Betting ilivyokwenda na milion moja yangu

Betting ilivyokwenda na milion moja yangu

Sema kuna visheria vyako ukiviweka kwenye betting na ukavifuta unaenjoy sana.

1. Idadi ya team (angalau zisizidi tano kwa slip)

2. Dau (kiasi cha dau kwa kila slip kile ambacho hata ukikipoteza kwa siku husika hakitoathiri mahitaji ya msingi)

3. Jumla ya odd kwa slip moja. (Odd 2 -4)
4. Option (masoko)
5. Idadi ya slip kwa siku.(1-4)
6. Fanya kama tu side hustle au fun.


Ukiweza kuwa na nidhamu hapo Kwenye mambo sita basi utaenjoy.
Hasara haifukuziwi emejiwekea sheria slip kwa siku ni tatu imechanika yote relax siku hiyo ni mbaya utaendelea kesho.
Je wanao weka miambili wanapata milioni kazaa hao ni bahati au ni nini
 
Je wanao weka miambili wanapata milioni kazaa hao ni bahati au ni nini
10000 kwa mmoja inatokea ila hiyo ni bahati. Hata ukiweka game moja bado ni bahati. Ila chance ya bahati inaongeza au kupungua kutegemeana na idadi na aina ya machaguo.

Unaweka sare.

Mwingine anaipa team ishinde au sare.

Ikitokea haijawa sare mwenzio anaweza kushinda kwako ikalost. Ikitokea sare pia mtashinda wote ww na yy.
 
Wakati fulani miaka kadhaa iliyopita, niliweka dau langu kubwa zaidi kwenye betting 1,000,000 TZS kwenye option ya draw kwenye mechi tatu tofauti.

Nilijiamini sana kwamba hii ilikuwa tiketi yangu ya ushindi mkubwa. Mechi mbili zilitoka tofauti kabisa na nilivyotarajia, na ndani ya dakika chache, mkeka wangu wote ulikuwa umetoweka. Hilo lilikuwa pigo kubwa si kwa sababu tu ya kupoteza pesa nyingi, bali pia kwa sababu ya hisia za kutokuwa na uwezo wa kudhibiti matokeo.View attachment 3123834

Lakini unajua nini? Nilijifunza kitu kikubwa siku hiyo.

Potevu la pesa halikuwa mwisho wa safari yangu. Hakuna aliyeanza kufanikiwa kwenye betting bila kupitia changamoto kama hizi. Hii ni sehemu ya mchezo, na jambo muhimu ni jinsi unavyojifunza kutokana na kila dau – la kushinda na la kupoteza.

Baada ya tukio hilo, nilijifunza kuwa NIDHAMU ni kila kitu. Nilianza kubeti kwa mipango, kutumia pesa ambazo nimezipanga kwa ajili ya burudani, na si kwa shinikizo. Pia, niliweka malengo ya muda mrefu na kuepuka kurudia makosa yale yale.

Wengi wetu tunapitia hali kama hizi lakini kama wewe unavyofahamu, hatujifunzi kwa kushinda pekee. Tunakua kwa kushindwa. Kila tiketi inayochanika inatufundisha jambo jipya.

🔑 Somo: Betting siyo njia ya kupata pesa haraka inahitaji uelewa, mipango, na nidhamu. Ukiweka bidii na ukajifunza kutokana na makosa yako, utapata mafanikio ya muda mrefu.

Soma Pia: Betting ni mchezo unaoweza kukuletea umasikini hata kukuua!

Kwa hiyo, ushindi na hasara ni sehemu ya safari yetu. Jifunze kutokana na kila hatua, na hakikisha unakuwa na mtazamo wa muda mrefu. Hata wakati unaposhindwa, bado unakuwa mshindi kama unajifunza kitu kipya.

Je, wewe una stori yako ya kupoteza au kushinda? Hebu tushirikishe hapa!

Updates Nimesoma comment nyingi zinadai kuwa yawezekana niliuziwa Mechi na wale jamaa wa Fixed,naomba niwajibu hapa sijawai kufanya huo upuuzi iko hivi nimeanza kubet miaka sio mengi wakati wa kombe la dunia linacheza kitu ambacho kilinifanya niweke Milioni tayari nilikuwa nimeshakula zaidi ya Milioni 6 kwa siku 2 tu tena kwa option ya draw kipindi hicho kampuni ya Gwala Bet inaanza wenzangu na mimi nadhani mnakumbuka Gwala Bet ilikuwa inatoa 500 Free bet kila siku.

Nikaona hawa wazee wana kiasi kidogo cha ushindi 20M max,acha niende betpawa nikazipige hela sio kwamba nilikurupuka hapana kawaida uwa nina strategy zangu kwenye draw haikuwa bahati ila baada ya muda si mrefu niliirudisha kwa option ya draw pia.

Hadi mtaa wakaniita Mturutumbi maana ili sio jina langu harisi ila niwambie tu bet sio nzuri maana kuna muda mambo yanagoma kabisa
Ungecheza kindege mkuu
 
Wakati fulani miaka kadhaa iliyopita, niliweka dau langu kubwa zaidi kwenye betting 1,000,000 TZS kwenye option ya draw kwenye mechi tatu tofauti.

Nilijiamini sana kwamba hii ilikuwa tiketi yangu ya ushindi mkubwa. Mechi mbili zilitoka tofauti kabisa na nilivyotarajia, na ndani ya dakika chache, mkeka wangu wote ulikuwa umetoweka. Hilo lilikuwa pigo kubwa si kwa sababu tu ya kupoteza pesa nyingi, bali pia kwa sababu ya hisia za kutokuwa na uwezo wa kudhibiti matokeo.View attachment 3123834

Lakini unajua nini? Nilijifunza kitu kikubwa siku hiyo.

Potevu la pesa halikuwa mwisho wa safari yangu. Hakuna aliyeanza kufanikiwa kwenye betting bila kupitia changamoto kama hizi. Hii ni sehemu ya mchezo, na jambo muhimu ni jinsi unavyojifunza kutokana na kila dau – la kushinda na la kupoteza.

Baada ya tukio hilo, nilijifunza kuwa NIDHAMU ni kila kitu. Nilianza kubeti kwa mipango, kutumia pesa ambazo nimezipanga kwa ajili ya burudani, na si kwa shinikizo. Pia, niliweka malengo ya muda mrefu na kuepuka kurudia makosa yale yale.

Wengi wetu tunapitia hali kama hizi lakini kama wewe unavyofahamu, hatujifunzi kwa kushinda pekee. Tunakua kwa kushindwa. Kila tiketi inayochanika inatufundisha jambo jipya.

🔑 Somo: Betting siyo njia ya kupata pesa haraka inahitaji uelewa, mipango, na nidhamu. Ukiweka bidii na ukajifunza kutokana na makosa yako, utapata mafanikio ya muda mrefu.

Soma Pia: Betting ni mchezo unaoweza kukuletea umasikini hata kukuua!

Kwa hiyo, ushindi na hasara ni sehemu ya safari yetu. Jifunze kutokana na kila hatua, na hakikisha unakuwa na mtazamo wa muda mrefu. Hata wakati unaposhindwa, bado unakuwa mshindi kama unajifunza kitu kipya.

Je, wewe una stori yako ya kupoteza au kushinda? Hebu tushirikishe hapa!

Updates Nimesoma comment nyingi zinadai kuwa yawezekana niliuziwa Mechi na wale jamaa wa Fixed,naomba niwajibu hapa sijawai kufanya huo upuuzi iko hivi nimeanza kubet miaka sio mengi wakati wa kombe la dunia linacheza kitu ambacho kilinifanya niweke Milioni tayari nilikuwa nimeshakula zaidi ya Milioni 6 kwa siku 2 tu tena kwa option ya draw kipindi hicho kampuni ya Gwala Bet inaanza wenzangu na mimi nadhani mnakumbuka Gwala Bet ilikuwa inatoa 500 Free bet kila siku.

Nikaona hawa wazee wana kiasi kidogo cha ushindi 20M max,acha niende betpawa nikazipige hela sio kwamba nilikurupuka hapana kawaida uwa nina strategy zangu kwenye draw haikuwa bahati ila baada ya muda si mrefu niliirudisha kwa option ya draw pia.

Hadi mtaa wakaniita Mturutumbi maana ili sio jina langu harisi ila niwambie tu bet sio nzuri maana kuna muda mambo yanagoma kabisa
Hata kubet hujui aisee pesa yote hiyo afu unaweka kama unabet jero..? Hapo ungechagua timu zako nne ukaweka doble chance
 
Wakati fulani miaka kadhaa iliyopita, niliweka dau langu kubwa zaidi kwenye betting 1,000,000 TZS kwenye option ya draw kwenye mechi tatu tofauti.

Nilijiamini sana kwamba hii ilikuwa tiketi yangu ya ushindi mkubwa. Mechi mbili zilitoka tofauti kabisa na nilivyotarajia, na ndani ya dakika chache, mkeka wangu wote ulikuwa umetoweka. Hilo lilikuwa pigo kubwa si kwa sababu tu ya kupoteza pesa nyingi, bali pia kwa sababu ya hisia za kutokuwa na uwezo wa kudhibiti matokeo.View attachment 3123834

Lakini unajua nini? Nilijifunza kitu kikubwa siku hiyo.

Potevu la pesa halikuwa mwisho wa safari yangu. Hakuna aliyeanza kufanikiwa kwenye betting bila kupitia changamoto kama hizi. Hii ni sehemu ya mchezo, na jambo muhimu ni jinsi unavyojifunza kutokana na kila dau – la kushinda na la kupoteza.

Baada ya tukio hilo, nilijifunza kuwa NIDHAMU ni kila kitu. Nilianza kubeti kwa mipango, kutumia pesa ambazo nimezipanga kwa ajili ya burudani, na si kwa shinikizo. Pia, niliweka malengo ya muda mrefu na kuepuka kurudia makosa yale yale.

Wengi wetu tunapitia hali kama hizi lakini kama wewe unavyofahamu, hatujifunzi kwa kushinda pekee. Tunakua kwa kushindwa. Kila tiketi inayochanika inatufundisha jambo jipya.

🔑 Somo: Betting siyo njia ya kupata pesa haraka inahitaji uelewa, mipango, na nidhamu. Ukiweka bidii na ukajifunza kutokana na makosa yako, utapata mafanikio ya muda mrefu.

Soma Pia: Betting ni mchezo unaoweza kukuletea umasikini hata kukuua!

Kwa hiyo, ushindi na hasara ni sehemu ya safari yetu. Jifunze kutokana na kila hatua, na hakikisha unakuwa na mtazamo wa muda mrefu. Hata wakati unaposhindwa, bado unakuwa mshindi kama unajifunza kitu kipya.

Je, wewe una stori yako ya kupoteza au kushinda? Hebu tushirikishe hapa!

Updates Nimesoma comment nyingi zinadai kuwa yawezekana niliuziwa Mechi na wale jamaa wa Fixed,naomba niwajibu hapa sijawai kufanya huo upuuzi iko hivi nimeanza kubet miaka sio mengi wakati wa kombe la dunia linacheza kitu ambacho kilinifanya niweke Milioni tayari nilikuwa nimeshakula zaidi ya Milioni 6 kwa siku 2 tu tena kwa option ya draw kipindi hicho kampuni ya Gwala Bet inaanza wenzangu na mimi nadhani mnakumbuka Gwala Bet ilikuwa inatoa 500 Free bet kila siku.

Nikaona hawa wazee wana kiasi kidogo cha ushindi 20M max,acha niende betpawa nikazipige hela sio kwamba nilikurupuka hapana kawaida uwa nina strategy zangu kwenye draw haikuwa bahati ila baada ya muda si mrefu niliirudisha kwa option ya draw pia.

Hadi mtaa wakaniita Mturutumbi maana ili sio jina langu harisi ila niwambie tu bet sio nzuri maana kuna muda mambo yanagoma kabisa
Mkuu umejieleza saaana lakini bado haiondowi ukweli kwamba ulipigwa na wa zee wa kuuza fixed game(wengi wamepitia huko)
Tunajua kwamba ni AIBU kukubali kwamba ulitapeliwa kiboya lakini wakamalia wote tukisoma tu maelezo yako tunajua kabisa mwamba aliingizwa cha kike kwa fixed game

Kwa mtu yeyote anayebeti akiuangalia tu mkeka wa stake mlima anaweza kubaini kwamba huu mkeka mtu KAJILIPUA au KALIPULIWA.
Hakuna mkamalia mwenye akili zake timamu aweke 1M kwenye timu madaraja ya chini hazijulikani halafu achague option ya draw tena game 3 odd 74?

Unadai ulikula milioni 6 halafu ukaliwa 1M na baada ya muda ukarudisha 1M yako ulioliwa........ Sasa umefungua uzi wa nini wa kulia lia UMEPOTEZA 1M wakati umekula M6 ukaliwa 1M halafu ukairudisha tena 1M ulioliwa? Huoni kama una M6 hapo?
Nilidhani ungepeswa kufungua uzi kueleza jinsi ulivyo kula M6 na sio ulivyo “poteza 1M”

Mkuu usitudhalilishe wakamalia
Badili title yako iwe KUWENI MAKINI NA MATAPELI WAUZA FIXED
 
UMEKOSA😂 kumbe ndo Hela umeliwa hvo afu wanaandika UMEKOSA utafkiri ni mchezo wa kawaida
 
Jamani acheni tamaa, wee xheza na odds za 1.6-1.80
Cheza o1.5 basi mechi zako nnne mchezo kwishney. Utakuwa unakula sana tuu.
Nadharia yake ni simple sana. Katika ligi kuu bora barani ulaya wastan wa magoli ni 2.66 goals per game.
 
Back
Top Bottom