing to do with God but it's got everything to do with the choices we make day in day out.

RIP Jasusi mbobezi.
 
Binafsi siamini kuwa kifo cha Bw. Membe kina uhusiano na kukataa ushauri wa viongozi wa dini. Sidhani kabisa kwanza sio kweli kuwa viongozi wetu wa dini ni waadilifu. Wengi ni wanafiki watataka wewe ufanye jambo ambalo hata wao hawalifanyi. Kuna viongozi wangapi wa dini tena wa dhehebu moja wenye bifu kubwa wenyewr kwa wenyewe? Membe amekufa kwa sababu siku alizopangiwa na Mungu hapa duniani zilifikia ukomo
Hivi wafahamu hayo uyasemayo hao viongozi wa dini (kupitia ulimwengu wa kiroho) waweza kuyasikia?

Kwani ukienda kutubu kanisani kiongozi wa kanisa kusikiliza toza zako kama yeye au kwa niaba ya Mungu?

Hivi wafahamu ukiingia ulimwengu wa kiroho na kufunga siku 7 kwa ajili ya madhira ya mtu fulani huku ukiomba kwa sala yule mtu aweza kushughulikiwa na nguvu za kiroho?

Viongozi wa dini nao ni binadamu ili wakiingia kwenye ulimwengu wa kiroho huwa watu wa aina ingine.

Papa Francis alikwenda Hungary na kaongea na Zelenzky kwa simu lakini ameona haitoshi sasa hivi waandaa mkutano mwingine maalum na Zelensky wa uso kwa uso ili waingie kwenye ulimwengu wa kiroho wafanye maombi.
 
Back
Top Bottom