- Thread starter
- #41
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka nipike?
Kuumua hamira kabla pia inafanya maandazi yako yasinuke hamira na kutofanya vidoto vyeusi ikiwa umezidisha hamira...
Best umesahau kuweka hatua ya kuchanganya hamira. mdogo wangu Eiyer atapika bila kutia hamira hapo lol. na utukumbushe kuweka samli ya moto kabla hatujaweka hamira kusudi isife nguvu.
asante mamito, hadi likizo iishe mmh! maandazi na mie huwa nashibia jikoni, lol
Hayo yawe motoo ooo sinia linaishia jikoni. ...mi hupendelea na katles za samaki/kuku....nitashibaje?
Mwenzio sipendi harufu ya hamira kabisaaaaaa.
Tena napenda maandazi ya kimombasa ambayo hayajajaa unga ndani. Yaani kunakuwa empty halafu hayana harufu ya hamira.
Wanakula asubuhi na mbaazi.
Hapo umetulia zako unasubiri Tahmeed ujirudie Bongo Daslaam.
Kudaadeki.
Mwenzio sipendi harufu ya hamira kabisaaaaaa.
Tena napenda maandazi ya kimombasa ambayo hayajajaa unga ndani. Yaani kunakuwa empty halafu hayana harufu ya hamira.
Wanakula asubuhi na mbaazi.
Hapo umetulia zako unasubiri Tahmeed ujirudie Bongo Daslaam.
Kudaadeki.
Halafu likolee hiliki majirani lazma udenda uwatoke
Mm linone kabisaa nyama ndani ilimradi liive. Hapo nitahisi nakula andazi!! Na mate yalee yanatrremka kooni..lol
Umeona eeeeh...far ww acha tu!
Pia mazuri ukiya bake unaweka ufuta juu
Hayo ya kubake tunaitaga ya kipemba/kupambia...
Upembani yanaokwa na mkaa huzidi utamu naona!!
Pia mazuri ukiya bake unaweka ufuta juu
Heee usinikumbushe hiyo ya kupika maandazi bila hamira....nliwahi pigwa kofi la haja nlipika maandazi wakati wa kusubiri kuumuka hayaumuki kumbe nlisahau hamira weee ilikua kesi si ndogo maskini mama angu lile kofi alonipiga hadi leo sisahau kutia andazi hamira....
Farkhina nieleweshe vizuri nikamsapraizi mama watoto, nini tofauti ya samli na siagi. Nipe kipimo cha maji na tui la nazi maana haya mambo ya jikoni yamenipita kushoto kidogo.