Bernard Morrison asimamishwa Simba SC kwa utovu wa nidhamu

Wakuu mko vyema kabisa.

Niko banda umiza wakati huu, kuna mtu karopoka kwamba ivi yule MKOSA NIDHAMU atapata namba kwa yanga hii [emoji91][emoji91][emoji91]
 

Kutoka maktaba mzee wa kuwakera na haendi sehemu yoyote mnaye huyo,wenyewe mmempamba na majina kibao mara wakili msomi, mzee wa kuwakera sasa ana wakera nyinyi bakini na shipa lenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…