BET wamposti Diamond Platnumz Instagram

BET wamposti Diamond Platnumz Instagram

Wanaomuwekea kauzibe domo kisa aliipigia kampeni kijani, wamechemka sana. Kila mtu ana haki ya kikatiba ya kushabikia na kujiunga na chama chochote cha siasa. Na yeye alitumia haki yake ya msingi. Na kigezo cha kutetea udhalimu, mnamuonea tu. Kipindi cha mwendazake kila mtu alifyata mkia.

Kwahiyo mfano Roma anayeikosoa serikali mara kwa mara angepata nafasi hii, mngegomea kura kutoka kwa watu wa ccm?! Mimi simkubali domo, ila Chadema kushabikia huu upuuzi wamejishusha sana. Kuna mambo mengi ya msingi ya kitaifa ya kupigania, sio huu ujinga.
 
Kamwe usiwaamini watu hawa
1. wanasiasa
2. wasanii
3. mala.ya
hawa wote lao moja kukugeuka ni dk sifuri
 
Dimond ni mkubwa kelele za hawa funza zinaishia hewani tu,Dimond ni kama maji usipoyaoga utayanywa.
 
Taarifa za chinichini ni kwamba hicho mnachokiita sijui petition ikiwataka BET Award kumtupa nje D haina mashiko kutokana na utaratibu wao haifungamani.

Soon watu wanakwenda kuhaibika!.
Kuhaibika
 
Angalia jinsi ulivyo MPUUZI nani alikudanganya humu kuna mistari? Tangu lini? Ulivyo MPUMBAVU eti hukubaliani na huyo domo lakini umeamua kuwa kimya lakini wakati huo huo wale wanaotaka kutumia haki yao kupiga kura watakavyo wewe usiyetaka kuingilia haki ya domo unataka kuingia haki yao!!!
Ni Wapumbavu kama wewe ndiyo wanaoifanya hii Nchi ibaki nyuma kwenye kila sekta muhimu. Kajisemea CAG Assad you are suffering from Acquired Stupidity disease.
Speaking with both sides of your mouth, protecting domo’s freedom to do what he likes to do but at the same time you don’t want to provide the same freedom to those who want to vote against domo.
Unarudia kutoka nje ya mstari either kwa makusudi au ujinga uliokuzidi kichwa. Mimi nayaheshimu mawazo yake nawasema ninyi kwa unafiki wenu kuhusu sababu za kwa nini aondolewe. Mnahubiri uhuru lakini hamtaki uhuru huo watu wenye mawazo na mitazamo tofauti na ninyi waufurahie. Ungekuwa undumi la kuwili kama ningekwambia usimpe kura msanii unaemtaka alafu me simtaki.
 
Sababu ziko relevant kabisa kwamba kaunga mkono utawala dhalimu ambao umehusika na maovu mbali mbali ikiwemo bomoa bomoa, kubambikia watu kesi, kuteka watu, kupora Watanzania mabilioni yao kibabe au kwa kesi za kubambikia na kuwaua. Kitu gani usichoelewa kuhusu udhalimu wa dhalimu magufuli na huyo domo kuukumbatia udhalimu huo kwa namna mbali mbali ikiwemo kuwapigia debe na kukaa kimya kuhusu maovu yao!
Kichwa chako cha panzi peleka kwingine siyo humu eti hukubaliani na domo kwa sababu ni haki yake hivyo hutamnyooshea kidole lakini wakati huo huo UNATESEKA kuona wengine wakitumia haki yao. 😳😳😳
Unarudia kutoka nje ya mstari either kwa makusudi au ujinga uliokuzidi kichwa. Mimi nayaheshimu mawazo yake nawasema ninyi kwa unafiki wenu kuhusu sababu za kwa nini aondolewe. Mnahubiri uhuru lakini hamtaki uhuru huo watu wenye mawazo na mitazamo tofauti na ninyi waufurahie. Ungekuwa undumi la kuwili kama ningekwambia usimpe kura msanii unaemtaka alafu me simtaki.
 
Ni vizuri kuheshimu maoni na hisia za watu hata kama zinapingana na za kwako, kwa kuwa wewe upo upande wa diamond, haimaanishi kwamba kila mtu atakua upande huo, kama diamond ni mkamilifu na ana qualifications zote za kushinda hiyo award, mimi naamini atashinda hata kama wanaharakati wanampinga, kuweni tu watulivu hakuna haja ya kuwaita wenzenu mazezeta, ndio maana halisi ya demokrasia, kila mmoja ana haki ya kuchagua upande anaoutaka, diamond alikua upande wa ccm wakati wa kampeni, kuna mpinzania alimzuia? Jibu ni hakuna kwa sababu tunaamini kila mtu ana haki ya kuchagua upande anaoupenda

Wafuasi wa diamond wamepanic sijajua kwa nini ila mimi nadhani ingekua vizuri kama mngeonyesha confidence kwa msanii wenu, msitetereshwe na yanayoendelea mtandaoni maana BET wenyewe wana vigezo vyao ambavyo wanavizingatia, kama amekidhi vigezo basi kombe la kwake
Una maana Haki ya Uhuru wa Mawazo au Demokrasia?

Demokrasia ni mfumo wa utawala kupitia wawakilishi waliochaguliwa.

Kama ni Haki ya Uhuru wa Mawazo una mipaka yake. Wanachokifanya genge linalohamasishana huyo mwanamziki aondolewe wanaingilia Haki yake ya Kufanya Kazi.
 
Angalia jinsi ulivyo MPUUZI nani alikudanganya humu kuna mistari? Tangu lini? Ulivyo MPUMBAVU eti hukubaliani na huyo domo lakini umeamua kuwa kimya lakini wakati huo huo wale wanaotaka kutumia haki yao kupiga kura watakavyo wewe usiyetaka kuingilia haki ya domo unataka kuingia haki yao!!!
Ni Wapumbavu kama wewe ndiyo wanaoifanya hii Nchi ibaki nyuma kwenye kila sekta muhimu. Kajisemea CAG Assad you are suffering from Acquired Stupidity disease.
Speaking with both sides of your mouth, protecting domo’s freedom to do what he likes to do but at the same time you don’t want to provide the same freedom to those who want to vote against domo.
Unarudia kitu kile kile ambacho nimeshakujibu.
 
Sababu ziko relevant kabisa kwamba kaunga mkono utawala dhalimu ambao umehusika na maovu mbali mbali ikiwemo bomoa bomoa, kubambikia watu kesi, kuteka watu, kupora Watanzania mabilioni yao kibabe au kwa kesi za kubambikia na kuwaua. Kitu gani usichoelewa kuhusu udhalimu wa dhalimu magufuli na huyo domo kuukumbatia udhalimu huo kwa namna mbali mbali ikiwemo kuwapigia debe na kukaa kimya kuhusu maovu yao!
Kichwa chako cha panzi peleka kwingine siyo humu eti hukubaliani na domo kwa sababu ni haki yake hivyo hutamnyooshea kidole lakini wakati huo huo UNATESEKA kuona wengine wakitumia haki yao. 😳😳😳
Marudio.
 
Nimesema una kichwa cha panzi huwezi kuelewa nilichoandika.
Nimekuelewa ila hakuna utofauti na ulichoandika mara ya kwanza na majibu niliyokupa. Njoo na hoja mpya hii hoja ya uhuru wa kutoa maoni na haki kuunga mkono chama chochote cha siasa imekuzidi ndomaana unafanya marudio. Hii ni mara ya 4 unacomment kitu kile kile. Kaangalie Kigogo ana hoja gani mpya kuhusu hili mada uje nayo
 
Acha ujinga wewe! Hilo la domo kuguswa na maovu dhidi ya Wanigeria hulioni lakini wakati huo huo unakunaliana ba haki ya domo ila haki ya wanaotaka kupiga kura kwa mwanamuziki ambaye si MTANZANIA unaipinga!!! Tuondolee UNAFIKI wako hapa!!! Wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa sana Nchini.



Nimekuelewa ila hakuna utofauti na ulichoandika mara ya kwanza na majibu niliyokupa. Njoo na hoja mpya hii hoja ya uhuru wa kutoa maoni na haki kuunga mkono chama chochote cha siasa imekuzidi ndomaana unafanya marudio. Hii ni mara ya 4 unacomment kitu kile kile. Kaangalie Kigogo ana hoja gani mpya kuhusu hili mada uje nayo
 
Back
Top Bottom