Bernard Membe yupo kweli?

😁😁
 
Unataka kujua alipo ili umfanye nini wewe gamba?
 
Hapo kumbuka vyombo vya habari vimepigwa marufuku ku-cover matukio ya TL.
Kabisa!

Ila hao watawala nao ni wapumbavu tu.

Katika zama hizi ni kazi bure kupiga marufuku vyombo vya habari kutangaza habari.
Hakika ni lawama batili kwa Serikali kwa hilo. Labda wanaotoa shutuma hizo wanafanya hivyo kwa makusudi kuifitinisha Serikali na wananchi kupitia mgongo wa vyombo vya habari.

Wanajua wazi kampeni hazijaanza ila ni wakati wa kutafuta wadhamini. Huyo anayefanya mikutano ya hadhara anafanya makusudi achukuliwe hatua ili apate kutafuta huruma ndani na nje ya nchi. Tufanye subira kampeni zianze rasmi.
 
Huyo jasusi bado hajaonja joto ya jiwe ya kuwa upinzani!

Siku atayopewa msukosuko atarudi mwenyewe CCM bila kupenda.

Membe hawezi kurudi.

CCM walimfukuza.

Zaidi alitukanwa na vijana wadogo wa CCM ambao angeweza kuwazaa.
 

Mbona JPM amekuwa akifanya hayo kwa miaka minne sasa?

Na amekuwa akipita ktk majimbo yanayoongozwa na wapinzani na kuwaponda na kuwachonganisha na wapiga kura wao.
 
Sawa mkuu lakini kumbuka bila haki hakuna amani. Kuimba amani kila siku TBC wakati walioko kwenye madaraka wanabana haki za watu ni upumbavu.
 
Membe ni Lowassa part 2 yule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…