Bernard Morrison asimamishwa Simba SC kwa utovu wa nidhamu

Bernard Morrison asimamishwa Simba SC kwa utovu wa nidhamu

Ila hapa ndo 5imba wajue asiyefaa hafai tu siku zote hata umuweke na kumnyenyekea kwa namna gani ataficha makucha lakini ipo siku atayatoa tu na hiki ndo kimetokea.
Huyu ndio wakili msomi tunayemjua sisi sasa swahiba

20220205_082542.jpg
 
Ila hapa ndo 5imba wajue asiyefaa hafai tu siku zote hata umuweke na kumnyenyekea kwa namna gani ataficha makucha lakini ipo siku atayatoa tu na hiki ndo kimetokea.
Hongera sana we mdada huwa unabusara sana kuliko wanautopolo wote humu kweli lile shipa.
 
Back
Top Bottom