Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...mpaka mwekezaji wa mchongoooo...😊😊😊Timu ya mchongo,penalty za michongo, wachezaji wa michongo, kila kitu ni mchongo
Jambo la ovyo kivip?.Kwani uwepo wake haujawai kuisaidia timu?.au ulitaka aweje?Iwe kweli au si kweli lakini Simba kumsajili Morrison ilikuwa ni Jambo ya ovyo kama Yanga walivyotaka kumsajili Mkude. Mwanamke mkorofi atadumu kwenye ndoa kama tu atabaki Kwa mwanaume aliyemzoea.
Siku nyingine utakuwa umejifunzaDuuh yaani story za kutunga unaanzishia uzi kabisa,, itakua unafanyia kazi magazeti ya udaku.
Walidhani wanaikomoa Yanga,kumbe wanakanyaga majivu na kukanyaga motoKwa kumuiba kutoka yanga hakuna faida mliopata hadi sasa
Ni uzushi kama ulivyo uzushi mwingine.
Nikweli Ahmed Ally anatuharibia timu,amekuja na Propaganda sanaPropaganda!!
Hata Ahamed yupo kwenye magazeti hayo pia mkuuDuuh yaani story za kutunga unaanzishia uzi kabisa,, itakua unafanyia kazi magazeti ya udaku.
Aende, Kibu Denis ni more potential kuliko yeyeView attachment 2107865
Mshambuliaji Bernard Morrison hakuonekana katika mchezo wa jana Februari 3, wa timu yake ya Simba dhidi ya Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Mkapa katika Ligi Kuu Bara.
Hakuna taarifa rasmi juu ya Mghana huyo, lakini mapema leo amepost picha akiwa amebeba mabegi kama vile mtu ambaye anajiandaa kusafiri. Hajaweka wazi zaidi ya kuandika:
“Something huge about to BLOW”
"Guess what??
Sasa anadaiwa kuwa alisimamishwa na uongozi baada ya kile kilichoelezwa kuwa alitoka kambini bila ruhusa, kitendo ambacho ni utovu wa nidhamu.
Viongozi wamekasirishwa na kilichotokea na kuna uwezekano mkubwa akaondoka baada ya mkataba wake kumalizika au hata kabla ya mkataba kumalizika kwa kuwa timu imekuwa haifanyi vizuri hivi karibuni, huku Morrison mwenyewe akishindwa kuonyesha kiwango cha juu.
View attachment 2107718
Mzee Mwenzangu Hiyo Timu Yako Itakuja Kukuua Ona Sasa Ulikuwa Unapinga.[emoji23][emoji23][emoji23]Ni uzushi kama ulivyo uzushi mwingine.
Hahaha Mkuu Tunatimiza Majukumu Yetu Ya Kushinda Mechi Zote.ha ha nyie mmefanya nini zaidi ya kuongoza ligi mkuu, simple ni hamna zaidi ya makelele