Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
University of soccer hiyo kwio,mikia wajiandae kisaikolojiaNilitaka nikutag Mkuu.
Waliona sifa pale alipowaambia "Simba is the University of soccer" 😅😅
Haya imekuwaje tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
University of soccer hiyo kwio,mikia wajiandae kisaikolojiaNilitaka nikutag Mkuu.
Waliona sifa pale alipowaambia "Simba is the University of soccer" 😅😅
Haya imekuwaje tena?
Hawana hamu naye tena. 🤣🤣Ame Disco masomo yake
Huyu ndio wakili msomi tunayemjua sisi sasa swahibaIla hapa ndo 5imba wajue asiyefaa hafai tu siku zote hata umuweke na kumnyenyekea kwa namna gani ataficha makucha lakini ipo siku atayatoa tu na hiki ndo kimetokea.
Kwani alikuwa faculty gani pale Simba University of Soccer (SUS)?Hawana hamu naye tena. 🤣🤣
Hongera sana we mdada huwa unabusara sana kuliko wanautopolo wote humu kweli lile shipa.Ila hapa ndo 5imba wajue asiyefaa hafai tu siku zote hata umuweke na kumnyenyekea kwa namna gani ataficha makucha lakini ipo siku atayatoa tu na hiki ndo kimetokea.
Bachelor degree in Violence and ConflictKwani alikuwa faculty gani pale Simba University of Soccer (SUS)?
Na hapo mpk kumsema hadharani ni kwamba wamevumilia kwa muda mrefu na sasa wamechokaHawana hamu naye tena. 🤣🤣
Hahahaaaa. Walituona sisi mabwege sasa zamu yao.University of soccer hiyo kwio,mikia wajiandae kisaikolojia
Hakika Swahiba na hapa alikuwa anawaonjesha tu. 😀😀
Shukran sana Mkuu. 🙏Hongera sana we mdada huwa unabusara sana kuliko wanautopolo wote humu kweli lile shipa.
Hakika Mkuu si umeona kwenye hiyo barua hapo kwa jinsi walivyoelezea inaonekana si mara moja. 😀Na hapo mpk kumsema hadharani ni kwamba wamevumilia kwa muda mrefu na sasa wamechoka
Ngoja waje watujibu hawa Nguffu moja.Kwani alikuwa faculty gani pale Simba University of Soccer (SUS)?
Hawawezi kuja na wanasingizia mvuaHahahaaa. Mkuu hebu waite hawa kina naniliu mbona wanajifanya kama uzi hawauoni. 🤣
Naona amedisco chuo Cha soka,😂😂😂Nilitaka nikutag Mkuu.
Waliona sifa pale alipowaambia "Simba is the University of soccer" 😅😅
Haya imekuwaje tena?
Ikiisha waje watuambie wanajifili aje. 🤣🤣🤣Hawawezi kuja na wanasingizia mvua
Makolo ndio wanajua hawajui 😀Hakika Swahiba na hapa alikuwa anawaonjesha tu. 😀😀
Wakili Msomi mwingine tunayemjua sisi ni huyu hapa Swahiba.👇
View attachment 2108821
mwalimu akiwa haji manaraBachelor degree in Violence and Conflict