Wapendwa leo niliandaa maandazi matamu balaa haya nlitumia hivi vipimo....jaribu na wewe uje uniambie kama hutashibia jikoni
Mahitaji
Unga kg 1
Sukari robo ila usijae
Samli 5 tablespoon + I tablespoon ya siagi (unaweka kwa sufuria inakua yamoto) siagi ni kwa ajili ya ladha nzur zaid
Hiliki 1teaspoon
Tui la nazi
Yai 1
Hamira 1 tablespoon
Mafuta ya kukaangia maandaz
Namna ya kutaarisha
Kwanza kabisa weka tui robo kikombe add sukar 1tablespoon na hamira (hiki ni hatua ya kuumua hamira na kuitizama kama bado ipo active ili usije haribu upishi wako kama itakua imeshapita mda) itafanya bubbles kwahiyo bado ipo active
Weka unga changanya na sukar na hiliki...changanya vizur
Mimina samli yamoto kiasi kwenye unga..changanya kwa mikono safi
Mimina hamira ulioumua
Weka yai then tui
Kanda hadi iwe laini...
Subiria 30 minutes iumuke
Katakata maandfazi yako
Acha yaumuke
Weka karai mafuta yakipata moto kaanga hadi yawe brown..
Maandazi tayar kwa kuliwa.
Mahitaji
Unga kg 1
Sukari robo ila usijae
Samli 5 tablespoon + I tablespoon ya siagi (unaweka kwa sufuria inakua yamoto) siagi ni kwa ajili ya ladha nzur zaid
Hiliki 1teaspoon
Tui la nazi
Yai 1
Hamira 1 tablespoon
Mafuta ya kukaangia maandaz
Namna ya kutaarisha
Kwanza kabisa weka tui robo kikombe add sukar 1tablespoon na hamira (hiki ni hatua ya kuumua hamira na kuitizama kama bado ipo active ili usije haribu upishi wako kama itakua imeshapita mda) itafanya bubbles kwahiyo bado ipo active
Weka unga changanya na sukar na hiliki...changanya vizur
Mimina samli yamoto kiasi kwenye unga..changanya kwa mikono safi
Mimina hamira ulioumua
Weka yai then tui
Kanda hadi iwe laini...
Subiria 30 minutes iumuke
Katakata maandfazi yako
Acha yaumuke
Weka karai mafuta yakipata moto kaanga hadi yawe brown..
Maandazi tayar kwa kuliwa.