Bernard Morrison asimamishwa Simba SC kwa utovu wa nidhamu

Bernard Morrison asimamishwa Simba SC kwa utovu wa nidhamu

Ikiisha waje watuambie wanajifili aje. 🤣🤣🤣
Yaani Morrison ni tatizo,ona maisha yake ya Soka hapa
Screenshot_20220205-145259.png
 
Wakuu mko vyema kabisa.

Niko banda umiza wakati huu, kuna mtu karopoka kwamba ivi yule MKOSA NIDHAMU atapata namba kwa yanga hii [emoji91][emoji91][emoji91]
Screenshot_20220205-201102~2.jpg
 
Screenshot_20220206-084303_Instagram.jpg

Kutoka maktaba mzee wa kuwakera na haendi sehemu yoyote mnaye huyo,wenyewe mmempamba na majina kibao mara wakili msomi, mzee wa kuwakera sasa ana wakera nyinyi bakini na shipa lenu.
 
Back
Top Bottom