Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16] Numbi jamani yamekuwa hayo my dear...nimeuliza tu
Like seriously?imenibidi niulize tu maana siku hizi unanirukia saa nyingine huwa nabaki kimya
Huko Kilambochamkolechi mnatumia mtandao gani?Hivi Kiba hajaalikwa kutumbuiza???
Kwa watu anaoshindana nao siyo rahisi ashindeDiamond akichukua mamluki tutakoma
Atachukua Ndombolo.Sadala hachukui
Hivi hawa raia wengine mbona mnawapuuza sana? Kwamba wao hawawezi kushinda sio?BEST INTERNATIONAL ACT
View attachment 1830460
Kutumbuiza nini, Ndombolo au?Hivi Kiba hajaalikwa kutumbuiza???
Nina shida na wewe MkuuBEST INTERNATIONAL ACT
View attachment 1830460
Tuzo za mtaani makwao tu hawapoHata asipochukua,angalau yeye kafika kwenye kinyanganyiro tuzo za ulimwengu,wengine hata tuzo za Afrika mashariki,hawajurikani.
Almasi, jamaa aliandika ila ilikuwa vbaya kwa mtu aliyemlenga,kipandacho hushuka ulishawahi waza? Si miujiza ni asili inawashangaza.../
wasahaulifu walimwengu ilitangazwa, wata taja mashujaa na jina lake halita tajwa.../
Ule ni utabiri kulingana na life style ya mchizi, akimhusia abadilike ili siku za mbeleni yasitokee aliyoyaonaAlmasi, jamaa aliandika ila ilikuwa vbaya kwa mtu aliyemlenga,
Alichokiandika mpaka sasa siuoni uhalisia.
[emoji16][emoji16][emoji16]Diamond akichukua mamluki tutakoma
unaitwaje huu wimbo na kaimba nani?Ule ni utabiri kulingana na life style ya mchizi, akimhusia abadilike ili siku za mbeleni yasitokee aliyoyaona
Kipindi ambacho taswira yako ipo gado, ndio kipindi cha kulikata shauri lako.../
Kutambua nafasi na thamani ya sauti yako, kutambua dhamana mwanzoni kabla ya mauti yako.../
Dhamana yako ni zaidi ya kula na kupiga pamba kali, kununua chupa na bupa ukizilaza chali.../
Jina kubwa likikufumba ushindwe kutafakari, utakufa maskini ukizubaa kuzichanga mali.../
Usije sahau maisha yako halisi, yanayolingana na kipato chako thabiti.../
Usije kufa kipindi ambacho michango haikidhi, haitoshi hata nyumba ya mama yako kibiti.../
Dizasta vina mabibi na mabwana ni the vertellerunaitwaje huu wimbo na kaimba nani?
Jamaa ni mzuri katika uandishi, lakini pale alibugi kutokana na kwamba aliimba kwa kumfikilia mtu vle anavyo mzania( magazeti yanavyomuandika) na si maisha halisi na mipango ya mtu.Ule ni utabiri kulingana na life style ya mchizi, akimhusia abadilike ili siku za mbeleni yasitokee aliyoyaona
Kipindi ambacho taswira yako ipo gado, ndio kipindi cha kulikata shauri lako.../
Kutambua nafasi na thamani ya sauti yako, kutambua dhamana mwanzoni kabla ya mauti yako.../
Dhamana yako ni zaidi ya kula na kupiga pamba kali, kununua chupa na bupa ukizilaza chali.../
Jina kubwa likikufumba ushindwe kutafakari, utakufa maskini ukizubaa kuzichanga mali.../
Usije sahau maisha yako halisi, yanayolingana na kipato chako thabiti.../
Usije kufa kipindi ambacho michango haikidhi, haitoshi hata nyumba ya mama yako kibiti.../
ngoma gani hii mkuuUle ni utabiri kulingana na life style ya mchizi, akimhusia abadilike ili siku za mbeleni yasitokee aliyoyaona
Kipindi ambacho taswira yako ipo gado, ndio kipindi cha kulikata shauri lako.../
Kutambua nafasi na thamani ya sauti yako, kutambua dhamana mwanzoni kabla ya mauti yako.../
Dhamana yako ni zaidi ya kula na kupiga pamba kali, kununua chupa na bupa ukizilaza chali.../
Jina kubwa likikufumba ushindwe kutafakari, utakufa maskini ukizubaa kuzichanga mali.../
Usije sahau maisha yako halisi, yanayolingana na kipato chako thabiti.../
Usije kufa kipindi ambacho michango haikidhi, haitoshi hata nyumba ya mama yako kibiti.../