Besigye, mwanaume anayeteswa na Museveni kwa sababu ya ugomvi wa mwanamke

Besigye, mwanaume anayeteswa na Museveni kwa sababu ya ugomvi wa mwanamke

View attachment 3210475
Biblia inapotukumbusha tuishi na wanawake kwa akili, siyo bahati mbaya, humaanisha.

Wanawake ni viumbe hatari mno hapa Duniani!

Chanzo cha ugomvi wa wawili hao ni mke wa Kiza dada Winnie ambaye awali alikuwa mpenzi wa Museveni wa ujanani. Museveni, kwa hiari yake mwenyewe, aliamua kuachana na Winnie na kumuoa Janeth. Baada ya Museveni kumtosa Winnie, ndiposa rafiki yake Museveni kwa wakati huo ndugu Kiza Besigye aliamua kumuoa zilipendwa wa Museveni Winnie.

Na ndiyo maana, leo hii ndugu Kiza Besigye analipia gharama kubwa kwa kusumbuliwa na aliyepata kuwa rafiki yake wa dhati Rais Museveni kisa tu ugomvi wa kuchukuliana wanawake.

Mbaya zaidi, kwa umri wao, hata mbolo (mbolo siyo tusi) zao haziwezi kazi. Sasa unashangaa ya nini waendelee kuumizana namna hiyo?!

Kesi lukuki zisizo za kweli akituhumiwa kwazo ili tu ateswe na kukomolewa na jamaa yake bwana Museveni aliye na makali ya Dola.

Wanaume, tujitahidi kuishi na wanawake kwa akili ili wasije kutuingiza kwenye magomvi yasiyo na tija kwa marafiki zetu.
Sio tuu Rafiki yake Bali alikuwa daktari wake na familia.

Ndio hivyo Sasa wewe Kwa nini uchukue mwanamke wa boss wako,utakuwa salama? 😂😂
 
Hapo mwanamke hana kosa, ila museven ana roho ya kike, mtu ulimuacha, kaja kaolewa, unamaindi nini sasa?
 
Majina ya Winnie yana matatizo, hata mzee Mandela aliburuzwa sana na Winnie asee na huyu anaburuza wazee wawili now,
 
Besigye baada ya kuchukua chombo cha boss akatamani kuchukua na cheo cha boss akaingia kwenye siasa kisha yakamkuta yakumkuta funzo; heshimu mali za boss wako acha tamaa
 
View attachment 3210475
Biblia inapotukumbusha tuishi na wanawake kwa akili, siyo bahati mbaya, humaanisha.

Wanawake ni viumbe hatari mno hapa Duniani!

Chanzo cha ugomvi wa wawili hao ni mke wa Kiza dada Winnie ambaye awali alikuwa mpenzi wa Museveni wa ujanani. Museveni, kwa hiari yake mwenyewe, aliamua kuachana na Winnie na kumuoa Janeth. Baada ya Museveni kumtosa Winnie, ndiposa rafiki yake Museveni kwa wakati huo ndugu Kiza Besigye aliamua kumuoa zilipendwa wa Museveni Winnie.

Na ndiyo maana, leo hii ndugu Kiza Besigye analipia gharama kubwa kwa kusumbuliwa na aliyepata kuwa rafiki yake wa dhati Rais Museveni kisa tu ugomvi wa kuchukuliana wanawake.

Mbaya zaidi, kwa umri wao, hata mbolo (mbolo siyo tusi) zao haziwezi kazi. Sasa unashangaa ya nini waendelee kuumizana namna hiyo?!

Kesi lukuki zisizo za kweli akituhumiwa kwazo ili tu ateswe na kukomolewa na jamaa yake bwana Museveni aliye na makali ya Dola.

Wanaume, tujitahidi kuishi na wanawake kwa akili ili wasije kutuingiza kwenye magomvi yasiyo na tija kwa marafiki zetu.
Sheria ambayo hakuandikwa ya marafiki, huwa huanzishi mahusiano na mpenzi au aliyekuwa mpenzi wa rafiki yako kamwe.
 
Kiiza alikuwa Doctor wa Museveni, pengine ni moja kati ya watu wanayemjua M7 sana. Madikteka hawawapendi watu wa namna hii
 
View attachment 3210475
Biblia inapotukumbusha tuishi na wanawake kwa akili, siyo bahati mbaya, humaanisha.

Wanawake ni viumbe hatari mno hapa Duniani!

Chanzo cha ugomvi wa wawili hao ni mke wa Kiza dada Winnie ambaye awali alikuwa mpenzi wa Museveni wa ujanani. Museveni, kwa hiari yake mwenyewe, aliamua kuachana na Winnie na kumuoa Janeth. Baada ya Museveni kumtosa Winnie, ndiposa rafiki yake Museveni kwa wakati huo ndugu Kiza Besigye aliamua kumuoa zilipendwa wa Museveni Winnie.

Na ndiyo maana, leo hii ndugu Kiza Besigye analipia gharama kubwa kwa kusumbuliwa na aliyepata kuwa rafiki yake wa dhati Rais Museveni kisa tu ugomvi wa kuchukuliana wanawake.

Mbaya zaidi, kwa umri wao, hata mbolo (mbolo siyo tusi) zao haziwezi kazi. Sasa unashangaa ya nini waendelee kuumizana namna hiyo?!

Kesi lukuki zisizo za kweli akituhumiwa kwazo ili tu ateswe na kukomolewa na jamaa yake bwana Museveni aliye na makali ya Dola.

Wanaume, tujitahidi kuishi na wanawake kwa akili ili wasije kutuingiza kwenye magomvi yasiyo na tija kwa marafiki zetu.
kuishi kwa akili ilikuwa agano la kale,kwa sasa 2natakiwa kuishi nao mbalimbali,,,,ukishazaa watoto wako kazaa ishi peke yako man!!...,wnawake wa wa sasa ivi inabidi uishi nao kama chizi,sio kwa akili tena!!
 
Nadhani hata we mtoa posti huyo mke wako/girl friend wako alikuwa ni Ex wa mtu,M7 qjitafakari kwa haya anayoyafanya hayana tija zaidi ni upumbavu tu
 
Licha ya kuwa ni mpinzani mkubwa wa serikali ya Uganda, Kiongozi mkubwa wa chama cha upinzani nchini Uganda na adui mkubwa wa Yoweri Museveni, Mpaka wanafikia hatua ya kuumizana,

Uliwahi kujua kuwa moja ya jambo kubwa alilolifanya Kizza Besigye linalochangia uhasama kati yao ni kitendo cha yeye kumuoa mwanamke aliyekuwa mpenzi wa Rais Yoweri Kaguta Museveni Winnie Byanyima na kumfanya kuwa mke wake rasmi?

Winnie Byanyima, mke wa Kizza Besigye kwa sasa anafanya kazi katika shirika la UNEP jijini Nairobi..

"Kuna maisha nje ya siasa"
I
 

Attachments

  • IMG_20250224_164621.jpg
    IMG_20250224_164621.jpg
    465.3 KB · Views: 3
Licha ya kuwa ni mpinzani mkubwa wa serikali ya Uganda, Kiongozi mkubwa wa chama cha upinzani nchini Uganda na adui mkubwa wa Yoweri Museveni, Mpaka wanafikia hatua ya kuumizana,

Uliwahi kujua kuwa moja ya jambo kubwa alilolifanya Kizza Besigye linalochangia uhasama kati yao ni kitendo cha yeye kumuoa mwanamke aliyekuwa mpenzi wa Rais Yoweri Kaguta Museveni Winnie Byanyima na kumfanya kuwa mke wake rasmi?

Winnie Byanyima, mke wa Kizza Besigye kwa sasa anafanya kazi katika shirika la UNEP jijini Nairobi..

"Kuna maisha nje ya siasa"
I
Ndio maana chuki naona haziishi kati yao. Kumbe sababu za Uadui wao siyo Siasa.
 
Back
Top Bottom