BET Awards 2021 Los Angeles Marekani, Diamond aangukia Pua

BET Awards 2021 Los Angeles Marekani, Diamond aangukia Pua

Kutoka jijini LA Marekani tunawaletea matangazo ya moja kwa moja kwenye utoaji wa tuzo za BET 2021, mAstaa kibao wametua jijini hapa tayari kwa hafla hii kubwa duniani,ambapo macho na maskio ya watanzania na waafrika kwa ujumla yapo kwenye kipengele kigumu kinachowakutanisha miamba ya Afrika Diamond ni Sadala mzee wa Uber,WizKid na Burna Boy.

Stay tuned!!
Mkuu mbona hutumi updates?
 
Watu wanasahau au ni kweli hawajui?

Wanasema Diamond kuingia tu pale ni mafanikio.

Hivi wanajua kama Diamond kashawahi shiriki BET category hii hii? Na wimbo alioupeleka ulikua Kesho?

Nakumbuka alishinda Davido, ambapo baada ya pale akaenda Nigeria akahudhuria harusi ya P Square akiwa na suruali ya mistari ya rangi nyeusi na nyeupe. Watu wakasema hakua na kadi alitumia kadi ya Davido iliyoandikwa Mr & Mrs.

Kama unakumbuka kuna kipindi zilitoka jeans za mistari nyeusi na nyeupe au bluu na nyeupe hizo jeans zilikua influenced na yeye alivyovaa hiyo siku.

So alishahudhuria yeye mwenyewe anaelewa anachohitaji ni ushindi na siyo kuishia kwenye nomination.
 
Ni masaa 23 sasa tangu muanze kututangazia hitimisho la hizo tuzo na bado hatuoni matokeo Nani kashinda Nani kapigwa. Tafadhali tujulisheni nini ni nini twende Kanisani.
 
Watu wanasahau au ni kweli hawajui?

Wanasema Diamond kuingia tu pale ni mafanikio.

Hivi wanajua kama Diamond kashawahi shiriki BET category hii hii? Na wimbo alioupeleka ulikua Kesho?

Nakumbuka alishinda Davido, ambapo baada ya pale akaenda Nigeria akahudhuria harusi ya P Square akiwa na suruali ya mistari ya rangi nyeusi na nyeupe. Watu wakasema hakua na kadi alitumia kadi ya Davido iliyoandikwa Mr & Mrs.

Kama unakumbuka kuna kipindi zilitoka jeans za mistari nyeusi na nyeupe au bluu na nyeupe hizo jeans zilikua influenced na yeye alivyovaa hiyo siku.

So alishahudhuria yeye mwenyewe anaelewa anachohitaji ni ushindi na siyo kuishia kwenye nomination.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwenye card ya Davido kwenye harusi, yeye domokaya alihudhuria km Mrs? Mweeeeeeh
 
Watu wanasahau au ni kweli hawajui?

Wanasema Diamond kuingia tu pale ni mafanikio.

Hivi wanajua kama Diamond kashawahi shiriki BET category hii hii? Na wimbo alioupeleka ulikua Kesho?

Nakumbuka alishinda Davido, ambapo baada ya pale akaenda Nigeria akahudhuria harusi ya P Square akiwa na suruali ya mistari ya rangi nyeusi na nyeupe. Watu wakasema hakua na kadi alitumia kadi ya Davido iliyoandikwa Mr & Mrs.

Kama unakumbuka kuna kipindi zilitoka jeans za mistari nyeusi na nyeupe au bluu na nyeupe hizo jeans zilikua influenced na yeye alivyovaa hiyo siku.

So alishahudhuria yeye mwenyewe anaelewa anachohitaji ni ushindi na siyo kuishia kwenye nomina
2 Times Nominees ni More Markatable kuliko 1 time Nominee imgawa 3 Times Nominee ni bora zaidi
 
Domokaya hawezi kuchukua hii tuzo, labda dunia igeuke anga chini, ardhi juu.
Wenzako hawaangalii tu kushinda but impact yw kua nominated ni kubwa zaidi katika maendeleo ya mziki wake, dogo kaitumua vyema hii fursa.
Screenshot_2021-06-27-15-55-35-1.png
 
Back
Top Bottom