Lazima amseme mtu aliyeharibu,kusema aliyeharibu haimaanishi kwamba hasemi anachokwenda kufanya.Nilitaka asimseme mtu aseme anachoenda kufanya.
Nadhani hapa tungeweka nadhani Azam wanafuta post za kuhusu Lissu kwasababu ya Magufuli tusingekuwa biased.
Otherwise mnisamehe kwa kusema hivyo kama Azam wenyewe wameshatoa taarifa ya kwanini wamefuta post.
Wewe mjinga huoni anachoongea Magufuli mdomoni mwake? Mbona hakatiwi matangazo? Magufuli ni dikteta mbaya na wasaidizi wake wanafanya kumfurahisha period! Acha kutoa hoja za kijinga humu! Magufuli anafanya nchi yetu inadharaulika sana!Nilitaka asimseme mtu aseme anachoenda kufanya.
Nadhani hapa tungeweka nadhani Azam wanafuta post za kuhusu Lissu kwasababu ya Magufuli tusingekuwa biased.
Otherwise mnisamehe kwa kusema hivyo kama Azam wenyewe wameshatoa taarifa ya kwanini wamefuta post.
Sivyo, nataka uelewe nini maana ya siasa.Kwasababu hatufanani mitazamo?
Ndivyo unavyojidanganya siyo?Hawana pesa, hizi media ukilipa pesa wanakurusha bila chenga, kama hamna pesa wataamua wao warushe namna gani
Wale wa ajira ya siku, maana bodaboda wamepata 5000 zaoWatu walikuwepo wengi tu. Tumeona vipande vipande vya video.
Acheni ujinga banaa! Rais si anajina?Pia CHAUMA, ACT , DEMOKRASIA MAKINI na CUF wasisahau ushauri huu.
Ila siasa za kuanza kutaja mtu au watu mwanzo mwisho sio nzuri. Uza sera unaenda kutufanyia nini. Au wewe shida yako kujifanya unajua kuyafanya vizuri anayoyafanya unaemtaja?
Yapo mengi ya kusema kwenye kampeni zaidi ya kuanza kutukana na kuwataja watu.
Wewe mjinga huoni anachoongea Magufuli mdomoni mwake? Mbona hakatiwi matangazo? Magufuli ni dikteta mbaya na wasaidizi wake wanafanya kumfurahisha period! Acha kutoa hoja za kijinga humu! Magufuli anafanya nchi yetu inadharaulika sana!
Mkono mtupu...Waliwaalika kama tu ambavyo wanavyoalikwa na CCM.
Vipi ulifika dodoma salama, kila la heri safari ya kurudiNdivyo unavyojidanganya siyo?
Tulieni dawa iwaingie, mbona hapa JF tunapoweka habari za Tanzania kuhusu hatua nzuri iliyofikia kimaendeleo huwa haraka sana mnaziondoa/kubadilisha mawazo ya aliyeweka nk?Kusema ukweli tokea Lissu arudi,anzia mkutano wa kamati kuu na mkutano mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.
Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.
Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.
Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.
Chadema anzisheni YouTube channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.
Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Ndiyo maana nasema akili zako ni zero! Endelea kuona wakimsifia. Besides, huyo anayemaifia kama siyo mlamba viatu basi anaogopa udikteta wake!Naona mnatoka nje ya mada mnaanza kujadili ujinga wangu.
Kwani mimi hata nimemtaja anayetaja watu au mmejipa majibu wenyewe.
Wewe ndiyo unaona nchi inadharaulika...binafsi sijaona hivyo zaidi ya kuona wakimsifia saana.
Jasho alilotoa mpaka kufikia hapo alipofikia unalijua? Tuache tabia kupangia watu maamuzi yakufanya wakati madhara yake hatuwasaidii kuyabeba.Huyu millard ayo atafute nchi ya kwenda kuanzia November mwaka huu maana huyu mtoto kazidi. Havumiliki tena
Hawana pesa, hizi media ukilipa pesa wanakurusha bila chenga, kama hamna pesa wataamua wao warushe namna gani
Unajielewa kweli wewe? Unajua maana ya chombo cha habari au unaharisha tu hapa? Millard siyo mtumishi wa ccm anapaswa kuwa mwandishi huru asiyependelea upande.Jasho alilotoa mpaka kufikia hapo alipofikia unalijua? Tuache tabia kupangia watu maamuzi yakufanya wakati madhara yake hatuwasaidii kuyabeba.
Kama vipi anzisha chano yako ufanye utakavyo tuone.
Pia CHAUMA, ACT , DEMOKRASIA MAKINI na CUF wasisahau ushauri huu.
Ila siasa za kuanza kutaja mtu au watu mwanzo mwisho sio nzuri. Uza sera unaenda kutufanyia nini. Au wewe shida yako kujifanya unajua kuyafanya vizuri anayoyafanya unaemtaja?
Yapo mengi ya kusema kwenye kampeni zaidi ya kuanza kutukana na kuwataja watu.
Sasa soma hapo juu nilichokiandika kisha niambie between you and me who suppose to go back to MMU.Sivyo, nataka uelewe nini maana ya siasa.
Hata mgombea wenu anapenda kutajataja upande wa pili sana hadi kututukana! Kama ni mtazamo basi unatakiwa utazame vizuri sio utazame kimakengeza
Tafuteni na nyie zitakazojipeleka kwenu..hizi media zinajipeleka zenyewe kwa ccm.