Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

Hivi wafahamu hayo uyasemayo hao viongozi wa dini (kupitia ulimwengu wa kiroho) waweza kuyasikia?

Kwani ukienda kutubu kanisani kiongozi wa kanisa kusikiliza toza zako kama yeye au kwa niaba ya Mungu?

Hivi wafahamu ukiingia ulimwengu wa kiroho na kufunga siku 7 kwa ajili ya madhira ya mtu fulani huku ukiomba kwa sala yule mtu aweza kushughulikiwa na nguvu za kiroho?

Viongozi wa dini nao ni binadamu ili wakiingia kwenye ulimwengu wa kiroho huwa watu wa aina ingine.

Papa Francis alikwenda Hungary na kaongea na Zelenzky kwa simu lakini ameona haitoshi sasa hivi waandaa mkutano mwingine maalum na Zelensky wa uso kwa uso ili waingie kwenye ulimwengu wa kiroho wafanye maombi.
Utapeli tu huu, hakuna kitu cha hivi. Mmeaminishwa uongo sana.

Kwanza hao viongozi, wana sifa hizi? Ikipungia hata moja, wapite hivi.

assage

Resources

Hebrew/Greek

Your Content

1 Timotheo 3:1-7

Neno: Bibilia Takatifu

Viongozi Katika Kanisa

3 Neno hili ni kweli, kwamba mtu akitaka kuwa askofu, anata mani kazi njema. 2 Basi, askofu awe mtu asiye na lawama. Awe mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtaratibu, mkarimu na aju aye kufundisha. 3 Asiwe mlevi, wala mgomvi bali awe mpole; asiwe mbishi wala mtu apendaye fedha. 4 Aweze kuisimamia nyumba yake vizuri akiwafanya watoto wake kuwa wanyenyekevu na wenye heshima katika hali zote. 5 Kwa maana kama mtu hawezi kuitawala nyumba yake mwenyewe atawezaje kuliangalia kanisa la Mungu? 6 Asiwe mtu aliyeongoka karibuni asije akajiona na kuhukumiwa kama shetani alivyohukumiwa. 7 Kadhalika, awe mwenye sifa njema kati ya watu wa nje ya kanisa, asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa shetani.
 
Utapeli tu huu, hakuna kitu cha hivi. Mmeaminishwa uongo sana.

Kwanza hao viongozi, wana sifa hizi? Ikipungia hata moja, wapite hivi.

assage

Resources

Hebrew/Greek

Your Content

1 Timotheo 3:1-7

Neno: Bibilia Takatifu

Viongozi Katika Kanisa

3 Neno hili ni kweli, kwamba mtu akitaka kuwa askofu, anata mani kazi njema. 2 Basi, askofu awe mtu asiye na lawama. Awe mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtaratibu, mkarimu na aju aye kufundisha. 3 Asiwe mlevi, wala mgomvi bali awe mpole; asiwe mbishi wala mtu apendaye fedha. 4 Aweze kuisimamia nyumba yake vizuri akiwafanya watoto wake kuwa wanyenyekevu na wenye heshima katika hali zote. 5 Kwa maana kama mtu hawezi kuitawala nyumba yake mwenyewe atawezaje kuliangalia kanisa la Mungu? 6 Asiwe mtu aliyeongoka karibuni asije akajiona na kuhukumiwa kama shetani alivyohukumiwa. 7 Kadhalika, awe mwenye sifa njema kati ya watu wa nje ya kanisa, asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa shetani.
Mungu akiamua kupeleka ujumbe wake popote, siku zote humtumia yeyote, hata jambazi anaweza kuja kwako kukupa habari za ukombozi, ile inakuwa ni sauti ya Mungu kupitia kwa jambazi, sasa ukipoteza muda wako kujiuliza hata huyu?

Ujue umeshaangamia.
 
Kama swala kusameheana je mahakama na jera zimewekwa za nini kwa gharama kubwa za kujenga Na uendeshaji?

Kwani kule kusema “yatiini mamlaka” maana yake ni nini?

Je si kufuata sheria inavyosema?

Kwani alimchukulia sheria mkononi?

Si aleenda kwenye vyombo vya haki?

Watu wafanye makosa ya makusudi huku wakijua maaskofu watawaombea msamaha?

Tutakuwa tunahenga Taifa la namna gani? [emoji2369]
 
Basi walofanya makosa waliopo magerezani wasamehewe Na mahabusu wote waachiliwe serikali iokoe hela za uendeshaji zikatumike kuleta Maji na umeme , madawa n.k
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Mkosaji akiomba msamaha, uliokosewa uko huru kukubali msamaha huo na kusamehe, au kutosamehe, lakini ikitokea akaombewa msamaha na watu wenye daraja kubwa kama Maaskofu, sio cha kupuuzwa!.

Baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, alikasirika sana na yule mshenzi aliyesema, serikali yote ameiweka mfukoni!. Nyerere akamtia ndani!. Akatiwa misukosuko akagoma kata kata, ila alipoombwa na Baba Askofu Makarious wa Cyprus, Nyerere akalainika na kusamehewa!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo hivyo hata kichaa akitubu, anastahili msamaha.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Uliona mbali sana kamanda ... Aisee
 
Hivi wafahamu hayo uyasemayo hao viongozi wa dini (kupitia ulimwengu wa kiroho) waweza kuyasikia?

Kwani ukienda kutubu kanisani kiongozi wa kanisa kusikiliza toza zako kama yeye au kwa niaba ya Mungu?

Hivi wafahamu ukiingia ulimwengu wa kiroho na kufunga siku 7 kwa ajili ya madhira ya mtu fulani huku ukiomba kwa sala yule mtu aweza kushughulikiwa na nguvu za kiroho?

Viongozi wa dini nao ni binadamu ili wakiingia kwenye ulimwengu wa kiroho huwa watu wa aina ingine.

Papa Francis alikwenda Hungary na kaongea na Zelenzky kwa simu lakini ameona haitoshi sasa hivi waandaa mkutano mwingine maalum na Zelensky wa uso kwa uso ili waingie kwenye ulimwengu wa kiroho wafanye maombi.
Kuingia kwenye ulimwengu wa kiroho ukiwa mwovu ila umevikwa kofia ya kiongozi wa dini!!!
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Mkosaji akiomba msamaha, uliokosewa uko huru kukubali msamaha huo na kusamehe, au kutosamehe, lakini ikitokea akaombewa msamaha na watu wenye daraja kubwa kama Maaskofu, sio cha kupuuzwa!.

Baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, alikasirika sana na yule mshenzi aliyesema, serikali yote ameiweka mfukoni!. Nyerere akamtia ndani!. Akatiwa misukosuko akagoma kata kata, ila alipoombwa na Baba Askofu Makarious wa Cyprus, Nyerere akalainika na kusamehewa!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo hivyo hata kichaa akitubu, anastahili msamaha.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Duhhh aiseee uliona mbali wewe ni Legend .
 
Hivi wafahamu hayo uyasemayo hao viongozi wa dini (kupitia ulimwengu wa kiroho) waweza kuyasikia?

Kwani ukienda kutubu kanisani kiongozi wa kanisa kusikiliza toza zako kama yeye au kwa niaba ya Mungu?

Hivi wafahamu ukiingia ulimwengu wa kiroho na kufunga siku 7 kwa ajili ya madhira ya mtu fulani huku ukiomba kwa sala yule mtu aweza kushughulikiwa na nguvu za kiroho?

Viongozi wa dini nao ni binadamu ili wakiingia kwenye ulimwengu wa kiroho huwa watu wa aina ingine.

Papa Francis alikwenda Hungary na kaongea na Zelenzky kwa simu lakini ameona haitoshi sasa hivi waandaa mkutano mwingine maalum na Zelensky wa uso kwa uso ili waingie kwenye ulimwengu wa kiroho wafanye maombi.
NOTED! 🤡
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!.

Paskali
Bernard Camilus Membe,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu,
Imani umeitunza,
Mwendo umeumaliza!.
Bwana alileta
Bwana ametwaa
Jina lake Lihimidiwe
RIP Bernard Cammilus Membe
Paskali
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Mkosaji akiomba msamaha, uliokosewa uko huru kukubali msamaha huo na kusamehe, au kutosamehe, lakini ikitokea akaombewa msamaha na watu wenye daraja kubwa kama Maaskofu, sio cha kupuuzwa!.

Baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, alikasirika sana na yule mshenzi aliyesema, serikali yote ameiweka mfukoni!. Nyerere akamtia ndani!. Akatiwa misukosuko akagoma kata kata, ila alipoombwa na Baba Askofu Makarious wa Cyprus, Nyerere akalainika na kusamehewa!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo hivyo hata kichaa akitubu, anastahili msamaha.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Bandiko hili ndilo lilikuwa bandiko langu la mwisho kumshauri kitu Benard Membe, ambalo nililipost just 14 days kabla ya kifo chake!.

Na hili ni bandiko langu la mwisho kumhusu Benard Membe, Buriani Benard Membe, Umepigana Vita Vilivyo Vitakatifu, Mwendo Umeumaliza, Imani Umeitunza, Madeni Yako Yaliyobakia Karma Itakulipia!
P
 
Back
Top Bottom