Ila Hassan Abbas atalipia huu ushenzi anaofanya. Lazima tuseme naye! Na ili heshima iwepo tutaanza naye na kumbuka kuwa tumeshajiapiza kufa na kila muhuni!
Ipo CHADEMA media TV
Wewe nenda kwenye jukwaa la mapenzi mkuu
Hayo magari hata mimi naona hayakufaa.Plus hizo media zinaweza kuiniza pesa kwenye matangazo ya biashara baada ya kampeni, zinakuwa chanzo cha mapato kwa ajili ya kampeni zijazo na kukuza chama.
Gari zile hazizalishi kihivyo baada ya kampeni ila zitakuwa zinakula pesa za ukarabati tu huku zikiendelea kuchakaa.
Walitakiwa wanunue gari kiasi na pesa nyingine iende kwenye bajeti ya media huko kwenye PR.
Wanaweza kumuomba mtu anayeishi nje ya nchi kufungua youtube channel. Kisha watu wakawa wanashare link na video. Eg labda iite kampeni 2020. Wakitaka kuruka live huyo mtu aliye nje anaweza kuwapa credentials, au rtmp key, au stream key au restream account wakatumia kiulainiiiiii tu maana sheria haijazungumzia jinsi ya kuzuia youtube channel toka nje ya nchi. Pia sheria haijazungumza lolote juu ya rtmp.
Baada ya watu kukosekana Dodoma pamoja na kuhamasishana nchi nzima kwenda Dom, sasa lawama ni kwa vyombo vya habari
Na ndiyo maana sikumtaja mtu mkuu najua hili linafanyika kwa vyama vyote.
Mwisho wa siku hakuna hoja zinazojengwa kwenye kampeni zaidi ya kuzigeuza kuwa viwanja vya mipasho.
Ni vigumu kutomsema mpinzani wako ila inapokuwa hotuba nzima umeitumia kwa personal attacks matatizo yetu wananchi hayatajadiliwa kamwe.
Tcra hawana uwezo wa kufungia channel yoyote youtube iliyo nje ya nchi. Labda kublock youtube nzimanzima kama china au kuzima internet.TCRA wanao uwezo wa kuifunga na isionekane nchini!
Wazee wenye busara wa kusema walau ishia hapo hawapo tena vyamani...but ccm this time wamewekeza ktk kumkashifu TL.
..mimi nadhani kampeni hizi ccm watatukana kuliko chama chochote, na kampeni zozote zilizowahi kutokea hapa Tz.
Haitoharibika kamweeHapo ndio kura yako itakapoharibika.
[emoji1534][emoji1534][emoji1534]$20 IMO mkononiKusema ukweli tokea Lissu arudi, anzia Mkutano wa Kamati Kuu na Mkutano Mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.
Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.
Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.
Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.
CHADEMA anzisheni YouTube Channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.
Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Kuna mgombea yeyote yule anayetabirika kuhusu kila neno atakalolisema?! Mtaje!Hata chombo cha umma kina taratibu na sheria zinazokiendesha,
Mfano bunge si la chama chochote ukiongea maneno yasiyokubaliana na sheria za huko unaambiwa toa hilo neno.
Kwa sababu lissu hatabiriki ataongea nini, ukiweka live utarrusha mambo mengine sio, so wanaona bora kumrecord kisha wataedit.
Mbona hatuna access nayo?Ipo CHADEMA media TV
Walioweza mataifa mengine walifanyia kazi tume huru, tume isiyofungamana na serikali. Leo hii Magu(raisi wa nchi) anateua kila kitu ndani ya nchi, kila mtu anapitia kwake. Kwa moto uliokuwepo 2015 usingetegemea CCM kushinda, naamini hawakushinda. Lakini vote rigging made them winners. Sasa bisha then October 28th utanikubalia tu...Kuna uchaguzi mbona ukiiba hadi unaona aibu.Yaani unashindwa vibaya mno mpaka kuiba hauwezi. Au wahesabu live kama walivyofanya kura za maoni CCM.
Ila jamani ni kwa nn chadema hawaanzishi media yao? Kuna nn, ina maana hili suala siyo kipaumbele chao? Miaka nenda miaka rudi wananyanyaswa wapo tu. Any way kwao ni sawa tu,Sasa wasilalamike .Kusema ukweli tokea Lissu arudi, anzia Mkutano wa Kamati Kuu na Mkutano Mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.
Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.
Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.
Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.
CHADEMA anzisheni YouTube Channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.
Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Lema hana shida na mtu! Inaonekana siasa huzifuatilii.Wazee wenye busara wa kusema walau ishia hapo hawapo tena vyamani.
Afadhali Mbowe ana busara. Huku Polepole kule Lema....vurugu tupu.
Nafuatilia mkuu...Lema hana shida na mtu! Inaonekana siasa huzifuatilii.
Kwani si kaongea Lissu ?Kama kukamatwa si atakamatwa Lissu ?Au na wanaorusha hayo yaliyosemwa ni wana makosa pia ?Hata chombo cha umma kina taratibu na sheria zinazokiendesha,
Mfano bunge si la chama chochote ukiongea maneno yasiyokubaliana na sheria za huko unaambiwa toa hilo neno.
Kwa sababu lissu hatabiriki ataongea nini, ukiweka live utarrusha mambo mengine sio, so wanaona bora kumrecord kisha wataedit.
Baada ya watu kukosekana Dodoma pamoja na kuhamasishana nchi nzima kwenda Dom, sasa lawama ni kwa vyombo vya habari