Besigye, mwanaume anayeteswa na Museveni kwa sababu ya ugomvi wa mwanamke

Besigye, mwanaume anayeteswa na Museveni kwa sababu ya ugomvi wa mwanamke

nani alikuambia hazifanyi kazi ? Uliingia nao faragha ? Mwanaume ukiwa na afya njema, hata ukiwa na 80 unaweza kusex vizuri tu, japo performance haiwezi kuwa kama ya kijana damu changa

"Vizuri tu" - elezea maana yake; maana unaleta ushabiki wa kipumbavu!
 
Wangenfanya 3 some, Museveni na Kiiza na huyo manzi.. wakamaliza magomvi
Umeongea jambo bila kujua, hata huo mchezo mnaweza kuuana pia!

Wakati wewe umepanda kupiga, mwenzako atakuwa akishuhudia ama saazingine kakushikilizia na miguu kabisa ili wewe ufaidi.

Utakaposhuka na akapanda yeye, ndipo hapo hasira zako za kuua zitakapokupanda.

Maana viuno atavyopewa mwenzako ni vya kishua tofauti na ulivyopewa wewe, miguno ya kimahaba itaongezeka maradufu kuliko uliyopewa wewe, sifa za maneno zitatolewa huku ngono zembe ikitembea mtindo mmoja huku akisifiwa huyo jamaa kwamba anafanya vizuri kuliko mwenziye aliyeshuka ambaye ndiye wewe.

Na kama ni yale mapenzi ya kupandisha mizuka ya kuongea, waweza kutukanwa wewe wakati akipewa sifa mwenzako aliye juu kifuani.

Haujasikia watu wanatukana hadi waume ama wake zao wakati wakizini?

Sasa yote hayo yanafanyika mbele yako upo ukishuhudia, kwanini usipandishe wivu wa kijinga?
 
Sa mwamaMuseveni,si alishaana na X wake wa zamani,kina muuma nini sasa,
 
Umeongea jambo bila kujua hata huo mchezo mnaweza kuuana pia!

Wakati wewe umepanda ukipiga, mwenzako anashuhudia ama kakushikilizia miguu kabisa utakuwa ukifurahi.

Utakaposhuka na akapanda yeye ndipo hapo hasira zako za kuua zitakapokupanda.

Maana viuno atavyopewa mwenzako ni tofauti na ulivyopewa wewe, miguno ya kimahaba itaongezeka maradufu kuliko uliyopewa wewe, sifa za maneno zitatolewa huku ngono zembe ikitembea akisifiwa huyo jamaa kwamba anafanya vizuri kuliko mwenziye aliyeshuka ambaye ndiye wewe.

Na kama ni yale mapenzi ya kupandisha mizuka ya kuongea, waweza kutukanwa wewe wakati wa kupewa sifa mwenzako aliye kifuani.

Haujasikia watu wanatukana hadi waume ama wake zao wakati wakizini?

Sasa yote hayo yanafanyika na wewe upo ukishuhudia, kwanini usipandishe wivu wa kijinga?
😅😅😅 Nimecheka kweli kweli
 
winnie byanyima ana kosa gani? kawachonganishaje? museveni alimuacha na akamuoa janet na kiiza akamuoa byanyima,sasa hapo mwanamke ana kosa lipi?kiiza hakumnyang'anya museveni,bali museveni ndio alimuacha byanyima,tusiwaigize wanawake kwenye makosa yasiyowahusu
Unajuaje labda sababu ya Mu7 kumuachia Winnie pengine kiiza alikua akimgongea.
 
Labda Besigye alikuwa akiigonga hiyo manzi kimyakimya kabla hata hajaachana na Museveni. Kwani Kiiza hakuwa na manzi kipindi Museveni anakula Winnie? Au huenda Museveni hakuwa na mpango wa kumuacha huyo Besigye akamshauri amuache kisha akamuoa.
 
Zaman kabla wakoloni hawajaja afrika, kulikuwa kuna vita vilikuwa vikizuka kwasababu ya wanawake

Mwanamke mmoja anasababisha wanaume kadhaa kufa
 
Huyu mzee museven kwanini nchi za Africa zisimtoe kwa nguvu mzee mjinga Sana na wanae utawala wa kipumbavu sana
 
ila Besyigye kadundwa maisha yake yote mpaka sura imekuwa deformed.
 
Museveni alimuacha Winnie akamuoa Janeth. Kiza baada ya kuona Museveni kamtosa Winnie akaamua amuoe. Hapo ndipo chuki ya wawili hao ilipoanzia.

Ukweli ni kwamba, Museveni ana wivu wa kijinga.
Kabisaaa sasa umeshaacha wivu wa nini tena
 
Back
Top Bottom