Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafiti huo umeufanya kwenye Phd ya chuo gani?Mkuu hii ki science au your wish? Mleta mada yupo sahihi sasa hivi chuma zao zimetitia
nani alikuambia hazifanyi kazi ? Uliingia nao faragha ? Mwanaume ukiwa na afya njema, hata ukiwa na 80 unaweza kusex vizuri tu, japo performance haiwezi kuwa kama ya kijana damu changa
Wangenfanya 3 some, Museveni na Kiiza na huyo manzi.. wakamaliza magomviKwa hiyo jamaaa alikula mbususu ya mke wa museven....safi sana mwamba.
Ila mwanaume kumtesa mwenzio kisa mkeo kaliwa mbususus huo ni umama
Hukumu ikikuwa 2004!Yalipata kutokea kwetu pia miaka ya 2005 kama sijakosea
Umeongea jambo bila kujua, hata huo mchezo mnaweza kuuana pia!Wangenfanya 3 some, Museveni na Kiiza na huyo manzi.. wakamaliza magomvi
ni kweliMuseveni alimuacha Winnie akamuoa Janeth. Kiza baada ya kuona Museveni kamtosa Winnie akaamua amuoe. Hapo ndipo chuki ya wawili hao ilipoanzia.
Ukweli ni kwamba, Museveni ana wivu wa kijinga.
😅😅😅 Nimecheka kweli kweliUmeongea jambo bila kujua hata huo mchezo mnaweza kuuana pia!
Wakati wewe umepanda ukipiga, mwenzako anashuhudia ama kakushikilizia miguu kabisa utakuwa ukifurahi.
Utakaposhuka na akapanda yeye ndipo hapo hasira zako za kuua zitakapokupanda.
Maana viuno atavyopewa mwenzako ni tofauti na ulivyopewa wewe, miguno ya kimahaba itaongezeka maradufu kuliko uliyopewa wewe, sifa za maneno zitatolewa huku ngono zembe ikitembea akisifiwa huyo jamaa kwamba anafanya vizuri kuliko mwenziye aliyeshuka ambaye ndiye wewe.
Na kama ni yale mapenzi ya kupandisha mizuka ya kuongea, waweza kutukanwa wewe wakati wa kupewa sifa mwenzako aliye kifuani.
Haujasikia watu wanatukana hadi waume ama wake zao wakati wakizini?
Sasa yote hayo yanafanyika na wewe upo ukishuhudia, kwanini usipandishe wivu wa kijinga?
Unajuaje labda sababu ya Mu7 kumuachia Winnie pengine kiiza alikua akimgongea.winnie byanyima ana kosa gani? kawachonganishaje? museveni alimuacha na akamuoa janet na kiiza akamuoa byanyima,sasa hapo mwanamke ana kosa lipi?kiiza hakumnyang'anya museveni,bali museveni ndio alimuacha byanyima,tusiwaigize wanawake kwenye makosa yasiyowahusu
Anaweza kuwa na majibu zaidi
Nashukuru MkuuHukumu ikikuwa 2004!
Ndiyomaana mi huwa sina imani na mahakama zetu.
Akili nyingi mtu wangu...hayo ndio mambozWangenfanya 3 some, Museveni na Kiiza na huyo manzi.. wakamaliza magomvi
Kabisaaa sasa umeshaacha wivu wa nini tenaMuseveni alimuacha Winnie akamuoa Janeth. Kiza baada ya kuona Museveni kamtosa Winnie akaamua amuoe. Hapo ndipo chuki ya wawili hao ilipoanzia.
Ukweli ni kwamba, Museveni ana wivu wa kijinga.
Namna hiyoo.. wangemaliza kabisa bifu na wangekuwa marafikii sanaaa 😅😅.. 3 some na 4some inaunganisha maaduiAkili nyingi mtu wangu...hayo ndio mamboz