Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila juve ni mjinga sana,huu msimu sitambetia tenaUmenikumbusha mbali sana enzi izo ni mkamaria mpuuzi sana, nilipata somo kubwa sana kwenye kamari saiv nacheza kamari for fun na dau langu halizidi 10k
Izi screenshots ni kabla sijahama Sportpesa, huko kuna siku nilipigwa 500k asubuhi jioni nikastake tena 500k ili nikomboe hasara pia nikalose nikaamua kufuta akaunti for good mambo yasiwe mengi.
Kama huwezi kuacha kamari kama mimi you better bet for fun
Hata mim sijawah kwa full time,ila half time kuna kipindi nilikuwa najaribuSijawahi kuweka option ya draw tangu nimeanza kazi ya uafisa ubashiri,miaka 10 sasa
Hata mim sijawah kwa full time,ila half time kuna kipindi nilikuwa najaribuSijawahi kuweka option ya draw tangu nimeanza kazi ya uafisa ubashiri,miaka 10 sasa
Huyo sio mzima yaani hiyo pesa yake akitulia mpaka mwisho wa ligi mwezi wa 6 anazaidi ya 20m anaweka m1 halafu option drawSijui jamaa kabetije apo , sa unawekaje draw full time au aliambiwa ni fixed🤔 duh kaliwa kizembe sana ata hashtuki mechi Ina odds mpka 5 , àlijua kanji ni mjinga hvo kuweka odds 5 single match , dah nawaza sijui ilikuaje ila nahisi asilimia kubwa aliuziwa mkeka akaambiwa ni fixed . Yani mm nkiweka laki niweke odds 2 tu nizalishe laki nyengine ,huwa nasumbuka kusaka odds mpka basi Yani naeka option yny probability kubwa sana over 0.5 au 1.5 na Bado pagumu
Ni kweli uwa ninasema lolote liwe bet ukiamua kubali matokeo tena nafasi ya kushindwa ni 90%Wewe ni mkomavu ktk suala nzima la KAMARI, na co vibaya nikimalizia kwa kusema: ww ni mfano nzuri wa kuigwa kwa wanaopenda na wasiopenda kucheza KAMARI.
Ndo maishaPole sana mkuu
Mimi ni mzima kabisa maana sijafa bado 😂Huyo sio mzima yaani hiyo pesa yake akitulia mpaka mwisho wa ligi mwezi wa 6 anazaidi ya 20m anaweka m1 halafu option draw
Mzee hapana stori ni ndefu sana ila kuhusu Fixed sio kweliKuna ulichokificha nyuma ya huo mkeka wako, au uliambiwa ni fiksidi mechizi weka hela yote uliyo nayo Kwa bank? 😂😂