Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka unayosema ni kweli 🤣🤣🤣🤣😍asante kwa kunirekebisha apo kwa man city umeongeaHakuna cha skills wala strategic, makampuni tuu ya kupredict ambao wanafanya critical analyize ya match hisika wanakula za uso…
Huwez kuweka strategic cjui skill kwny match ambayo ww huchezi, wala sio coach… tena kwny current situation ambayo condition ya uwanja, utimamu wa wachezaji na mipango ya bench la ufundi huijui…
Ww n mbahatishaji km wabahatishaji wengine…
Leo city kafa, arsenal kafa, na yanga kafa pia… hapo unachomokaje labda mr betting
Ushahidi wa kuliwa umeweka,, Ushahidi wa kula million 6 kwa siku mbili hujaweka…Wakati fulani miaka kadhaa iliyopita, niliweka dau langu kubwa zaidi kwenye betting 1,000,000 TZS kwenye option ya draw kwenye mechi tatu tofauti.
Nilijiamini sana kwamba hii ilikuwa tiketi yangu ya ushindi mkubwa. Mechi mbili zilitoka tofauti kabisa na nilivyotarajia, na ndani ya dakika chache, mkeka wangu wote ulikuwa umetoweka. Hilo lilikuwa pigo kubwa si kwa sababu tu ya kupoteza pesa nyingi, bali pia kwa sababu ya hisia za kutokuwa na uwezo wa kudhibiti matokeo.View attachment 3123834
Lakini unajua nini? Nilijifunza kitu kikubwa siku hiyo.
Potevu la pesa halikuwa mwisho wa safari yangu. Hakuna aliyeanza kufanikiwa kwenye betting bila kupitia changamoto kama hizi. Hii ni sehemu ya mchezo, na jambo muhimu ni jinsi unavyojifunza kutokana na kila dau – la kushinda na la kupoteza.
Baada ya tukio hilo, nilijifunza kuwa NIDHAMU ni kila kitu. Nilianza kubeti kwa mipango, kutumia pesa ambazo nimezipanga kwa ajili ya burudani, na si kwa shinikizo. Pia, niliweka malengo ya muda mrefu na kuepuka kurudia makosa yale yale.
Wengi wetu tunapitia hali kama hizi lakini kama wewe unavyofahamu, hatujifunzi kwa kushinda pekee. Tunakua kwa kushindwa. Kila tiketi inayochanika inatufundisha jambo jipya.
🔑 Somo: Betting siyo njia ya kupata pesa haraka inahitaji uelewa, mipango, na nidhamu. Ukiweka bidii na ukajifunza kutokana na makosa yako, utapata mafanikio ya muda mrefu.
Soma Pia: Betting ni mchezo unaoweza kukuletea umasikini hata kukuua!
Kwa hiyo, ushindi na hasara ni sehemu ya safari yetu. Jifunze kutokana na kila hatua, na hakikisha unakuwa na mtazamo wa muda mrefu. Hata wakati unaposhindwa, bado unakuwa mshindi kama unajifunza kitu kipya.
Je, wewe una stori yako ya kupoteza au kushinda? Hebu tushirikishe hapa!
Updates Nimesoma comment nyingi zinadai kuwa yawezekana niliuziwa Mechi na wale jamaa wa Fixed,naomba niwajibu hapa sijawai kufanya huo upuuzi iko hivi nimeanza kubet miaka sio mengi wakati wa kombe la dunia linacheza kitu ambacho kilinifanya niweke Milioni tayari nilikuwa nimeshakula zaidi ya Milioni 6 kwa siku 2 tu tena kwa option ya draw kipindi hicho kampuni ya Gwala Bet inaanza wenzangu na mimi nadhani mnakumbuka Gwala Bet ilikuwa inatoa 500 Free bet kila siku.
Nikaona hawa wazee wana kiasi kidogo cha ushindi 20M max,acha niende betpawa nikazipige hela sio kwamba nilikurupuka hapana kawaida uwa nina strategy zangu kwenye draw haikuwa bahati ila baada ya muda si mrefu niliirudisha kwa option ya draw pia.
Hadi mtaa wakaniita Mturutumbi maana ili sio jina langu harisi ila niwambie tu bet sio nzuri maana kuna muda mambo yanagoma kabisa
Alafu utasikia kunatangazo Lao kwny redio mdada kala million 50 aviator…..Leo nimepigwa fimbo hadi nikakimbilia huku nako ni fimbo tu
Sio kila kampuni niyakucheza aviator , Kuna kampuni rahisi watu wanapiga Sana Mimi nishahidiAlafu utasikia kunatangazo Lao kwny redio mdada kala million 50 aviator…..
Ukiuliza ushahidi ukwapi? wanakimbia kimbia tuu, kudadadeki…
Shahidi wa kupiga huo mpunga kushugudia wengine wakishinda?Sio kila kampuni niyakucheza aviator , Kuna kampuni rahisi watu wanapiga Sana Mimi nishahidi
Watu wanakula ila usijaribu aviator ya betpawa mimi kule nimeamua kua nacheza jackpot tu ya shilingi mia nikipata haya leo kanifuta machozi 75k kwa 100 pesa nzuri sanaAlafu utasikia kunatangazo Lao kwny redio mdada kala million 50 aviator…..
Ukiuliza ushahidi ukwapi? wanakimbia kimbia tuu, kudadadeki…
"Weka hela hapa, kindege kitapaa weee halafu utapata pesa nyingi" Halafu kweli mtu anaweka.Alafu utasikia kunatangazo Lao kwny redio mdada kala million 50 aviator…..
Ukiuliza ushahidi ukwapi? wanakimbia kimbia tuu, kudadadeki…
Yan n bora ubashiri match cz matokeo unajionea mwenyewe,"Weka hela hapa, kindege kitapaa weee halafu utapata pesa nyingi" Halafu kweli mtu anaweka.
kampun gan hizo tuhamie??Sio kila kampuni niyakucheza aviator , Kuna kampuni rahisi watu wanapiga Sana Mimi nishahidi
Pole sna mkuu. Lakini inaonekana bado wewe ni mchanga sana kwenye betting. Ukishinda mkeka huwa unajiona unajua sana wakati ushindi kwenye betting ni bahati zaidi kwani hata Yanga ambao unaweza kuwaamini na kuwatilia dau la 10M nao pia hufungwa na timu ndogo kabisa. Hata juzi Man City katoka kupigwa na timu ndogo.Wakati fulani miaka kadhaa iliyopita, niliweka dau langu kubwa zaidi kwenye betting 1,000,000 TZS kwenye option ya draw kwenye mechi tatu tofauti.
Nilijiamini sana kwamba hii ilikuwa tiketi yangu ya ushindi mkubwa. Mechi mbili zilitoka tofauti kabisa na nilivyotarajia, na ndani ya dakika chache, mkeka wangu wote ulikuwa umetoweka. Hilo lilikuwa pigo kubwa si kwa sababu tu ya kupoteza pesa nyingi, bali pia kwa sababu ya hisia za kutokuwa na uwezo wa kudhibiti matokeo.View attachment 3123834
Lakini unajua nini? Nilijifunza kitu kikubwa siku hiyo.
Potevu la pesa halikuwa mwisho wa safari yangu. Hakuna aliyeanza kufanikiwa kwenye betting bila kupitia changamoto kama hizi. Hii ni sehemu ya mchezo, na jambo muhimu ni jinsi unavyojifunza kutokana na kila dau – la kushinda na la kupoteza.
Baada ya tukio hilo, nilijifunza kuwa NIDHAMU ni kila kitu. Nilianza kubeti kwa mipango, kutumia pesa ambazo nimezipanga kwa ajili ya burudani, na si kwa shinikizo. Pia, niliweka malengo ya muda mrefu na kuepuka kurudia makosa yale yale.
Wengi wetu tunapitia hali kama hizi lakini kama wewe unavyofahamu, hatujifunzi kwa kushinda pekee. Tunakua kwa kushindwa. Kila tiketi inayochanika inatufundisha jambo jipya.
🔑 Somo: Betting siyo njia ya kupata pesa haraka inahitaji uelewa, mipango, na nidhamu. Ukiweka bidii na ukajifunza kutokana na makosa yako, utapata mafanikio ya muda mrefu.
Soma Pia: Betting ni mchezo unaoweza kukuletea umasikini hata kukuua!
Kwa hiyo, ushindi na hasara ni sehemu ya safari yetu. Jifunze kutokana na kila hatua, na hakikisha unakuwa na mtazamo wa muda mrefu. Hata wakati unaposhindwa, bado unakuwa mshindi kama unajifunza kitu kipya.
Je, wewe una stori yako ya kupoteza au kushinda? Hebu tushirikishe hapa!
Updates Nimesoma comment nyingi zinadai kuwa yawezekana niliuziwa Mechi na wale jamaa wa Fixed,naomba niwajibu hapa sijawai kufanya huo upuuzi iko hivi nimeanza kubet miaka sio mengi wakati wa kombe la dunia linacheza kitu ambacho kilinifanya niweke Milioni tayari nilikuwa nimeshakula zaidi ya Milioni 6 kwa siku 2 tu tena kwa option ya draw kipindi hicho kampuni ya Gwala Bet inaanza wenzangu na mimi nadhani mnakumbuka Gwala Bet ilikuwa inatoa 500 Free bet kila siku.
Nikaona hawa wazee wana kiasi kidogo cha ushindi 20M max,acha niende betpawa nikazipige hela sio kwamba nilikurupuka hapana kawaida uwa nina strategy zangu kwenye draw haikuwa bahati ila baada ya muda si mrefu niliirudisha kwa option ya draw pia.
Hadi mtaa wakaniita Mturutumbi maana ili sio jina langu harisi ila niwambie tu bet sio nzuri maana kuna muda mambo yanagoma kabisa
Safi sana.Je umeacha kubet au bado unaendelea.Wakati fulani miaka kadhaa iliyopita, niliweka dau langu kubwa zaidi kwenye betting 1,000,000 TZS kwenye option ya draw kwenye mechi tatu tofauti.
Nilijiamini sana kwamba hii ilikuwa tiketi yangu ya ushindi mkubwa. Mechi mbili zilitoka tofauti kabisa na nilivyotarajia, na ndani ya dakika chache, mkeka wangu wote ulikuwa umetoweka. Hilo lilikuwa pigo kubwa si kwa sababu tu ya kupoteza pesa nyingi, bali pia kwa sababu ya hisia za kutokuwa na uwezo wa kudhibiti matokeo.View attachment 3123834
Lakini unajua nini? Nilijifunza kitu kikubwa siku hiyo.
Potevu la pesa halikuwa mwisho wa safari yangu. Hakuna aliyeanza kufanikiwa kwenye betting bila kupitia changamoto kama hizi. Hii ni sehemu ya mchezo, na jambo muhimu ni jinsi unavyojifunza kutokana na kila dau – la kushinda na la kupoteza.
Baada ya tukio hilo, nilijifunza kuwa NIDHAMU ni kila kitu. Nilianza kubeti kwa mipango, kutumia pesa ambazo nimezipanga kwa ajili ya burudani, na si kwa shinikizo. Pia, niliweka malengo ya muda mrefu na kuepuka kurudia makosa yale yale.
Wengi wetu tunapitia hali kama hizi lakini kama wewe unavyofahamu, hatujifunzi kwa kushinda pekee. Tunakua kwa kushindwa. Kila tiketi inayochanika inatufundisha jambo jipya.
🔑 Somo: Betting siyo njia ya kupata pesa haraka inahitaji uelewa, mipango, na nidhamu. Ukiweka bidii na ukajifunza kutokana na makosa yako, utapata mafanikio ya muda mrefu.
Soma Pia: Betting ni mchezo unaoweza kukuletea umasikini hata kukuua!
Kwa hiyo, ushindi na hasara ni sehemu ya safari yetu. Jifunze kutokana na kila hatua, na hakikisha unakuwa na mtazamo wa muda mrefu. Hata wakati unaposhindwa, bado unakuwa mshindi kama unajifunza kitu kipya.
Je, wewe una stori yako ya kupoteza au kushinda? Hebu tushirikishe hapa!
Updates Nimesoma comment nyingi zinadai kuwa yawezekana niliuziwa Mechi na wale jamaa wa Fixed,naomba niwajibu hapa sijawai kufanya huo upuuzi iko hivi nimeanza kubet miaka sio mengi wakati wa kombe la dunia linacheza kitu ambacho kilinifanya niweke Milioni tayari nilikuwa nimeshakula zaidi ya Milioni 6 kwa siku 2 tu tena kwa option ya draw kipindi hicho kampuni ya Gwala Bet inaanza wenzangu na mimi nadhani mnakumbuka Gwala Bet ilikuwa inatoa 500 Free bet kila siku.
Nikaona hawa wazee wana kiasi kidogo cha ushindi 20M max,acha niende betpawa nikazipige hela sio kwamba nilikurupuka hapana kawaida uwa nina strategy zangu kwenye draw haikuwa bahati ila baada ya muda si mrefu niliirudisha kwa option ya draw pia.
Hadi mtaa wakaniita Mturutumbi maana ili sio jina langu harisi ila niwambie tu bet sio nzuri maana kuna muda mambo yanagoma kabisa