Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
ππWewe ni Ngabu kweli, Sisi kwetu Jina Ngabu linamaanisha, ni mtu ambaye Kwa Wakati Fulani, njaa imemshika,bahati Nzuri pengine akakutana na mtu akampatia karanga za kutafuna, Wakati wakiachana tu na huyo mtu aliyemgea karanga, Mbele yake akamwona mtu ambaye naye ananjaa, huyo mtu akataka kuomba karanga Ili ale, matokeo yake aliyeombwa, akaztupia zote mdomoni mwake akimwambia Yule jamaa aliyeomba kuwa, nimemaliza karanga na mdomo umejaa karanga asiweze hata kuongea vizuri, hiyo ndio inaitwa amezi Ngabu
Unataka kujua alipo ili umfanye nini wewe gamba?Anayevuma kwa sasa ni Tundu Lissu tu.
Na si kwamba anavuma kwa sababu ana sera bora na anazinadi kwa ustadi!
La hasha.
Anavuma tu kwa kelele kelele anazozipiga akiwa huko kwenye mizunguko yake ya kutafuta wadhamini.
Sasa ikija kwa Bernard Membe, si ajabu ukimwuliza Mtanzania wa kawaida barabarani kuwa jana au leo Membe alikuwa wapi, sidhani kama kuna mtu ataweza kukuambia.
Kwa Lissu hali ni tofauti kabisa. Majuzi ile alikuwa Ikungulyabashashi. Juzi alikuwa sijui Arusha au Kilimanjaro. Jana alikuwa Iringa au Morogoro....
Sasa huyo βjasusi mbobeziβ yeye yuko wapi?
Hata vile vijembe vyake dhaifu kule Twitter naona hatoi tena.
Isije akawa keshaguswa na sasa ananuka!
Jamaa ni dhaifu sana. Siasa naona haimkubali. Haiba yake haiendani na mikikimikiki na mashamsham ya kisiasa.
Inawahusu nini nyinyi mataga wa Lumumba?BM anashangaa jinsi watu waliosema wako nyuma yake walivyokimbia
Yeye ni mwenye kila kitu hana haja ya kuhangaikaHv magufuli nae anatafuta wadhamini au? Mbona hata hajaanza na tarehe za kurudisha fomu inakaribia naomba kwa anaejua anielekeze plz!
Kwa nchi kama yetu, watu wengi ni wa hovyo Sana, ingawa ni Jambo la mhimu na lazima, Ila wengi badala ya kuongea ki staha, wanatukana tu Kwa kila Aina ya matusi
Na hata Mimi nigekuwa tu kama Magufuli,
Hapo kumbuka vyombo vya habari vimepigwa marufuku ku-cover matukio ya TL.
Hakika ni lawama batili kwa Serikali kwa hilo. Labda wanaotoa shutuma hizo wanafanya hivyo kwa makusudi kuifitinisha Serikali na wananchi kupitia mgongo wa vyombo vya habari.Kabisa!
Ila hao watawala nao ni wapumbavu tu.
Katika zama hizi ni kazi bure kupiga marufuku vyombo vya habari kutangaza habari.
Yule Membe siyo msukhuma, hivyo wachana naye mzee wa kichingaHuenda wala hakukuwa na watu nyuma yake.
Si ajabu yalikuwa ni maruerue na yeye akadhani ni watu [emoji1787]
Huyo jasusi bado hajaonja joto ya jiwe ya kuwa upinzani!
Siku atayopewa msukosuko atarudi mwenyewe CCM bila kupenda.
Hakika ni lawama batili kwa Serikali kwa hilo. Labda wanaotoa shutuma hizo wanafanya hivyo kwa makusudi kuifitinisha Serikali na wananchi kupitia mgongo wa vyombo vya habari.
Wanajua wazi kampeni hazijaanza ila ni wakati wa kutafuta wadhamini. Huyo anayefanya mikutano ya hadhara anafanya makusudi achukuliwe hatua ili apate kutafuta huruma ndani na nje ya nchi. Tufanye subira kampeni zianze rasmi.
Mkuu, wewe Umeona nimeandika jina Lisu hapoHebu eleza tusi moja ambalo Tundu Lissu kamtukana Magufuli
Halipo!
Kabisa!
Katika zama hizi ni kazi bure kupiga marufuku vyombo vya habari kutangaza habari.
Akipewa itawezana?π π π π πInawahusu nini nyinyi mataga wa lumumba?
Ma ccm wanamuogopa sanaMember ni Simba mwenda pole ila lazima ale nyama.
Hakika ni lawama batili kwa Serikali kwa hilo. Labda wanaotoa shutuma hizo wanafanya hivyo kwa makusudi kuifitinisha Serikali na wananchi kupitia mgongo wa vyombo vya habari.
Wanajua wazi kampeni hazijaanza ila ni wakati wa kutafuta wadhamini. Huyo anayefanya mikutano ya hadhara anafanya makusudi achukuliwe hatua ili apate kutafuta huruma ndani na nje ya nchi. Tufanye subira kampeni zianze rasmi.
kwahyo yeye haitaji kuzunguka mikoa 10 kutafuta wadhamini 2000??Yeye ni mwenye kila kitu hana haja ya kuhangaika
Membe ni Lowassa part 2 yule.Membe anaweka maslahi ya Taifa mbele siyo yake binafsi
Na hakuna maslahi makubwa kwa nchi zaidi ya kusaidia juhudi za kumng'oa Magufuli madarakani october 28 ,maana Magufuli ni sehemu kubwa ya kikwazo cha maendeleo ya kweli nchini hususan kwenye suala la fundamental freedoms za wananchi!
Kwa hiyo Membe yuko behind the scene anafanya hiyo kazi kwa weledi mkubwa sana
Atafanya hivyo kwa kupenda kwake tukwahyo yeye haitaji kuzunguka mikoa 10 kutafuta wadhamini 2000??
Sijui Zitto anamuamini vipi huyo kacheroMembe ni Lowassa part 2 yule.
Kwa hiyo asipopenda hawezi kufanya hivyo na mambo yatakua sawa tu?Atafanya hivyo kwa kupenda kwake tu