Sina utani na sijawahi kuwa na utani na wewe
Jibu hilo unastahili
Okay.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina utani na sijawahi kuwa na utani na wewe
Jibu hilo unastahili
Yameisha mkuu
Ajibu swali tu, unamuomba msamaha wa nn.
Numbisa tuambie kwann sadala hawezi kuchukua.
Upo mstaraarabu sana jambo dg tu ilo ucjali mtotoHumu tunaingia tukiwa na moods tofauti na mitazamo tofauti pia.
Nimemwelewa.
Najua hauna ila ni vyema ungenipa jibuShosti naona unawashwa washwa pole sina kikunio
Ni kweli tajiri numbisa, ila ingekuwa vyema unipe majibu ya swali langumaskini naona unalilia kujua bwana ako atakavyoshindwa pole sadala hapiti
Ni kweli tajiri numbisa, ila ingekuwa vyema unipe majibu ya swali langu
Why sadala atashindwa...?
Sawa tajili, sadala ni wa lokoleMaskini pole sana ila sadala ni wa lokole
Sawa tajili, sadala ni wa lokole
Ila vp kuhusu sadala kuchukua Tuzo ya BET, n kwann atashindwa...?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeshindwa kuvumilia kwa kweli, lolMaskini pole sana ila sadala ni wa lokole
Majibu yako mbona hayakamilikiPole endelea kulia tu shosti
Akichukua itakuwa vyema zaidi pía asipochukua bado inamuweka ktk ramani na soko kubwa kimuziki, pía kuiweka nchi yetu na wasanii wengne waTz ktk kuchomoza kimataifaDomokaya hawezi kuchukua hii tuzo, labda dunia igeuke anga chini, ardhi juu.
Pia ni mmoja kati ya wasanii watatu kutoka Africa walioingia katika nominiz.Akichukua itakuwa vyema zaidi pía asipochukua bado inamuweka ktk ramani na soko kubwa kimuziki, pía kuiweka nchi yetu na wasanii wengne waTz ktk kuchomoza kimataifa
Tukumbuke tu kuwa ktk tuzo hizi ni yeye pekee aliechomoza ktk ukanda wa Afrika Mashariki na kati
Hvyo anakuwa ni icon kutoka Tz na ktk ukanda huu wa EA
Mbna mnajifariji sana nyie chawa wa domokaya? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akichukua itakuwa vyema zaidi pía asipochukua bado inamuweka ktk ramani na soko kubwa kimuziki, pía kuiweka nchi yetu na wasanii wengne waTz ktk kuchomoza kimataifa
Tukumbuke tu kuwa ktk tuzo hizi ni yeye pekee aliechomoza ktk ukanda wa Afrika Mashariki na kati
Hvyo anakuwa ni icon kutoka Tz na ktk ukanda huu wa EA