Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa daahhKamwambie ikipigwa kule haisikiki kwenye spika zao
Khee[emoji23]Mwanzo upi mara ya tatu hii anaangukia pua [emoji23][emoji23][emoji23] mie wala nisingeenda ningejifanya nina dharura tu[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bashite Baba lao
Sabaya Baba lao
Musiba Baba lao
Mzee Pombe Baba lao
Mataga wake zao[emoji445][emoji445][emoji445][emoji444][emoji444]
acha ushamba kwahiyo ulitaka na wabongo nao tuwaige wanaigeria
Mkuu wala usipate shida saana. Sisi ni moja kati ya nchi masikini kabisa duniani, na asilimia kubwa ya nchi yetu ni mashamba! Kwahiyo sisi na ushamba ni kama pipa na mfuniko wala hamna cha kushangaza.Siyo swala la Kuwaiga tumekua Na hamasa sana Kwa vitu ambavyo Kwa mataifa mengine ni vitu vya kawaida sana
Hahaaa uo uongo...Mkuu wala usipate shida saana. Sisi ni moja kati ya nchi masikini kabisa duniani, na asilimia kubwa ya nchi yetu ni mashamba! Kwahiyo sisi na ushamba ni kama pipa na mfuniko wala hamna cha kushangaza.
Uongo uko wapi hapo..?Hahaaa uo uongo...