Nadhani alijaribu kudanganya na uongo wake haukufanikiwa kwa Morison viongozi walijitahidi sana kumvumiliaDakika za mwisho Morrison alianza kucheza mpira mzuri wa kuonyesha anajutia na anaomba nafasi ya kurekebisha upumbav wake alioufanya, alicheza mpira wa kuonyesha anahitaji kubaki Yanga na alitambua kwa ujinga alioufanya mpira wa hizi team kubwa hazimtaki zimemchoka... Babati mbaya imekuwa too late kwasasa hizi Club kubwa 2 hawana interest naye...
Kama ana Mahusiano na DJ Mmoja maarufu wa Kike wa Redio moja Kubwa nchini ambaye anavuta Bangi na Kubwia Unga mwenye IST Nyeusi na aliyepanga Mbezi Maua kwa Rubani unategemea na Yeye Bernard Morisson atakuwa na Akili au sawa sawa Kichwani?Daaah huyu jamaa angetulia mapepe yake angekuwa mchezaji mzuri sana
Ninachomwomea Huruma alitumia Mbinu ya Kishamba na Kizamani ya Kukiwasha sana Uwanjani Mkataba ukikaribia Ukingoni ili apewe Mwingine ila Safari hii Viongozi wa Yanga SC wamemtosa mazima.Bernard Morrison aachwa Rasmi na Yanga SC.
Kama klabu imethubutu mazima kuachana na huyu mwamba basi nina uhakika kuna kitu kinapikwa jikoni.
Nafahamu kuwa alikuwa option ya muda mfupi katika msimu huu, licha ya kuwa alikosea kwa kukubali pesa iliyotia najisi katika kipaji chake hata kushuka uwezo na kipaji kupungua.
Nafahamu kama angebaki njia kuu basi angefanikiwa kulinda uwezo wake na kupata fursa ya kusalia klabuni.
Asanteni kwa uthubutu viongozi wetu.View attachment 2664735
Bernard Morrison aachwa Rasmi na Yanga SC.
Kama klabu imethubutu mazima kuachana na huyu mwamba basi nina uhakika kuna kitu kinapikwa jikoni.
Nafahamu kuwa alikuwa option ya muda mfupi katika msimu huu, licha ya kuwa alikosea kwa kukubali pesa iliyotia najisi katika kipaji chake hata kushuka uwezo na kipaji kupungua.
Nafahamu kama angebaki njia kuu basi angefanikiwa kulinda uwezo wake na kupata fursa ya kusalia klabuni.
Asanteni kwa uthubutu viongozi wetu.
View attachment 2664735
Anaenda Simba.Daaah huyu jamaa angetulia mapepe yake angekuwa mchezaji mzuri sana