Betting ni mchezo unaoweza kukuletea umasikini hata kukuua!

Forex hamna kitu bora ukazane na betting. The only way unaweza kutengeneza hela kwenye masoko ya fedha ni stocks na derivatives.
hiz kazi ni ngumu kweli kweli, wananufaika watu wachache sana
 
Hakuna faida kwenye Forex narudia tena na tena Forex ni kama network marketing unapewa link ujiunge kwa trading platform fulani kila ukitrade aliyekupa link anapewa comission. Ni utapeli mtupu kwenye forex.
ndio maana unakuta mtu kakomaa kusambaza link, hiyo ni kwa faida yake yeye mwenyewe,si kwamba anatangaza fursa
 
Mkuu naoma wewe ulikuwa umefikia hatua mbaya sana. Ni heri ulipoamua kuachana na kamari kabla haijakuua.

Kamar ni mchezo wa starehe kama ilivyo kucheza karata au game kwenye compiuta/simu. Tatizo kubwa ni pale haadhi ya watu wanaichukulia kamari kama kazi na chanzo cha mapato. Mnakosea sana aisee.

Afu eti mkeka ukochana timu moja mtu unaumia. Kwanini? Unahekesha sana mkuu. Abyway, ukiwa na hela za mawazo usicheze kamari. Ni ushauri tu
 
unabeti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…