fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
hajamla mke wa museveni,museveni alimuacha winnie ndipo besigye akamuoaKwa hiyo jamaaa alikula mbususu ya mke wa museven....safi sana mwamba.
Ila mwanaume kumtesa mwenzio kisa mkeo kaliwa mbususus huo ni umama
Sasa bifu la nini kama aliacha mwenyewehajamla mke wa museveni,museveni alimuacha winnie ndipo besigye akamuoa
Huo ndio ujinga wa museveniSasa bifu la nini kama aliacha mwenyewe
Sio tuu Rafiki yake Bali alikuwa daktari wake na familia.View attachment 3210475
Biblia inapotukumbusha tuishi na wanawake kwa akili, siyo bahati mbaya, humaanisha.
Wanawake ni viumbe hatari mno hapa Duniani!
Chanzo cha ugomvi wa wawili hao ni mke wa Kiza dada Winnie ambaye awali alikuwa mpenzi wa Museveni wa ujanani. Museveni, kwa hiari yake mwenyewe, aliamua kuachana na Winnie na kumuoa Janeth. Baada ya Museveni kumtosa Winnie, ndiposa rafiki yake Museveni kwa wakati huo ndugu Kiza Besigye aliamua kumuoa zilipendwa wa Museveni Winnie.
Na ndiyo maana, leo hii ndugu Kiza Besigye analipia gharama kubwa kwa kusumbuliwa na aliyepata kuwa rafiki yake wa dhati Rais Museveni kisa tu ugomvi wa kuchukuliana wanawake.
Mbaya zaidi, kwa umri wao, hata mbolo (mbolo siyo tusi) zao haziwezi kazi. Sasa unashangaa ya nini waendelee kuumizana namna hiyo?!
Kesi lukuki zisizo za kweli akituhumiwa kwazo ili tu ateswe na kukomolewa na jamaa yake bwana Museveni aliye na makali ya Dola.
Wanaume, tujitahidi kuishi na wanawake kwa akili ili wasije kutuingiza kwenye magomvi yasiyo na tija kwa marafiki zetu.
Sheria ambayo hakuandikwa ya marafiki, huwa huanzishi mahusiano na mpenzi au aliyekuwa mpenzi wa rafiki yako kamwe.View attachment 3210475
Biblia inapotukumbusha tuishi na wanawake kwa akili, siyo bahati mbaya, humaanisha.
Wanawake ni viumbe hatari mno hapa Duniani!
Chanzo cha ugomvi wa wawili hao ni mke wa Kiza dada Winnie ambaye awali alikuwa mpenzi wa Museveni wa ujanani. Museveni, kwa hiari yake mwenyewe, aliamua kuachana na Winnie na kumuoa Janeth. Baada ya Museveni kumtosa Winnie, ndiposa rafiki yake Museveni kwa wakati huo ndugu Kiza Besigye aliamua kumuoa zilipendwa wa Museveni Winnie.
Na ndiyo maana, leo hii ndugu Kiza Besigye analipia gharama kubwa kwa kusumbuliwa na aliyepata kuwa rafiki yake wa dhati Rais Museveni kisa tu ugomvi wa kuchukuliana wanawake.
Mbaya zaidi, kwa umri wao, hata mbolo (mbolo siyo tusi) zao haziwezi kazi. Sasa unashangaa ya nini waendelee kuumizana namna hiyo?!
Kesi lukuki zisizo za kweli akituhumiwa kwazo ili tu ateswe na kukomolewa na jamaa yake bwana Museveni aliye na makali ya Dola.
Wanaume, tujitahidi kuishi na wanawake kwa akili ili wasije kutuingiza kwenye magomvi yasiyo na tija kwa marafiki zetu.
soma tenaKwa hiyo jamaaa alikula mbususu ya mke wa museven....safi sana mwamba.
Ila mwanaume kumtesa mwenzio kisa mkeo kaliwa mbususus huo ni umama
kuishi kwa akili ilikuwa agano la kale,kwa sasa 2natakiwa kuishi nao mbalimbali,,,,ukishazaa watoto wako kazaa ishi peke yako man!!...,wnawake wa wa sasa ivi inabidi uishi nao kama chizi,sio kwa akili tena!!View attachment 3210475
Biblia inapotukumbusha tuishi na wanawake kwa akili, siyo bahati mbaya, humaanisha.
Wanawake ni viumbe hatari mno hapa Duniani!
Chanzo cha ugomvi wa wawili hao ni mke wa Kiza dada Winnie ambaye awali alikuwa mpenzi wa Museveni wa ujanani. Museveni, kwa hiari yake mwenyewe, aliamua kuachana na Winnie na kumuoa Janeth. Baada ya Museveni kumtosa Winnie, ndiposa rafiki yake Museveni kwa wakati huo ndugu Kiza Besigye aliamua kumuoa zilipendwa wa Museveni Winnie.
Na ndiyo maana, leo hii ndugu Kiza Besigye analipia gharama kubwa kwa kusumbuliwa na aliyepata kuwa rafiki yake wa dhati Rais Museveni kisa tu ugomvi wa kuchukuliana wanawake.
Mbaya zaidi, kwa umri wao, hata mbolo (mbolo siyo tusi) zao haziwezi kazi. Sasa unashangaa ya nini waendelee kuumizana namna hiyo?!
Kesi lukuki zisizo za kweli akituhumiwa kwazo ili tu ateswe na kukomolewa na jamaa yake bwana Museveni aliye na makali ya Dola.
Wanaume, tujitahidi kuishi na wanawake kwa akili ili wasije kutuingiza kwenye magomvi yasiyo na tija kwa marafiki zetu.
Mcongo alikula mvua ya maisha kisa mbususuYalipata kutokea kwetu pia miaka ya 2005 kama sijakosea
Ndio maana chuki naona haziishi kati yao. Kumbe sababu za Uadui wao siyo Siasa.Licha ya kuwa ni mpinzani mkubwa wa serikali ya Uganda, Kiongozi mkubwa wa chama cha upinzani nchini Uganda na adui mkubwa wa Yoweri Museveni, Mpaka wanafikia hatua ya kuumizana,
Uliwahi kujua kuwa moja ya jambo kubwa alilolifanya Kizza Besigye linalochangia uhasama kati yao ni kitendo cha yeye kumuoa mwanamke aliyekuwa mpenzi wa Rais Yoweri Kaguta Museveni Winnie Byanyima na kumfanya kuwa mke wake rasmi?
Winnie Byanyima, mke wa Kizza Besigye kwa sasa anafanya kazi katika shirika la UNEP jijini Nairobi..
"Kuna maisha nje ya siasa"
I